Mimi sio kungwi ila ni mwanamke, ichukue hii

Mimi sio kungwi ila ni mwanamke, ichukue hii

Ungekuwa na upeo mkubwa wa kuelewa ungeiona hoja ila kwa vile na wewe ndio wale wale wazee wa kujifariji huwezi kuona hoja sisi wengine huwa hatusikilizi porojo za mitandaoni bali tunaangalia hali halisi, na uzuri huku kwenye jamii wote hali halisi tunaiona vinginevyo mtuambie hawa wanawake wenye tabia za hovyo tunaoona wanaolewa kila siku huwa wanaolewa na wanawake wenzao, maana kama kweli mngekuwa mnaoa hao wanawake wenye sifa nzuri nzuri mnazoziimba humu mitandaoni basi hizo ndoa zisingekuwa zinavunjika kila siku na wala tusingekuwa tunasikia vilio toka kwa wanaume walio kwenye ndoa
Mbona unakuwa mkali , mtoa mada ametema madini muhimu kwa vijana ila wao ndio hawaskii la mkuu.
 
KE yupo above 28yrs,halafu anataka mwanaume mwenye hofu ya Mungu, majority wao wenyewe mioyoni mwao hawaja itengeneza hiyo.Ngumu sana binti mwenye hofu ya Mungu below 25,haisionekane na mwanaume na hata akivuka hiyo 25yrs still bado anaprobability kubwa ya kuonekana.

Unakuta binti kapwiyanga viwanja vyote anavijua,style zote anzijua,wauni wamekichafua kwenye K kama Kante kwenye dimba la kati,then anatafuta mwenye hofu ya Mungu, huku akiwa na matarajio makubwa ya kuvipata vile vitu kama alivyo kuwa akivipata kutoka kwa wahuni wake wa zamani. Kumbe mwamba (Church boy/good boy/nice boy) yy style zake za kawaida, ndio utasikia anaanza kumtangaza hana pumzi sijui kibamia (yy kazoea mihogo na mitindo ya ajabu ajabu) nk.Baada ya hapo anaanza kutafuta wahuni wake wa zamani wa mkaze, then mwamba huku analetewa watoto wasio wake.
 
Hebu ifike pahala wanaume mtoke huko kwenye hizo fantasies mje kwenye reality things are different on terra firma acheni hizi propaganda zenu zimeshapitwa na wakati, kutwa tunashuhudia ndoa zinafungwa na hao wanawake wanaoolewa wala siyo mabikira bali ni hao hao malaya wastaafu mnaoshinda mkiwatukana humu, mnapoweka vigezo hakikisheni vinaendana na uhalisia ifike mahali mkubali tu kuwa wanawake wenye vigezo mnavyovitaka hawapo tena mkiambiwa nanyi mjitunze mnasema hilo ni jukumu la wanawake halafu ukifika muda mnataka kuoa mnaanza kulialia hakuna wanawake wa kuoa..pathetic!!
🙉🙉🙉
 
Hebu ifike pahala wanaume mtoke huko kwenye hizo fantasies mje kwenye reality things are different on terra firma acheni hizi propaganda zenu zimeshapitwa na wakati, kutwa tunashuhudia ndoa zinafungwa na hao wanawake wanaoolewa wala siyo mabikira bali ni hao hao malaya wastaafu mnaoshinda mkiwatukana humu, mnapoweka vigezo hakikisheni vinaendana na uhalisia ifike mahali mkubali tu kuwa wanawake wenye vigezo mnavyovitaka hawapo tena mkiambiwa nanyi mjitunze mnasema hilo ni jukumu la wanawake halafu ukifika muda mnataka kuoa mnaanza kulialia hakuna wanawake wa kuoa..pathetic!!
Pathetic indeed.
 
Ungekuwa na upeo mkubwa wa kuelewa ungeiona hoja ila kwa vile na wewe ndio wale wale wazee wa kujifariji huwezi kuona hoja sisi wengine huwa hatusikilizi porojo za mitandaoni bali tunaangalia hali halisi, na uzuri huku kwenye jamii wote hali halisi tunaiona vinginevyo mtuambie hawa wanawake wenye tabia za hovyo tunaoona wanaolewa kila siku huwa wanaolewa na wanawake wenzao, maana kama kweli mngekuwa mnaoa hao wanawake wenye sifa nzuri nzuri mnazoziimba humu mitandaoni basi hizo ndoa zisingekuwa zinavunjika kila siku na wala tusingekuwa tunasikia vilio toka kwa wanaume walio kwenye ndoa
Mkuu Jadda hatukatai kuwa hao wanawake wakongwe wanaolewa daily, issue ya mleta uzi nadhani na wewe haujaielewa pia.

