Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😃😁😂😆😄😅😀😀Sasa Kila Kitu Kitakuwa Kinapinda TuNasikia ni gari za upinde
Hapo wameungaunga vifaa vya kampuni tofaut ndo ubunifu tayariWatu wanatuliza vichwa sio kama wanaoitwa wasomi uchwara.
View attachment 2715882
Bongo aiseeHapo wameungaunga vifaa vya kampuni tofaut ndo ubunifu tayari
Gari zitoazo Moshi na zilitembelea Mileage kubwa in short bongo ni dampo ya magari machafu kutoka njeeBongo tunaendesha uchafu
iongezee maelezo mkuu, beiToyota yaris GR kiboko yakeView attachment 2715903
[emoji1] [emoji1787] [emoji23]Nasikia ni gari za upinde
Mkuu hio ni 1.6L mashine ya Toyota ina speed ya kutosha na ni turbocharged machine. Power wise ina 276HP sawa na VX V8 na ni manual gear. Ni moto wa kuotea mbali.iongezee maelezo mkuu, bei
imekaa poa sana.
Macelebrities wa kibongo hizo hawazijui,wajanja wachache wenye uelewa ndio wanazielewa...Wakuu hizi mini coopers msizichukulie poa mkadhani Ni size ya IST sijui Vitz zenu. Mzungu Katia Mini Cooper 5 door (2022) speed 260kph ni motoooo. Bei inakimbizana na SUV zenu mnazovimba nazo Kidimbwi.
Ajabu hakuna Celebrity bongo anayetamba na chuma design hii. Zaidi ya Noah na Alphard Kama wanauza vyombo vya jikoni.
View attachment 2715878View attachment 2715879View attachment 2715880
Mkuu umetumia silaha kali sana kummaliza 😀Wewe Upinde mwenzao mbona Huna? Au unagawa bure?
Hii kwa hela ya madafu sh ngapi mkuu
Aisee nmecheka 😀Kuuza Bandari 🤐
ingia beforward si unajua shilingi yetu imeporomokaHii kwa hela ya madafu sh ngapi mkuu