meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,425
- 4,768
hivi mama kinyogoli bado yupo?kuna kabinti kake pale nyuma ya mnyapala kalikuwa kanahuruma sana!Shaban robert mama kinyogory 2011 _2013
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hivi mama kinyogoli bado yupo?kuna kabinti kake pale nyuma ya mnyapala kalikuwa kanahuruma sana!Shaban robert mama kinyogory 2011 _2013
"mungu ambarik chungu kwa uongozi mzuri pale bila chungu kwa miaka ya sasa minaki haija kamilika..wanatoa elimu bora pamija na ratba ya chakula ni nzuri sana na wanafunzi wanaishi kwa amani na upendo SHULE YANGU MINAKI SHULE YA TANZANIA IMEELIMISHA WENGI....
I was there
hivi mama kinyogoli bado yupo?kuna kabinti kake pale nyuma ya mnyapala kalikuwa kanahuruma sana!
mzee wa kukompress nambie aiseee
Pamoja na neema za minaki mie kwa kipindi nilichosoma advance 1999-2001 sitosahau msimu wa kulima na pia adha ya maji tulivyokuwa tukitolewa class kufata maji dem. Enzi za mjale, mjale hakuwa na makuu ila mwalimu fumbuka na mwalimu fulan ivi white white kama mpale walikuwa wakari sana. Bweni langu lumumba. Minaki naipenda sana ile shule
Mimi nami nimepita Minako, enzi zile KAMATA inakwenda kule. Nakumbuka sana jinsi KAMATA ilivyokuwa inapata shida ya kupita pale Kinyanyiko! Nakumbuka shida ya Maji.
Namkumbuka Headmaster Mtasigwa, Second master Matu ( na diasater za mkewe alitekuwa mwalimu), na walimu wengine. Namkumbuka Mwalimu Sawaya, ambaye wakati huo walikuwa na TOYOTA STOUT mpya kabisa.
Kiboko zaidi ni yule mmarekani aliyezaa na mke wa mwalimu!
Wakati huo, lami ilikuwa haijafika hata Pugu secondary, yaani magari mengi yalikuwa yanaishia mwisho wa lami!
Hii ilikuwa mwaka 1986-1988!
Hellow! Form 6 leaver mwk huu ,lete tor za minak ,nimemaliza mwk huu Egm ,vp wadau Alex wa Egm ameenda chuo gan?
Hiii! 2 all minak boyz,mungu barik minak mungu bariki chungu. Vp mnamjua mwl Mtimali
Ni shule nzuri kwa enzi zile kwa sasa ina hali mbaya nilisoma hapo kwa six years form one to six chini ya uongozi wa mzee mjale nikiishi mirambo wacha tuishukuru shule yetu minaki
Hellow! Form 6 leaver mwk huu ,lete tor za minak ,nimemaliza mwk huu Egm ,vp wadau Alex wa Egm ameenda chuo gan?