Mimi siyo Tajiri. Mngemwona Baba yangu mngezimia na kufa kwa mshangao

Ulipotea sana mshua... sema nina shida moja imenikabia kooni kinyama yani, unaweza kunisevu japo 100k inikwamue?
 
Doh!

Sent from my itel A11 using JamiiForums mobile app
 
Yeah,kwani hii si ni jf tu mm nakubali kabisa wewe bwana mdogo ni tajiri wa kutupwa,keep it up....
 
JF wengi ni matajiri kasoro wewe uliyenunua Nyumba porini Avic Town badala ya kununua Apartment Oysterbay Kilima Nyege.
 
Haahaaha tajiri wangu kiduku uwe unapita pita hapa coco beach kuna kakijiwe ketu ka kuvuta bange na wana,maana ulishaletaga Uzi hapa wa siku ya kwanza kuvuta bangi nadhani itapendeza ukija na hilo ford ranger lako!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…