Wee umeona kama mimi. Ila nguo za jeshi ni kaliiii sijui nani alizibuni.Huyu aliyekaa kati kat ya Uganda na Kenya, yuko vyedi kwa matumizi ya binadamu, mkewe na hawara zake wanafaidi mnooo.
Anahamasisha kwa kweli, woiiiiiiiih
Njoo pm upewe nambazake ujieleze akakupelekee motoHuyu aliyekaa kati kat ya Uganda na Kenya, yuko vyedi kwa matumizi ya binadamu, mkewe na hawara zake wanafaidi mnooo.
Anahamasisha kwa kweli, woiiiiiiiih
Hali jicho we endelea tu kumtamani mwa............me mwenzio.Huyu aliyekaa kati kat ya Uganda na Kenya, yuko vyedi kwa matumizi ya binadamu, mkewe na hawara zake wanafaidi mnooo.
Anahamasisha kwa kweli, woiiiiiiiih
🤣🤣🤣🤣🤣Eh au anakula mateka.?
Hamna kitu, unene dalili za uzembe, magonjwa na uvivu...Mnao m'beza mjeda wa bongo
Ingieni 18 zake halaf mtaona shoo ya kitambi ilivyo
Kabla ya sis wakijijin heb aanze na wezie hapo pembeni yakenajua kuna wagagagikoko watamjadili huyo kamanda wa tz.kama wapo humu nawapa taarifa huyo kamanda wa tz anauwezo wa kuchapa kijiji chenu na ukoo wenu wote.
Enjoy dear! au nikupe number kabisa?Huyu aliyekaa kati kat ya Uganda na Kenya, yuko vyedi kwa matumizi ya binadamu, mkewe na hawara zake wanafaidi mnooo.
Anahamasisha kwa kweli, woiiiiiiiih
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Muonekano wa Kamanda wetu inadhihirisha amani ipo sana nchini. No stress
ni wanachi gani anayemiss, naona kuna bendela haina muwakilishi.
Jeshi ni protokali sio kila mwanajeshi anaingia front line, kawaulize warusi.Huyo wa Tanzania kwa kweli ni kumhurumia sana
Hiyo bendera ni ya jumuia ya Afrika mashariki, so ni ya kila kamanda hapo.ni wanachi gani anayemiss, naona kuna bendela haina muwakilishi.