Fahami Matsawili
Senior Member
- Mar 8, 2018
- 172
- 153
WASOMI NA WASIOKUWA WASOMI NAOMBENI MNISIKILIZE KWA MAKINI KATIKA HILI [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
[emoji871] Ukimwambia Bakhressa kuwa [HASHTAG]#mihogo[/HASHTAG] ni biashara nzuri atakuita board room muongee vizuri apate kujua vizuri lakini ukimfata msomi mwenye labda masters ya biashara ukamwambia kitu kile kile anaweza kukuona huna idea kichwani.
[emoji871] Nilipoona video ya [HASHTAG]#DiamondPlutnumz[/HASHTAG] akizindua biashara yake mpya ya [HASHTAG]#DiamondKaranga[/HASHTAG] nikawaza tena.
[emoji871] Nikamforwadia mdogo wangu mmoja anasoma "ELIMU YA JUU" kwa sasa. Alipoiangalia whpp nikamuuliza maswali machache [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
1. Hiyo ni video ya Diamond na karanga?
Akajibu [HASHTAG]#NDIYO[/HASHTAG] BRO
2. Nikamuuliza: Diamond amechuja kimuziki ndo maana kakimbilia karanga?
Akajibu [HASHTAG]#HAPANA[/HASHTAG]
3. Nikamuuliza: Diamond alisomea biashara Chuo?
Akajibu [HASHTAG]#HAPANA[/HASHTAG]
4. Nikamuuliza: Ana akili ya kibiashara?
Akajibu [HASHTAG]#NDIYO[/HASHTAG]
5. Nikamuuliza: Ana hela nzuri nzuri benki?
Akajibu [HASHTAG]#NDIYO[/HASHTAG]
6. Nikamuuliza: Sasa haoni aibu kuuza karanga?
Akajibu [HASHTAG]#HAPANA[/HASHTAG]
7. Nikamuuliza: Kwa nini haoni aibu? Akajibu nadhani sababu ya pale juu NAMBA 4
Nikajisemea: Good.
8. Nikamuuliza: Wewe umesoma kuliko Diamond?
Akajibu: [HASHTAG]#NDIYO[/HASHTAG] KAKA.
9. Nikamuuliza: Unaweza kuuza karanga? ......... (KIMYA)....... ..........
10. Nikataka kuuliza tena ........... nikaona "Typing............"
Jibu likaja: INATEGEMEA
[emoji871] Anyway mpaka hapo nikawa nimeelewa jibu sahihi ni lipi. Kwamba nikimpa huyu msomi option mbili baada ya masomo yake. Moja apate AJIRA pale Azikiwe CRDB, mshahara labda laki 9 kwa mwezi na mkopo nafuu wa kununua IST, halafu option nyingine iwe idea ya kuuza karanga/mihogo/maharage kuanzia zero ipi atachagua?
[emoji871] Nadhani jibu wote tunalo.
Kuna binti mwingine wa "Elimu ya Juu" alikuja kwangu akiomba msaada wa kutafutiwa mahali (sehemu ya kuajiriwa)
[emoji871] Hili ni [HASHTAG]#JANGA[/HASHTAG].
Tuna wasomi wetu wengi ambao wao wanachotaka ni AJIRA TU. Serikali nayo inadhani itaweza kutatua tatizo la ajira kwa a one-sided view.
[emoji871] Kwamba mtu asiye na ajira dawa yake kumpa ajira. Si kweli kwamba hiyo ndo dawa pekee. In fact tuendako hiyo ni wrong solution.
[emoji871] Mfano mdogo ajira za madereva kwa dunia ya leo zinaondoka moja moja.
Fikiria: [emoji871] Siku jiji hili la Dar es Salaam kwa mfano hili likiwa na Mwendokasi kila Kona ya jiji na huko mbali na city centre kote kuanzia Bunju (au Bagamoyo) hadi Mbagala na hadi huko Chalinze.
[emoji871] Halafu treni za umeme ziko
[emoji871] Halafu self driving cars
[emoji871] Halafu drones za kudeliver mizigo kwa wateja (yani uko zako nyumbani labda Bunju unaagiza chakula KFC Posta unalipia kwa M-PESA kinaletwa na drone ndani ya robo saa tu hadi mlangoni kwako)
Hapo mtu aliyesomea udereva ataendesha nini?
[emoji871] Licha ya hayo mambo kukawia yatafika. Lakini hata kabla hayajafika ajira ngapi zipo na nani atapata nani akose.
[emoji871] Wasomi wetu ni lazima waanze kuwaza tofauti na wasomi wa mwaka 1970. Lazima kuwaza option ya kusurvive nje ya mfumo wa ajira.
