Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
Watu wanatuliza vichwa sio kama wanaoitwa wasomi uchwara.Wakuu hizi mini coopers msizichukulie poa mkadhani Ni size ya IST sijui Vitz zenu. Mzungu Katia Mini Cooper 5 door (2022) speed 260kph ni motooo
Kazi iendeleeSura mbaya
Wewe Upinde mwenzao mbona Huna? Au unagawa bure?Nasikia ni gari za upinde
ivi umelewa nilicho andika?Wewe Upinde mwenzao mbona Huna? Au unagawa bure?
Mmh mbona mmeharibu Uzi wa magari mnaleta mambo ya kuchimbana mav?kuchambana ndo nn?
Golf zinapendwa Sana South Africa huchelew kupigwa risasi ukiwa nayo
😂 wahuni nomaGolf zinapendwa Sana South Africa huchelew kupigwa risasi ukiwa nayo
Kuuza Bandari 🤐Sisi tunaweza nn sasa?