Mingurumo au milipuko usiku huu Dar es Salaam

Mingurumo au milipuko usiku huu Dar es Salaam

Gily Gru

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2016
Posts
8,632
Reaction score
23,673
Niko Manzese nasikia milipuko muda mrefu mnaisikia au masikio yangu tu? mwanzo nilijua radi ila bado inaendelea kuna nini?
 
Nchi hii bwana kweli wanashindwa kutoa matangazo hata kwenye TV na Radio kuwa wananchi msishtuke leo kutakuwa na moja na mbili ni sherehe fulani kuondoka hofu kwa watu.
 
Back
Top Bottom