Wasomi wamefungwa na Elimu zao kama amesomea fani ya Sheria au Sociology basi lazima atumikie hiyo professional yake kumbe anaweza kuwa mwanasheria bado akawa Mkulima au mfanyabiasha akachepuka kulingana na mahitaji ya soko la jamii sio kufungwa na professional yako miaka 3 unasubilia Ajira ya professional yako..
Tatizo wengi wanachotaka ni MSHAHARA tu. Ndo maana wakikutana na wewe utasikia: "BRO NIUNGANISHE BASI HATA KWA RAFIKI ZAKO NIPATE KAZI".
[emoji871] Ndo lugha yao. NIUNGANISHE. Yaani utadhani wewe umekuwa fundi welding... Ukimpa idea nyingine HATAKI.
[emoji871] Ndo maana watu wasio na shule ndeefu ndo wanakuwa matajiri. Si bure. Katika matajiri wote 2000+ kwenye Forbes wenye MBA unaweza kuta hata 10 hawafiki. Na hao wenye hiyo MBA siyo kuwa ndo imewafanya wa excel in business.
[emoji871] Lazima kuwaza kwa mapana. Wasomi hawataki kuumiza kichwa wanataka ready made things. Hii si njema kwa afya ya uchumi wa taifa letu.
[emoji871] Ukitazama [HASHTAG]#DiamondPlutnumz[/HASHTAG] na karanga unashangaa kwa nini msomi akikuona unaanzisha biashara yako anataka umpe tu AJIRA hataki umfundishe afanye.
[emoji871] Makanisani nako wasomi wanaombewa tu wapate AJIRA. Basi. Kweli? Ina maana hakuna MAONO mengine kwa wasomi wetu isipokuwa ajira?
[emoji871] Elimu ya juu kwa vijana wengi imepeleka creativity yao na uthubutu wao CHINI!
So sad!
Sikiliza kijana msomi:
[emoji871] Ni muhimu kuyatazama maisha yako kwa mapana na kwa upya kabisa pasipo kuyahusisha na elimu yako ya darasani kabisa
MUNGU AWABARIKI SANA
[emoji871] Jifunze Kuthubutu tusiwe na kikomo cha kufikiri.
[emoji871] Fikiri hata mara 1000 usiochoke unapoanguka ndo inakuongezea uwezo wa kutatua Changamoto zinazokukakabili.
UNAWEZA WAKATI NI SASA.
[emoji871] Ukimwambia Bakhressa kuwa [HASHTAG]#mihogo[/HASHTAG] ni biashara nzuri atakuita board room muongee vizuri apate kujua vizuri lakini ukimfata msomi mwenye labda masters ya biashara ukamwambia kitu kile kile anaweza kukuona huna idea kichwani.
[emoji871] Nilipoona video ya [HASHTAG]#DiamondPlutnumz[/HASHTAG] akizindua biashara yake mpya ya [HASHTAG]#DiamondKaranga[/HASHTAG] nikawaza tena.
[emoji871] Nikamforwadia mdogo wangu mmoja anasoma "ELIMU YA JUU" kwa sasa. Alipoiangalia whpp nikamuuliza maswali machache [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
1. Hiyo ni video ya Diamond na karanga?
Akajibu [HASHTAG]#NDIYO[/HASHTAG] BRO
2. Nikamuuliza: Diamond amechuja kimuziki ndo maana kakimbilia karanga?
Akajibu [HASHTAG]#HAPANA[/HASHTAG]
3. Nikamuuliza: Diamond alisomea biashara Chuo?
Akajibu [HASHTAG]#HAPANA[/HASHTAG]
4. Nikamuuliza: Ana akili ya kibiashara?
Akajibu [HASHTAG]#NDIYO[/HASHTAG]
5. Nikamuuliza: Ana hela nzuri nzuri benki?
Akajibu [HASHTAG]#NDIYO[/HASHTAG]
6. Nikamuuliza: Sasa haoni aibu kuuza karanga?
Akajibu [HASHTAG]#HAPANA[/HASHTAG]
7. Nikamuuliza: Kwa nini haoni aibu? Akajibu nadhani sababu ya pale juu NAMBA 4
Nikajisemea: Good.
8. Nikamuuliza: Wewe umesoma kuliko Diamond?
Akajibu: [HASHTAG]#NDIYO[/HASHTAG] KAKA.