Hao wataolewa tena sana ila wataolewa na wanaume wapumbavu wa mambo, na ndio maana hata ukiangalia hizo ndoa ndio.zina migogoro mingi na upungufu wa furaha ni sababu wanaume hao wameuziwa mbuzi kwa gunia (tuwape pole kidogo)

Mwanamke anapaswa kuolewa akiwa kwenye miaja 25 hivi juu ya hapo kuwa na utulivu kwa hiyo ndoa ni kwa kudra za Mwenyezi Mungu.

Ukiona mwanaume ameoa na bado akawa na mchepuko au michepuko basi jua tatizo kalileta mwanamke wala usiseme ni tabia za wanaume kutamani, huo ni uzembe na kujisahau kwa mwanamke na bahati mbaya sana huo uzembe na kujisahau kunapatikana kwa wanawake ambao kilomita zishasoma sana.
 
Hebu ifike pahala wanaume mtoke huko kwenye hizo fantasies mje kwenye reality things are different on terra firma acheni hizi propaganda zenu zimeshapitwa na wakati, kutwa tunashuhudia ndoa zinafungwa na hao wanawake wanaoolewa wala siyo mabikira bali ni hao hao malaya wastaafu mnaoshinda mkiwatukana humu, mnapoweka vigezo hakikisheni vinaendana na uhalisia ifike mahali mkubali tu kuwa wanawake wenye vigezo mnavyovitaka hawapo tena mkiambiwa nanyi mjitunze mnasema hilo ni jukumu la wanawake halafu ukifika muda mnataka kuoa mnaanza kulialia hakuna wanawake wa kuoa..pathetic!!
Wape wape wape mamaaaa...
 
MZUNGUKO WA MAISHA WA MWANAMKE WA KISASA (MALAYA)

Umri wa Miaka 12-15:

Anaanza kufungua miguu yake kwa wavulana wa shule ya sekondari na kuanza kupata uzoefu mwingi wa kingono.

Umri wa Miaka 16-18:

Katika hatua hii, anaanza kuweka vigezo vya juu kwa wanaume na kuanza kufikiria kuwa yeye ni bora kuliko wavulana wa umri wake na anakataa kuchumbiana na wale anaowaona kuwa chini ya kiwango chake.

Umri wa Miaka 19-20:

Katika hatua hii, kutokana na idadi kubwa ya wanaume wanaomkaribia, anaanza kufikiria kuwa yeye ni wa thamani, akisahau kuwa anatafutwa sana kwa ajili ya ngono tu.

Hii stage nyodo ndio hua nyingi full dharau kwa wavulana wa sio na hela na wale wa rika lake

"Siwezi kuchumbiana na wanaume masikini."
"Wanaume masikini hawapaswi kupata pussy."
"Mimi ni 'gen z baddie.' Ninastahili bora zaidi."

Umri wa Miaka 21-23:

Anaanza kukataa wanaume wazito wanaotaka kumuoa kwani anawaona kuwa wa kuchosha sana na wabaya mno kwake. Kwani bado anataka uhuru wa kuendelea kufurahia uhuru wake wa kingono na wavulana wabaya, wanaochepuka, na wanaume wasiokuwa na uwajibikaji kwani wanamsisimua zaidi.

Umri wa Miaka 24-25:

Bado anafikiria yuko katika ujana wake na bado anakataa kukaa na wanaume wazito.

Kwa sababu kwake, hayajaisha maisha yake bora na hataki kutuliza maisha yake yote kwa ajili ya mwanaume mmoja tu wakati bado kuna wanaume wengi wanamtaka

Umri wa Miaka 26-27:

Anakuwa mama asiyeolewa na anakuwa tayari kukaa na mwanaume.

Umri wa Miaka 28-29:

Anagundua kuwa thamani yake katika soko la uchumba imepungua sana na kwamba wanaume hawamchukulii kwa uzito.

Katika hatua hii, anajihakikishia kuwa mwanaume mcha Mungu ndiye chaguo lake bora. Kwa sababu kwake, mwanaume mcha Mungu ni sawa na mwanaume mjinga ambaye atapuuza historia yake ya nyuma ya kutembeza pussy kwa kila btothermen aliyekuja mbele yake.

