King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Siamini mamlaka ni mchezo kutupotezea ionekane pia lile Gari la CCM sumu ya Nyigu alilipua hadharani ni bandia.
Cc King Kong III
Daaah noma sana nitaenda kuulizia hapo Minjingu ,wafanyakazi wa serikalini wengi wanapiga madili ili maisha yaendelee....Just imagine DAS anaiba mafuta hahaaaa hatari ogopa.