Miongoni mwa vitu vichache vinavyoongeza stress hivi hapa

Miongoni mwa vitu vichache vinavyoongeza stress hivi hapa

Betting halafu mechi moja unayoiamini ndo ya mwisho halafu ikuchanie. ***** hata dudu haidisi
 
Nyie watu katika vitu vinavyotia stress Ni pale umetembea na mchepuko bila Kinga, halafu kufika nyumbani nako ukatimiza wajibu nyama nyama. Sasa baada ya siku tatu unaona abdala kichwa ngumu anaanza kuwasha kwenye bomba na kutoa discharge rangi ya cream.
Stress inakuja jinsi ya kumuambia wife kwamba umemuambukiza gono na inabidi mkatibiwe.
Ikikukuta hii ndio utajua wanawake huwajui.
 
Nina rafiki au jamaa yangu yuko pale Mbeya mjini mwanasheria wa kujitegemea anaitwa Isaack msyte aliwahi nipa principle moja kuwa Kazi ya mwanamke ni kushawishiwa ili awe tayari au hata asipokuwa tayari,in this case,please kila mtu aamini lake.
Ooohoooh
 
Nyie watu katika vitu vinavyotia stress Ni pale umetembea na mchepuko bila Kinga, halafu kufika nyumbani nako ukatimiza wajibu nyama nyama. Sasa baada ya siku tatu unaona abdala kichwa ngumu anaanza kuwasha kwenye bomba na kutoa discharge rangi ya cream.
Stress inakuja jinsi ya kumuambia wife kwamba umemuambukiza gono na inabidi mkatibiwe.
Ikikukuta hii ndio utajua wanawake huwajui.
Hatari na nusu
 
Kumhudumia mwanamke kwa kila kitu huku akiwa hana mapenzi na ww mahaba yake yopo kwa mwingine ww anakutumia kitega uchumi wake
 
Asikwambie mtu!

Stress inaumiza sana watu pasipo sababu!
Haya hapa ni mambo machache tu yanavyoweza kuongeza stress!
  1. Kushabikia litimu ambalo linafungwa au kubahatisha ushindi
  2. Kuwa na mme mlevi asiyejali familia (kwa wanawake)
  3. Kuwa na mke ambaye period haitabiliki (kwa waume)
  4. Kuwa na bosi kazini mwenye kufoka foka
  5. Kuwa na simu ambayo tachpad inasumbua
  6. Kuwa na gari bovu asikwambie mtu stress zake
  7. Kupika chakula ukiwa huna uhakika endapo gesi iliyomo kama itatosha kuivisha chakula na huna hela ya mfukoni
  8. Kutumiwa hela ya mkopo kwenye namba iliyokopa songesha
  9. Kuwa na mvurugo wa tumbo la ghafla
  10. Kuwa na mpenzi mwenye pesa lakini bahili wa kutupwa
  11. Kuchukua mikopo ya wanyonya damu (ten percent) n.k..... Ongezea stress yako tupeane uzoefu humu; Comment yenye like nyingi itakuwa ndo common stress kwa watu wengi
9:Kuwa na mvurugo wa tumbo ghafla,ukiwa safarini.
 
Kumpenda asiyekupenda
Hii ni hatar hata ukijamba anakwambia kila mtu aishi kivyake jua tu una mtoto wako kwangu! Wakati yy ndo alokuomba murudiane ukawaacha wengine wenye akili zao timamu
 
Hahaha kwa vijana ni hivi:
  • Social Media
Hapa naongelea Instagram, TikTok, Facebook, WhatsApp etc. ukianza angalia lifestyle la watu humo na wewe ukijifananisha utajiona umechelewa sana. Ukianza fatilia umbea wa Diamond, Harmonize, Kajala yaani utakupa stress ova wewe ni msemaji wa Wasafi.
  • Mapenzi
Especially yale mapenzi ya upande mmoja. Mfano unampenda demu ambaye yeye hana mpango na wewe. Au kujipendekeza kwa ex wako ambae yeye amemove on ila wewe umekataa. Ni zaidi ya kifungo. Inakupa stress, inakumalizia hela na unapotea kwenye form kabisa.

Na Mwisho
  • Umasikini/Ajira/Pesa
Nyie sikieni tu.

Notable Mention:

KUBET

Hii me naona kwa vijana.
KUBET 🙌🙌
 
Binafsi natamani sana nami niExperience hichi kitu nione mapenzi yanaumaje.
Shida ni moja kwangu, I don't care! Hata uwe nani mimi sijali chochote utakachonifanyia.
Nilisomaga uzi wako mmoja. Uligusia hivi vitu.
 
Back
Top Bottom