Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kudaiwa hela ya kikoba au rejesho na bebi,halafu huna hela,kibaya zaidi ukute ex wake ana mawe kukuzidi na uwezo wa kumpa bebi wako anao.....na Bado wanawasilianaAsikwambie mtu!
Stress inaumiza sana watu pasipo sababu!
Haya hapa ni mambo machache tu yanavyoweza kuongeza stress!
- Kushabikia litimu ambalo linafungwa au kubahatisha ushindi
- Kuwa na mme mlevi asiyejali familia (kwa wanawake)
- Kuwa na mke ambaye period haitabiliki (kwa waume)
- Kuwa na bosi kazini mwenye kufoka foka
- Kuwa na simu ambayo tachpad inasumbua
- Kuwa na gari bovu asikwambie mtu stress zake
- Kupika chakula ukiwa huna uhakika endapo gesi iliyomo kama itatosha kuivisha chakula na huna hela ya mfukoni
- Kutumiwa hela ya mkopo kwenye namba iliyokopa songesha
- Kuwa na mvurugo wa tumbo la ghafla
- Kuwa na mpenzi mwenye pesa lakini bahili wa kutupwa
- Kuchukua mikopo ya wanyonya damu (ten percent) n.k..... Ongezea stress yako tupeane uzoefu humu; Comment yenye like nyingi itakuwa ndo common stress kwa watu wengi
HahahKudaiwa hela ya kikoba au rejesho na bebi,halafu huna hela,kibaya zaidi ukute ex wake ana mawe kukuzidi na uwezo wa kumpa bebi wako anao.....na Bado wanawasiliana
KubetAsikwambie mtu!
Stress inaumiza sana watu pasipo sababu!
Haya hapa ni mambo machache tu yanavyoweza kuongeza stress!
- Kushabikia litimu ambalo linafungwa au kubahatisha ushindi
- Kuwa na mme mlevi asiyejali familia (kwa wanawake)
- Kuwa na mke ambaye period haitabiliki (kwa waume)
- Kuwa na bosi kazini mwenye kufoka foka
- Kuwa na simu ambayo tachpad inasumbua
- Kuwa na gari bovu asikwambie mtu stress zake
- Kupika chakula ukiwa huna uhakika endapo gesi iliyomo kama itatosha kuivisha chakula na huna hela ya mfukoni
- Kutumiwa hela ya mkopo kwenye namba iliyokopa songesha
- Kuwa na mvurugo wa tumbo la ghafla
- Kuwa na mpenzi mwenye pesa lakini bahili wa kutupwa
- Kuchukua mikopo ya wanyonya damu (ten percent) n.k..... Ongezea stress yako tupeane uzoefu humu; Comment yenye like nyingi itakuwa ndo common stress kwa watu wengi
HatariKuchacha....mpk ukakosa hata hela ya bando walao la kuingia mtandaoni ukapoteza muda
Ule mwendo mixa arosto,unatembea njia nzima unawaza tutu...hata ukipishana manzi mkali huwezi kuomba namba unahisi atakucheleweshaKuishi mbali na Pusha.
Nina rafiki au jamaa yangu yuko pale Mbeya mjini mwanasheria wa kujitegemea anaitwa Isaack msyte aliwahi nipa principle moja kuwa Kazi ya mwanamke ni kushawishiwa ili awe tayari au hata asipokuwa tayari,in this case,please kila mtu aamini lake.Kulazimisha penzi kwa mwanamke unayempenda na huna Pesa.
This is too much stress for me.
Money bring a woman ,,a woman bring loveNina rafiki au jamaa yangu yuko pale Mbeya mjini mwanasheria wa kujitegemea anaitwa Isaack msyte aliwahi nipa principle moja kuwa Kazi ya mwanamke ni kushawishiwa ili awe tayari au hata asipokuwa tayari,in this case,please kila mtu aamini lake.
Una bahati sana,iyo ni zaid ya tunu!![emoji2]Binafsi natamani sana nami niExperience hichi kitu nione mapenzi yanaumaje.
Shida ni moja kwangu, I don't care! Hata uwe nani mimi sijali chochote utakachonifanyia.
Mzee UNALIALIA SANA ASEEE HUNA HATA MCHEPUKO HUKO MKUUUUU 😅Number moja:
Mke akinuna, hafungui mguu Wala mdomo, na hii baridi ya kipindi hiki.
Mzee UNALIALIA SANA ASEEE HUNA HATA MCHEPUKO HUKO MKUUUUU 😅
Gusa chaputa aseee huna jinsi tena hapoUtaenda kwa mchepuko usiku huu? Ukikuta Kuna lijamaa?
AahaaaaaaKuwa na demu anayeshinda kuangalia tamthilia siku nzima na kutaka kuishi maisha ya maigizo aliyoyaona kwenye TV. Hapo hapo anashinda anaangalia TV hajaoga wala kupiga mswaki, ananuka shombo kishenzi na nyumba hajasafisha. Aiseee, yaani basi tu.