Mafian cartel
JF-Expert Member
- Nov 19, 2021
- 3,876
- 7,118
- Thread starter
-
- #61
Kurusha drones kwenye sehemu kama hiyo unahitaji kibali lakini kwenye maeneo ambayo hayahitaji vibali hapo unaweza kurusha bila restrictions zozoteMkuu sheria za TANAPA zinakuhitaji kurusha drone hifadhini ni lazima uwe na afisa kutoka JWTZ no matter what. Je mimi nikinunua hiyo na nikatamani kwenda nayo kutalii nikapige picha na kurecord videos itakuwaje.
Hapana boss hiyo mini s128 sina nilikua na Mini s65 ambazo zimeshaisha
Ptsha uje utupe mrejeshoNki ipaisha juu ya kambi ya jeshi vp
Ikifika meter 200 ndo mwisho wa coverage ya remote kwahyo Kitabaki hapo hapo mpaka ukirudisheNikikipeleka umbali wa zaidi ya mita 200 kinadondoka au kinapotea kama ile ndege ya Malaysia?