glass amo
JF-Expert Member
- Aug 11, 2017
- 3,645
- 4,330
yani ile umefulia siku huna kitu mfukoni alafu Una changanya akili una amua kwenda kwa mango akukope unga.
unafika dukani unajizungusha
Mara mangi hii shingp, Mara mbona bei juu mwisho wa SAA unamkopa.
kiukweli nimeshindwa kabisa kukopa hasa maduka ya mtaani.
sijui wew mdau ikikufika unafanyaje?????
una anzaje kumkopa???
unafika dukani unajizungusha
Mara mangi hii shingp, Mara mbona bei juu mwisho wa SAA unamkopa.
kiukweli nimeshindwa kabisa kukopa hasa maduka ya mtaani.
sijui wew mdau ikikufika unafanyaje?????
una anzaje kumkopa???