2
Mtu akimudu hizo ghalama za uwekezaji, kuna ka faida kweli?
Nakazia na umeme uwe 24/7. OvaMkuu hizo GPU card uwezo wa kuzinunua tunao kweli, maana GPU moja ya kusupport mining ni kati ya tsh400,000 na ili uone faida zinatakiwa zaid ya 3, yan had umekamilisha mining rig unajikuta ume invest kama 4milion, hapo bado pc yenye processing power kubwa...... SO MINING SIO PESA YA BURE TU KAMA UNAVYOIELEZEA.... ni investment..
Change ur mindset.. kuna mambo yanawaingizia watu pesa kiasi kwamba ukiambiwa unaweza mcheka anaye kwambia.. #tuwewadadisiKuna mtu anapigwa hapa. Tangazo lipo creative sana
Sawa mkuu.. nenda inbox, lakini kumbuka kitu kimoja tu "ukiitwa kwenye fursa ujue wewe ndio fursa yenyewe"Change ur mindset.. kuna mambo yanawaingizia watu pesa kiasi kwamba ukiambiwa unaweza mcheka anaye kwambia.. #tuwewadadisi
Jamani watanzania tuamke Dunia inaenda mbio sana ....kama utang'ang'ana na biashara moja hakika kilio kwako kiuchumi kitakusonga hivyo jifunze kujivunia pesa mtandaoni kama wenzako wanavyofanya...
Kwanini bando lako liwe la kufacebuka tuu na kuwasapika tuu bila kuingiza hata mia ...
Shituka ingia Dunia ya wapambanaji ujue walau kuingiza hata $50 tu ya mdhungu.😁
Kuna pesa nyingi mtandaoni lakini Anza na hizi ambazo huwekezi hata mia yako mtandaoni...Mining, Freelancing, gathering coin nk
Ukishakuwa mwenyeji mtandaoni ndio jiingize kwa hao Forex na wengineo....
Huku kunavitu vingi vya kufanya na kujiingizia pesa kikubwa ni kumpata mtu sahihi na asiye na tamaa ya kukuomba pesa akuelekeze...
Vijana changamka pesa ya mtandao ipooo👌Wakenya wanapiga pesa, Nigerian, Uganda na nchi za west kwanini sisi Tuwe mikia Kila sehemu🥴
Ni hayoo tuu niloyaleta Leo kama utahitaji kujua usisite kuniinbox 🙏
Jamaa anadhani Uwekezaji wa coin mining ni kam freelance writingnimeishia hapa, $%^&(&&^%% wewe, unajua ni resources zipi inabidi uwe nazo mpaka uanze fanya mining ?
au utumie simu ku mine , na kutengeneza dollari 0.00001 kila siku siyo
Zipo mining unafanya kwa simu yako sasahv hv kaka. Teknolojia imekuaMkuu hizo GPU card uwezo wa kuzinunua tunao kweli, maana GPU moja ya kusupport mining ni kati ya tsh400,000 na ili uone faida zinatakiwa zaid ya 3, yan had umekamilisha mining rig unajikuta ume invest kama 4milion, hapo bado pc yenye processing power kubwa...... SO MINING SIO PESA YA BURE TU KAMA UNAVYOIELEZEA.... ni investment..
Kwa sasa mfano kumine bitcoin bila minning plant na jinsi ya kupata umeme wa bei rahisi gharama za umeme zitazidi unachopata. Ndio maana miners wengi ama ni wezi wa umeme, au wamefunga mifumo ya uchimbaji na wanazalisha umeme kutumia m
Sio lazima umine bitcoin, zipo coin nyng unamine kwenye sim yako kwa urahis kbsa, na Zina faida piaNakazia na umeme uwe 24/7. Ova
🔨🛠 ngoja tuendelee kuenoy tunaoelewaChange ur mindset.. kuna mambo yanawaingizia watu pesa kiasi kwamba ukiambiwa unaweza mcheka anaye kwambia.. #tuwewadadisi
Yah najua hilo ila faida yake ndogo sana.Sio lazima umine bitcoin, zipo coin nyng unamine kwenye sim yako kwa urahis kbsa, na Zina faida pia
Kuna mtu nilishawahi kumwambia kuwa siku nikianza kuishi kwenye apartments zenye internet naweka rig kwa ajili ya mining kisha natulia zangu na shughuli zingine.Mkuu hizo GPU card uwezo wa kuzinunua tunao kweli, maana GPU moja ya kusupport mining ni kati ya tsh400,000 na ili uone faida zinatakiwa zaid ya 3, yan had umekamilisha mining rig unajikuta ume invest kama 4milion, hapo bado pc yenye processing power kubwa...... SO MINING SIO PESA YA BURE TU KAMA UNAVYOIELEZEA.... ni investment..