Umri wa Miaka 30-32:

Katika hatua hii, anagundua kuwa kanisa ni nyumba ya mapumziko kwa ajili ya wanawake wa mitaani.

Utaanza kuona: "Mtoto wa Yesu.", "Mpenzi wa Mungu.", "addicted to jesus." na kadhalika kwenye wasifu wake.

Shiloh inakuwa sehemu yake ya kupenda zaidi.

Anakuwa mchangamfu kanisani.

Anajiunga na idara kanisani.

Utaanza kumuona akichapisha mistari ya Biblia, akizungumzia jinsi Mungu alivyo mkuu na jinsi ibada ya Jumapili ilivyokuwa nzuri.

Umri wa Miaka 33 na kuendelea:

Anapogundua kuwa hakuna mwanaume anayetaka kujitolea kwake, anakuwa mwanaharakati wa kike (faminest)

Utaanza kumuona akiwa hai katika mitandao yote ya kijamii akizungumzia jinsi wanaume walivyo nguruwe, wachafu, na hawapaswi kuaminika.

Wanawake wa kisasa watatumia ujana wao kuweka viwango visivyo vya kweli kwa wanaume, wakichepuka kutoka kwa mwanaume mmoja hadi mwingine na wanapokuwa tayari na wanahitaji kukaa na mtu, wanaanza kutafuta mwanaume mzuri ambaye anamcha Mungu na ambaye ataweka Mungu kwanza wakati wao waliweka ngono kwanza katika ujana wao.

Wafalme, usiwe huyo mwanaume atakayeteswa kwa dhambi za wanaume wengine kabla yako.

Kama mfalme na zawadi, unastahili bora zaidi na sio mabaki.

Usiruhusu mwanamke yeyote kukutumia kama mpango wake wa kustaafu.

USIKUBALI KUPUNGUZA KIWANGO CHAKO!
HUU UZI UMEANDIKWA NA MWANAMKE MWEZENU KUWAPASHA HABARI WANAUME KUHUSU WANAWAKE MLIVYO NA AMESEMA UKWELI HAJAFICHA HATA KIMOJA ILA SASA HIVI TUME UPDATE UMRI MWANAMKE UKIFIKA MIAKA 25 HAUJAOLEWA WEWE NI MTUMBA HUFAI TENA NA SOKO LAKO HALIPO ZAIDI YA KUKOJOLEWA NA WALEVI TUU
 
Mkuu Jadda hatukatai kuwa hao wanawake wakongwe wanaolewa daily, issue ya mleta uzi nadhani na wewe haujaielewa pia.

Hao wataolewa tena sana ila wataolewa na wanaume wapumbavu wa mambo, na ndio maana hata ukiangalia hizo ndoa ndio.zina migogoro mingi na upungufu wa furaha ni sababu wanaume hao wameuziwa mbuzi kwa gunia (tuwape pole kidogo)

Mwanamke anapaswa kuolewa akiwa kwenye miaja 25 hivi juu ya hapo kuwa na utulivu kwa hiyo ndoa ni kwa kudra za Mwenyezi Mungu.

Ukiona mwanaume ameoa na bado akawa na mchepuko au michepuko basi jua tatizo kalileta mwanamke wala usiseme ni tabia za wanaume kutamani, huo ni uzembe na kujisahau kwa mwanamke na bahati mbaya sana huo uzembe na kujisahau kunapatikana kwa wanawake ambao kilomita zishasoma sana.
Kama hakuna alie elewa basi tena, Uzi ufungwe mkuu kafafanua vizuri sana
 
Hii sio kweli, ni jinsi tu wanaume tunapenda kufikiria

Sio kwamba kutokuolewa kunasababisha mwanamke awe feminist, ni kwamba kuwa feminist kunasababisha afikirie kutokuolewa

Na mwanamke hawezi kuchukia wanaume kisa haolewi, zaidi atajichukia mwenyewe tu.
 
MZUNGUKO WA MAISHA WA MWANAMKE WA KISASA (MALAYA)

Umri wa Miaka 12-15:

Anaanza kufungua miguu yake kwa wavulana wa shule ya sekondari na kuanza kupata uzoefu mwingi wa kingono.

