Miongoni mwa vitu vichache vinavyoongeza stress hivi hapa

Miongoni mwa vitu vichache vinavyoongeza stress hivi hapa

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Asikwambie mtu!

Stress inaumiza sana watu pasipo sababu!
Haya hapa ni mambo machache tu yanavyoweza kuongeza stress!
  1. Kushabikia litimu ambalo linafungwa au kubahatisha ushindi
  2. Kuwa na mme mlevi asiyejali familia (kwa wanawake)
  3. Kuwa na mke ambaye period haitabiliki (kwa waume)
  4. Kuwa na bosi kazini mwenye kufoka foka
  5. Kuwa na simu ambayo tachpad inasumbua
  6. Kuwa na gari bovu asikwambie mtu stress zake
  7. Kupika chakula ukiwa huna uhakika endapo gesi iliyomo kama itatosha kuivisha chakula na huna hela ya mfukoni
  8. Kutumiwa hela ya mkopo kwenye namba iliyokopa songesha
  9. Kuwa na mvurugo wa tumbo la ghafla
  10. Kuwa na mpenzi mwenye pesa lakini bahili wa kutupwa
  11. Kuchukua mikopo ya wanyonya damu (ten percent) n.k..... Ongezea stress yako tupeane uzoefu humu; Comment yenye like nyingi itakuwa ndo common stress kwa watu wengi
 
Hahaha kwa vijana ni hivi:
  • Social Media
Hapa naongelea Instagram, TikTok, Facebook, WhatsApp etc. ukianza angalia lifestyle la watu humo na wewe ukijifananisha utajiona umechelewa sana. Ukianza fatilia umbea wa Diamond, Harmonize, Kajala yaani utakupa stress ova wewe ni msemaji wa Wasafi.
  • Mapenzi
Especially yale mapenzi ya upande mmoja. Mfano unampenda demu ambaye yeye hana mpango na wewe. Au kujipendekeza kwa ex wako ambae yeye amemove on ila wewe umekataa. Ni zaidi ya kifungo. Inakupa stress, inakumalizia hela na unapotea kwenye form kabisa.

Na Mwisho
  • Umasikini/Ajira/Pesa
Nyie sikieni tu.

Notable Mention:

KUBET

Hii me naona kwa vijana.
 
  • Mapenzi
Especially yale mapenzi ya upande mmoja. Mfano unampenda demu ambaye yeye hana mpango na wewe. Au kujipendekeza kwa ex wako ambae yeye amemove on ila wewe umekataa. Ni zaidi ya kifungo. Inakupa stress, inakumalizia hela na unapotea kwenye form kabisa.
Binafsi natamani sana nami niExperience hichi kitu nione mapenzi yanaumaje.
Shida ni moja kwangu, I don't care! Hata uwe nani mimi sijali chochote utakachonifanyia.
 
Asikwambie mtu!

Stress inaumiza sana watu pasipo sababu!
Haya hapa ni mambo machache tu yanavyoweza kuongeza stress!
  1. Kushabikia litimu ambalo linafungwa au kubahatisha ushindi
  2. Kuwa na mme mlevi asiyejali familia (kwa wanawake)
  3. Kuwa na mke ambaye period haitabiliki (kwa waume)
  4. Kuwa na bosi kazini mwenye kufoka foka
  5. Kuwa na simu ambayo tachpad inasumbua
  6. Kuwa na gari bovu asikwambie mtu stress zake
  7. Kupika chakula ukiwa huna uhakika endapo gesi iliyomo kama itatosha kuivisha chakula na huna hela ya mfukoni
  8. Kutumiwa hela ya mkopo kwenye namba iliyokopa songesha
  9. Kuwa na mvurugo wa tumbo la ghafla
  10. Kuwa na mpenzi mwenye pesa lakini bahili wa kutupwa
  11. Kuchukua mikopo ya wanyonya damu (ten percent) n.k..... Ongezea stress yako tupeane uzoefu humu; Comment yenye like nyingi itakuwa ndo common stress kwa watu wengi
Kupenda husipopendwa
 
1.Kuwa kwenye mahusiano huna hela

2.kwenda chooni na watu wapo nje ( kukatagogo maana hua na brake za upepo)

3.Kuangalia x kisha kutaka kujizuia usijibutue cha chapchap

4.kuna ice cream za baharesa mbele ya demu au wana

5.Kubana gas kwenye daladala
 
Hahaha kwa vijana ni hivi:

  • Social Media
Hapa naongelea Instagram, TikTok, Facebook, WhatsApp etc. ukianza angalia lifestyle la watu humo na wewe ukijifananisha utajiona umechelewa sana. Ukianza fatilia umbea wa Diamond, Harmonize, Kajala yaani utakupa stress ova wewe ni msemaji wa Wasafi.

  • Mapenzi
Especially yale mapenzi ya upande mmoja. Mfano unampenda demu ambaye yeye hana mpango na wewe. Au kujipendekeza kwa ex wako ambae yeye amemove on ila wewe umekataa. Ni zaidi ya kifungo. Inakupa stress, inakumalizia hela na unapotea kwenye form kabisa.

Na Mwisho

  • Umasikini/Ajira/Pesa

Nyie sikieni tu.

Notable Mention:

KUBET

Hii me naona kwa vijana.
Kwenye kubeti hapo ni noma
 
Back
Top Bottom