Mimi siyo malaika ni binti wa kawaida tu!

Duhhh....
Makubwa haya wallah.
Pole kwa changamoto mkuu, mengine uwe unaziacha tu.
 

You are grown up.

Big up...
 
Utamu wa BUMUNDA [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
1.Duuh sikuiona hii!
2. Bina siyo lazima uwaanzishie uzi, ukikaa kimya itamfaa pia!
3. Vyovyote watasema, utabakia kuwa Demiss
4. Ukitambua unafanya nini na kwa nini, achana nao.
5. Pole binamu! Wasiokupenda hujitokeza kila unapoishi.
 
Mfalme Suleiman anasema;
Nimejaribu kila kitu chini ya jua nikagundua kila kitu ni ubatili na kujilisha upepo.
Alisifiwa kila kona kwa hekima na utajiri lkn akagundua ni ubatili mtupu. Akafunua kila kyupi cha mwanamke wa ukoo wa kifalme na mtoto wa fukara akaona hazina tofauti akasema huo nao ni ubatili mtupu.
Kupendwa au kuchukiwa ni ubatili mtupu.
Nikikuchukia kuna yupo anakupenda, nasema huu nao ni ubatili na kujilisha upepo.
Hakuna aliyebora na asiyebora.
Mrembo ana madhaifu yake na asiyemrembo ana uzuri wake...tatizo nini?
Chuki za nini?
 
Haki tena nakuambia kuna majitu yanasifa humu balaa...kichefuchefu kabisaa....!!!

Mpk wajiuliza huyu vipi,karogwa au kavurugwa na maisha!
Asanteni jaman nimesamehewa ngoja niendelee na mambo mengine onyo nililopewa siyo la nchi hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…