Umri wa Miaka 16-18:

Katika hatua hii, anaanza kuweka vigezo vya juu kwa wanaume na kuanza kufikiria kuwa yeye ni bora kuliko wavulana wa umri wake na anakataa kuchumbiana na wale anaowaona kuwa chini ya kiwango chake.

Umri wa Miaka 19-20:

Katika hatua hii, kutokana na idadi kubwa ya wanaume wanaomkaribia, anaanza kufikiria kuwa yeye ni wa thamani, akisahau kuwa anatafutwa sana kwa ajili ya ngono tu.

Hii stage nyodo ndio hua nyingi full dharau kwa wavulana wa sio na hela na wale wa rika lake

"Siwezi kuchumbiana na wanaume masikini."
"Wanaume masikini hawapaswi kupata pussy."
"Mimi ni 'gen z baddie.' Ninastahili bora zaidi."

Umri wa Miaka 21-23:

Anaanza kukataa wanaume wazito wanaotaka kumuoa kwani anawaona kuwa wa kuchosha sana na wabaya mno kwake. Kwani bado anataka uhuru wa kuendelea kufurahia uhuru wake wa kingono na wavulana wabaya, wanaochepuka, na wanaume wasiokuwa na uwajibikaji kwani wanamsisimua zaidi.

Umri wa Miaka 24-25:

Bado anafikiria yuko katika ujana wake na bado anakataa kukaa na wanaume wazito.

Kwa sababu kwake, hayajaisha maisha yake bora na hataki kutuliza maisha yake yote kwa ajili ya mwanaume mmoja tu wakati bado kuna wanaume wengi wanamtaka

Umri wa Miaka 26-27:

Anakuwa mama asiyeolewa na anakuwa tayari kukaa na mwanaume.

Umri wa Miaka 28-29:

Anagundua kuwa thamani yake katika soko la uchumba imepungua sana na kwamba wanaume hawamchukulii kwa uzito.

Katika hatua hii, anajihakikishia kuwa mwanaume mcha Mungu ndiye chaguo lake bora. Kwa sababu kwake, mwanaume mcha Mungu ni sawa na mwanaume mjinga ambaye atapuuza historia yake ya nyuma ya kutembeza pussy kwa kila btothermen aliyekuja mbele yake.

Umri wa Miaka 30-32:

Katika hatua hii, anagundua kuwa kanisa ni nyumba ya mapumziko kwa ajili ya wanawake wa mitaani.

Utaanza kuona: "Mtoto wa Yesu.", "Mpenzi wa Mungu.", "addicted to jesus." na kadhalika kwenye wasifu wake.

Shiloh inakuwa sehemu yake ya kupenda zaidi.

Anakuwa mchangamfu kanisani.

Anajiunga na idara kanisani.

Utaanza kumuona akichapisha mistari ya Biblia, akizungumzia jinsi Mungu alivyo mkuu na jinsi ibada ya Jumapili ilivyokuwa nzuri.

Umri wa Miaka 33 na kuendelea:

Anapogundua kuwa hakuna mwanaume anayetaka kujitolea kwake, anakuwa mwanaharakati wa kike (faminest)

Utaanza kumuona akiwa hai katika mitandao yote ya kijamii akizungumzia jinsi wanaume walivyo nguruwe, wachafu, na hawapaswi kuaminika.

Wanawake wa kisasa watatumia ujana wao kuweka viwango visivyo vya kweli kwa wanaume, wakichepuka kutoka kwa mwanaume mmoja hadi mwingine na wanapokuwa tayari na wanahitaji kukaa na mtu, wanaanza kutafuta mwanaume mzuri ambaye anamcha Mungu na ambaye ataweka Mungu kwanza wakati wao waliweka ngono kwanza katika ujana wao.

Wafalme, usiwe huyo mwanaume atakayeteswa kwa dhambi za wanaume wengine kabla yako.

Kama mfalme na zawadi, unastahili bora zaidi na sio mabaki.

Usiruhusu mwanamke yeyote kukutumia kama mpango wake wa kustaafu.

USIKUBALI KUPUNGUZA KIWANGO CHAKO!
Mkuu umepatia sana. Kumbuka kuwa hata single mothers wengi huapatikana ktk steji mojawapo miongoni mwa hizi ulizotaja hapa. Mwanamke akishaona umri umeenda na bado hana mtoto, hujilipua kwa mwanaume yotote anamzalisha halafu shughuli ya kulea anataka kuwapa wanaume wengine. Thubutu!
 
Back
Top Bottom