Mimi Yanga ila mwaka huu Simba wametuzidi kwenye jezi

Hata picha yenyewe iliyoambatanishwa haina maadili.

Why mwanamke inaonekana chupi iko nje ?
 
Kwani kuna haja ya kubadilisha jezi kila mwaka? Kwa nini kama jezi imependwa isibadilishwe muundo, isipokuwa labda maudhui ya kiudhamini tu pale inapobidi?
 
Kwani kuna haja ya kubadilisha jezi kila mwaka? Kwa nini kama jezi imependwa isibadilishwe muundo, isipokuwa labda maudhui ya kiudhamini tu pale inapobidi?
Wabongo wagumu kuelewa kiufupi jezi haitakiwi ibadilike sana vitu vidogo tu has a material ndo unaweza kubadili
 
Ila kwa jezi hizi bora zingetumika za mwaka jana. Profile yake haivutii
 

Namba yako ya kadi ya mikia tafadhali
 
On point. Nothing else to say
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…