Mionekano ya Makamanda wetu wa Majeshi ya Nchi za Afrika Mashariki

Mionekano ya Makamanda wetu wa Majeshi ya Nchi za Afrika Mashariki

Huyu aliyekaa kati kat ya Uganda na Kenya, yuko vyedi kwa matumizi ya binadamu, mkewe na hawara zake wanafaidi mnooo.
Anahamasisha kwa kweli, woiiiiiiiih
Wee umeona kama mimi. Ila nguo za jeshi ni kaliiii sijui nani alizibuni.
 
Huyu aliyekaa kati kat ya Uganda na Kenya, yuko vyedi kwa matumizi ya binadamu, mkewe na hawara zake wanafaidi mnooo.
Anahamasisha kwa kweli, woiiiiiiiih
Njoo pm upewe nambazake ujieleze akakupelekee moto
 
Mnao m'beza mjeda wa bongo
Ingieni 18 zake halaf mtaona shoo ya kitambi ilivyo
Hamna kitu, unene dalili za uzembe, magonjwa na uvivu...
Hata alivyokaa tuu kuinuka ni shida...huyu ninamkimbiza hasa, usiogope hiyo minguo kaivaa, yaani huyu anaweza ku crawl, kuruka ukuta, hata akijaribu kuzamia naona anarudi na kuelea ....
 
Makamanda wengi wa kitanzania wamekaa kizembe sana, nahisi hii amani iliyopo inawakevya hawana stress yaan
 
najua kuna wagagagikoko watamjadili huyo kamanda wa tz.kama wapo humu nawapa taarifa huyo kamanda wa tz anauwezo wa kuchapa kijiji chenu na ukoo wenu wote.
Kabla ya sis wakijijin heb aanze na wezie hapo pembeni yake
 
Huyu aliyekaa kati kat ya Uganda na Kenya, yuko vyedi kwa matumizi ya binadamu, mkewe na hawara zake wanafaidi mnooo.
Anahamasisha kwa kweli, woiiiiiiiih
Enjoy dear! au nikupe number kabisa?
 

Attachments

  • kazura.jpg
    kazura.jpg
    67.2 KB · Views: 20
  • General-Kazura-reka-se-nyine-.jpg
    General-Kazura-reka-se-nyine-.jpg
    33.3 KB · Views: 18
Huyo wa kwetu Tz tunamuitwa "Kibonge mwepesi" yaani ana speed kama upepo.
 
Back
Top Bottom