Mimi siyo malaika ni binti wa kawaida tu!

Eti Nifah unanipenda mimi?
 
Hata ukinisema mi ntaendelea kukuporomoshea madongo.

Utapata tabu sana na mchawi wako wa mochware...

CC Mshana Jr
 
Nakupiga faini ya kitu ambacho najua unacho ili kuepusha visingizio kuwa huna
ha hah haha dadeq ...."" atakwambia yuko Pluto ""..wazee wa msimbazi wapo stejini
 
Cool down and hold on Babe !!!! The world is like that !!!!
 
Hapo namb 4
Mmh kumbe kuna watu wanafaidi watt humu
Anyway .mkuu dont bother kujua watu wengine wanakufikilia nini
 
Dih hasira hizi, kula pizza kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…