Tetesi: Miongoni mwa Wabunge 19 waasi wa CHADEMA wawili kati yao ni wake za Benson Kigaila na Salumu Mwalim hoja kuwa waliapa bila baraka za chama zinaukweli?

Hilo chama lenu halina maana uaneni tuu
 
Mbona waume za hao wake hawajajiudhuru uongozi ndani ya chadema?
 
Cc Erythrocyte
 
Achana na hizo dana dana, tuzungumzie kwanza mahusiano ya kindoa na kimapenzi kwa viongozi wa chama na hao wabunge yana ukweli wowote, je yamekaaje hayo?

Dana dana hiyo yawezakuwa ni syndicate ya kimaslahi kati ya viongozi waliotajwa wa Chadema na Ccm.

Kama kweli waliotajwa wameoa Covid 19, basi mleta uzi ana hoja yenye mashiko.
 
Kwa ivo Eva alipokula tunda la mti wa kati ya Bustani Adam alijua?

Mambo ya kubashiri kwenye uhalisia ni ushirikina. Kama Kuna ushahidi si uwekwe hadharani?
Ushahid gan unataka mtu unaelala nae kitandani asafir MPAKA Dodoma kwenda kuapa na mume usijue kuwa mke wako kateuliwa kuwa mbunge, LABDA AJITETEE MKEWE ALITEKWA NA AKARUDI AKIWA MBUNGE
 
Wataje majina hao wa salum mwalim na huyo kigaila. Vyengine itakuwa propaganda
 
Habari hizi ni za kweli ama uzushi? Nipeni ushahidi kuwa habari hizi ni za kweli mm niache kuwashabikia chadema kuanzia leo.

Niliambiwa mke wa Ally Bananga a.k.a Binamu (ambaye Sasa ni mwanaccm) ndiye alikuwa miongoni wa COVID-19. Sasa kama na wake za Benson Kigaila na Salum Mwalimu nao ni COVID-19, basi huu ni ushenzi wa kisiasa.
 
Wake zao ni kina Nani wataje maana hatuwajui ,wengine hatufuatilii mambo ya siasa.
 
Mke wa Salumu Mwalimu anaitwa nani????
 
Anaitwa Kunti Kajala.👇
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…