Mbona povu hivo mkuu tatizo niniWenzetu, mwenzagu wanatumia wanawake..peleka ushoga wako sehemu nyingine
Atlas ya kitambaa muda huu inauzwa elfu 70,na kwenye maduka ya gsm imeshaishaIle ni atlas ya kitambaa mkuu
Jezi moja ramami tatu kama Atlasi..Jichanganye uje nalo nyumbani! Tina kudelete kwenye ukoo😬😀😀 Bina naona ushakuwa Mtindo wa shabiki wa Mikia kujigeuza Yanga. Lol
Ama kweli Yanga ni timu ya Wananchi.
Kwa maoni yako. Wewe usinunue sisi tutanunua.Hakuna jezi pale bora ukavae jezi ya gwambina
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mwisho ni kwamba hakuna aliyelazimishwa kuvaa jezi ya timu gani bali vaa unachokipenda kuvaa. Sijui una mtishia nani unavyosema utavaa jezi ya Simba?
Hii sio gagulo za wamama wa Buza?Angalia jezi letu la kimataifa. Hakuna kama Mo.
Hahahaaaa! Ila unateseka sanaUzi huu daaView attachment 1566983
Wewe kavae jezi yako ya simba, ya Yanga haikuhusu.Hakika nimetoka kuona jezi zetu mpya wana janngwani nimekuwa disappointed kwakweli, sikuwahi fikiria kusubiri kote kule wangetuletea vituko kama vile aisee..
Jezi kuna ramani humohumo, jezi ina ukungu humohumo, designer wetu sijui wamekwama wapi mbona wenzetu simba jezi zao mzuri aisee, jezi za simba rangi imetulia isitoshe ata designer wao hakutaka kucomplicate sana lakini uzi umetoka bomba.
Angalizo:: management yetu ya yanga sisi ndo wanunuzi sasa mkiendeleza kutuletea jezi kama hizi tena sie tunasema kabisa tutaanza kuvaa jezi za msimbazi View attachment 1566475