Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio awe na umbo la kizembe namna hiyo!Muonekano wa Kamanda wetu inadhihirisha amani ipo sana nchini. No stress
... malizia tu; muda wowote ambulance itaitwa akimbizwe kule!Daaah kuna mmoja hapo, anyway ngoja nikaushe tuu
Hahaha a umezingatia vigezo gani mkuuHuyu aliyekaa kati kat ya Uganda na Kenya, yuko vyedi kwa matumizi ya binadamu, mkewe na hawara zake wanafaidi mnooo.
Anahamasisha kwa kweli, woiiiiiiiih