Mingurumo au milipuko usiku huu Dar es Salaam

Mingurumo au milipuko usiku huu Dar es Salaam

Kumbe wahindi, wameniamsha nimetoka na kitaulo watatuua na presha kwan mchana walikua wapi?
Taylor huwa zinakuwa bafuni wewe huwa unalala nayo kitandani?

Ushamba kweli mzigo ungesema umetoka na shuka Walau tungeona ushamba wako una nafuu kidogo .Sababu unatakiwa kuwa na nguo za kulali

Kidume kizima unalalala uchi ukistuliwa na chochote unatoka na Taulo lofa wewe hata shuka huna?

Hata shuka huna unajifunika taulo?
 
Taylor huwa zinakuwa bafuni wewe huwa unalala nayo kitandani?

Ushamba kweli mzigo ungesema umetoka na shuka Walau tungeona ushamba wako una nafuu kidogo .Sababu unatakiwa kuwa na nguo za kulali

Kidume kizima unalalala uchi ukistuliwa na chochote unatoka na Taulo lofa wewe hata shuka huna?

Hata shuka huna unajifunika taulo?
😂😂 Kweli una chuki na taulo la mshikaji
 
Taylor huwa zinakuwa bafuni wewe huwa unalala nayo kitandani?

Ushamba kweli mzigo ungesema umetoka na shuka Walau tungeona ushamba wako una nafuu kidogo .Sababu unatakiwa kuwa na nguo za kulali

Kidume kizima unalalala uchi ukistuliwa na chochote unatoka na Taulo lofa wewe hata shuka huna?

Hata shuka huna unajifunika taulo?
Typical JF
 
Back
Top Bottom