Mind Illusion Projection: Jinsi ya kuidanganya mind ione vitu visivyo halisi kua ni halisi

Copped ten sold five then I hide three
Baking soda residue I'm gone with the other two
Fvck a magic stick Jeezy got a magic wrist
David Copperfield on the stove all types of sh!t.

It's like my lawyer know black magic, black rabbit
Out the black hat, black.
 
Aisee nimejaribu kungamua unamaanisha nini ila nimetoka mtupu..
 
Aliyesoma yote (na akaelewa) hebu anifupishie kwa sentesi fupifupi ndani ya paragraph moja
 
Aliyesoma yote (na akaelewa) hebu anifupishie kwa sentesi fupifupi ndani ya paragraph moja
Kuna mzee baba aliwahi kupewa dola laki kadhaa kutoka kampuni ya Yahoo kisama Terms na policy zote hadi mwiso. Kule mwisho walikua wameandika kwamba kama umesoma yote washtue wakupe pesa. Jamaa akajipatia kiulaini hela.
Acheni uvuvi wa kujisomea mnapitwa na mengi duniai
 

Tuipitie double slit experiment
 
Duhh eeeh Bwana wee yaani Da vinci umegusa pahala ndipo Hata Mwenyezi mungu mwenyewe anasema kwenye hadithi ( Ana Adhanna Abdu )Anasema mimi ni vile mtu mwenyewe anavofikiria akifikiria mazuru nitampa mazuri akifikiria ubaya basi nitampa ubaya .Haya mambo ya kiroho ni kweli kabisa .
 
Yaani kitabu unachosoma wewe . Ccha Aurelius ninacho like Cha meditation.wewe unacho kipi
Ok nimekupata mkuu sema mimi sio msomaji mzuri sana wa vitabu. Hua naogopa kusoma vitabu maana nahisi naweza kukopi mawazo ya wengine pindi napotaka kuandika mawazo yangu.
Hua napanga tu leo nataka nisome kuhusu maybe Personality then natafuta notice zihusuyo mambo hayo. Sio vitabu..
 
Hapa ndipo umepuyanga.Sayansi ya biology sio nyepesi hivyo kama unavyofikiri.
 
Kweli kabisa mkuu you're what you think. Ukifikiriacho ndicho upatacho. Kila kitu kinaanzia kwenye Software then ndio kinakuja kutolewa kwenye hardware as output
 
Mada nzuri sana, mkuu umesema huwa unatafuta notes na husomi sana vitabu, huwa unatafutia wapi hizo notes au ni google kawaida?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…