Mimi siwezi kabisa, je mwenzangu kwako ipoje?

Mimi siwezi kabisa, je mwenzangu kwako ipoje?

Ikitokea nimefikwa sikopi kwa Mangi ila nitatafuta mtu wa karibu anikope Pesa halafu nakwenda kwa Mangi kununua.

daaah.
hapo umenena

but inategemea unaenda kukopakwa nani.
maana wengine ni sheeeadah.
unakuta ni MTU wa karibu kwako but ukitoka tu anakuaanz kuku......
 
daaah.
hapo umenena

but inategemea unaenda kukopakwa nani.
maana wengine ni sheeeadah.
unakuta ni MTU wa karibu kwako but ukitoka tu anakuaanz kuku......
Hapana Mshenga mie nina watu maalum ambao ndio najiona nafsi yangu inawaamini.

Na ni mara chache sana kutokea wakawa hawana.
 
Unakopa tu mkuu ukifika
Unaanza
Mangi siku hizi unapendeza sijui unakula nini !
Yaani na biashara inazidi kukua (hapo unatabasamu)
Kisha unamalizia
Ila mwenzio mangi maji yamezidi unga nifanyie basi na mie nipate kula leo
Kesho ninaenda kusaini cheki nitarekebisha....
Hapo full smile
Hahahhaa hii nimeipenda
 
Hapana Mshenga mie nina watu maalum ambao ndio najiona nafsi yangu inawaamini.

Na ni mara chache sana kutokea wakawa hawana.

hongera Sana

kwa hapo unakua umecheza karata nzuri.
na wakati wa kurudisha Deni usiwe unalichelewesha mwali.
 
Back
Top Bottom