9. Nikamuuliza: Unaweza kuuza karanga? ......... (KIMYA)....... ..........
10. Nikataka kuuliza tena ........... nikaona "Typing............"
Jibu likaja: INATEGEMEA
[emoji871] Anyway mpaka hapo nikawa nimeelewa jibu sahihi ni lipi. Kwamba nikimpa huyu msomi option mbili baada ya masomo yake. Moja apate AJIRA pale Azikiwe CRDB, mshahara labda laki 9 kwa mwezi na mkopo nafuu wa kununua IST, halafu option nyingine iwe idea ya kuuza karanga/mihogo/maharage kuanzia zero ipi atachagua?
[emoji871] Nadhani jibu wote tunalo.
Kuna binti mwingine wa "Elimu ya Juu" alikuja kwangu akiomba msaada wa kutafutiwa mahali (sehemu ya kuajiriwa)
[emoji871] Hili ni [HASHTAG]#JANGA[/HASHTAG].
Tuna wasomi wetu wengi ambao wao wanachotaka ni AJIRA TU. Serikali nayo inadhani itaweza kutatua tatizo la ajira kwa a one-sided view.
[emoji871] Kwamba mtu asiye na ajira dawa yake kumpa ajira. Si kweli kwamba hiyo ndo dawa pekee. In fact tuendako hiyo ni wrong solution.
[emoji871] Mfano mdogo ajira za madereva kwa dunia ya leo zinaondoka moja moja.
Fikiria: [emoji871] Siku jiji hili la Dar es Salaam kwa mfano hili likiwa na Mwendokasi kila Kona ya jiji na huko mbali na city centre kote kuanzia Bunju (au Bagamoyo) hadi Mbagala na hadi huko Chalinze.
[emoji871] Halafu treni za umeme ziko
[emoji871] Halafu self driving cars
[emoji871] Halafu drones za kudeliver mizigo kwa wateja (yani uko zako nyumbani labda Bunju unaagiza chakula KFC Posta unalipia kwa M-PESA kinaletwa na drone ndani ya robo saa tu hadi mlangoni kwako)
Hapo mtu aliyesomea udereva ataendesha nini?
[emoji871] Licha ya hayo mambo kukawia yatafika. Lakini hata kabla hayajafika ajira ngapi zipo na nani atapata nani akose.
[emoji871] Wasomi wetu ni lazima waanze kuwaza tofauti na wasomi wa mwaka 1970. Lazima kuwaza option ya kusurvive nje ya mfumo wa ajira.
Wasomi wamefungwa na Elimu zao kama amesomea fani ya Sheria au Sociology basi lazima atumikie hiyo professional yake kumbe anaweza kuwa mwanasheria bado akawa Mkulima au mfanyabiasha akachepuka kulingana na mahitaji ya soko la jamii sio kufungwa na professional yako miaka 3 unasubilia Ajira ya professional yako..
Tatizo wengi wanachotaka ni MSHAHARA tu. Ndo maana wakikutana na wewe utasikia: "BRO NIUNGANISHE BASI HATA KWA RAFIKI ZAKO NIPATE KAZI".
[emoji871] Ndo lugha yao. NIUNGANISHE. Yaani utadhani wewe umekuwa fundi welding... Ukimpa idea nyingine HATAKI.
[emoji871] Ndo maana watu wasio na shule ndeefu ndo wanakuwa matajiri. Si bure. Katika matajiri wote 2000+ kwenye Forbes wenye MBA unaweza kuta hata 10 hawafiki. Na hao wenye hiyo MBA siyo kuwa ndo imewafanya wa excel in business.
[emoji871] Lazima kuwaza kwa mapana. Wasomi hawataki kuumiza kichwa wanataka ready made things. Hii si njema kwa afya ya uchumi wa taifa letu.
[emoji871] Ukitazama [HASHTAG]#DiamondPlutnumz[/HASHTAG] na karanga unashangaa kwa nini msomi akikuona unaanzisha biashara yako anataka umpe tu AJIRA hataki umfundishe afanye.
[emoji871] Makanisani nako wasomi wanaombewa tu wapate AJIRA. Basi. Kweli? Ina maana hakuna MAONO mengine kwa wasomi wetu isipokuwa ajira?
[emoji871] Elimu ya juu kwa vijana wengi imepeleka creativity yao na uthubutu wao CHINI!
So sad!
Sikiliza kijana msomi:
[emoji871] Ni muhimu kuyatazama maisha yako kwa mapana na kwa upya kabisa pasipo kuyahusisha na elimu yako ya darasani kabisa
MUNGU AWABARIKI SANA
[emoji871] Jifunze Kuthubutu tusiwe na kikomo cha kufikiri.
[emoji871] Fikiri hata mara 1000 usiochoke unapoanguka ndo inakuongezea uwezo wa kutatua Changamoto zinazokukakabili.
UNAWEZA WAKATI NI SASA.