Mipango ikoje kuingiza trekta kutoka South Africa mpaka Bongo? Msaada tafadhali

Mipango ikoje kuingiza trekta kutoka South Africa mpaka Bongo? Msaada tafadhali

Nyaru-sare

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2019
Posts
5,261
Reaction score
3,679
Wadau naomba kuuliza kuna Trekta aina ya Telefunken-X-Germany, limeshatumiwa na mkulima Kaburu kama miaka 8 hivi, nimeipenda utendaji wake, niko hapa South-Pretoria ni nzuri sana. Ngoma inakuja kuiingiza Bongo. Itakuwaje na hali ya sasa ya mzee jiwe? Hatabiriki. Vipuri hata kama huko havipo, nitavifuata huku.

1. Multi purposes full air conditioned
2. Inalima kwa kuchimbua unavyotaka, pia kulingana na aina ya udongo. Unaweza kuirekebisha utakavyo kiumbo ikawa:
3. Mashine ya kusaga, nafaka/kukoboa, au chakula cha mifugo km kuku au nguruwe.
4. Inavuta maji mtoni,
5. Ina kijiko cha kuchimbua mitaro, malambo nk.
6. Ina trailer na uwezo wa kunyunyizia dawa popote, hata mtaani.
7. Ina majembe ya kulimia zaidi ya moja,
8. Mpaka na mtambo wa kukatia ng'ombe majani,
9. Kukamulia maziwa ya ng'ombe,
10. Nzuri zaidi ina mtambo wenye uwezo mkubwa wa kuendesha kiwanda kidogo, kulingana na mahitajio yako; kama vile kufyatua vifungashio vya maji/ au vinywaji yaani plastic bottles, kufyatua tofali kama ni mjenzi.
11. Kuchongea vipuri vya viwandani na magari nk.
12. Kuvuna mahindi na winchi ya kupack magunia kwenye lori baada ya kuvuna mahindi au viazi mbatata.

Yaani full kufanya kazi mwaka mzima, ndiyo ilivyo, ukizingatia kuifanyia service na matunzo tu.
 
Mkuu mbona hujaweka picha? Hizo sifa ulizotaja hicho ni kiwanda kinachotembea, nahisi utapewa na msamaha wa kodi kabisa! Kila la kheri
 
Wadau naomba kuuliza kuna Trekta aina ya Telefunken-X-Germany, limeshatumiwa na mkulima Kaburu kama miaka 8 hivi, nimeipenda utendaji wake, niko hapa South-Pretoria ni nzuri sana. Ngoma inakuja kuiingiza Bongo. Itakuwaje na hali ya sasa ya mzee jiwe? Hatabiriki. Vipuri hata kama huko havipo, nitavifuata huku.

1. Multi purposes full air conditioned
2. Inalima kwa kuchimbua unavyotaka, pia kulingana na aina ya udongo. Unaweza kuirekebisha utakavyo kiumbo ikawa:
3. Mashine ya kusaga, nafaka/kukoboa, au chakula cha mifugo km kuku au nguruwe.
4. Inavuta maji mtoni,
5. Ina kijiko cha kuchimbua mitaro, malambo nk.
6. Ina trailer na uwezo wa kunyunyizia dawa popote, hata mtaani.
7. Ina majembe ya kulimia zaidi ya moja,
8. Mpaka na mtambo wa kukatia ng'ombe majani,
9. Kukamulia maziwa ya ng'ombe,
10. Nzuri zaidi ina mtambo wenye uwezo mkubwa wa kuendesha kiwanda kidogo, kulingana na mahitajio yako; kama vile kufyatua vifungashio vya maji/ au vinywaji yaani plastic bottles, kufyatua tofali kama ni mjenzi.
11. Kuchongea vipuri vya viwandani na magari nk.
12. Kuvuna mahindi na winchi ya kupack magunia kwenye lori baada ya kuvuna mahindi au viazi mbatata.

Yaani full kufanya kazi mwaka mzima, ndiyo ilivyo, ukizingatia kuifanyia service na matunzo tu.
Ficha baadhi ya sifa vinginevyo TRA watabaki nalo
 
Ficha baadhi ya sifa vinginevyo TRA watabaki nalo
Ok! mkuu Baba akhsante sana kwa ushauri. But nina wasiwasi kama nikificha wanaweza wakai Google, then nionekane mimi ni muongo waka nishushua na punishment juu, mzee mzima nikaadhirika kwa hilo. au imekaaje hapa mkuu?
 
Ok! mkuu Baba akhsante sana kwa ushauri. But nina wasiwasi kama nikificha wanaweza wakai Google, then nionekane mimi ni muongo waka nishushua na punishment juu, mzee mzima nikaadhirika kwa hilo. au imekaaje hapa mkuu?
Kabla halijafika tafuta watoto wa mjini wakuunganishe na maafisa wa tra mtaani kwanza kabla mzigo haujafika zungumza nao ,penye udhia penyeza rupia
 
Hili trekta au kiwanda cha kusadikika Tra watakupa mkono wa bye bye na kunywa nao kahawa tu.
Usihofu endesha uje
 
Jambo la muhimu ni wewe kuchukua vifaa ambavyo utavitumia utalipia kodi kiasi kwa kuwa trekta halina kodi
Ok! mkuu Baba akhsante sana kwa ushauri. But nina wasiwasi kama nikificha wanaweza wakai Google, then nionekane mimi ni muongo waka nishushua na punishment juu, mzee mzima nikaadhirika kwa hilo. au imekaaje hapa mkuu?
 
Usidanganywe trekta halina kodi baadhi ya vifaa ndio vina Kodi nadhani sio kubwa usifanye kukwepa Kodi hii ndogo utakuja kujuta....na cha ajabu unakwepa kodi ndogo unatoa rushwa kubwa pasipo kujua mimi nanyooka na vifaa vyangu vyote iwe Tunduma,Kasumulu boarder au Airport hasa ya Dar Kilimanjaro ni uchuro Kodi zao zinalipika kuliko kudanganya wakudake lipigwe mnada...trekta hata nisingejiuliza mara mbili mbili ni kulibeba na kutembea nalo unalipia kitu vitu vingine watu hata hawavijui unakadiliwa kawaida tuu...maisha yenyewe hela ngumu harafu uichezee kwa kuhatarisha ipotee kizembe hapana...
 
Usidanganywe trekta halina kodi baadhi ya vifaa ndio vina Kodi nadhani sio kubwa usifanye kukwepa Kodi hii ndogo utakuja kujuta....na cha ajabu unakwepa kodi ndogo unatoa rushwa kubwa pasipo kujua mimi nanyooka na vifaa vyangu vyote iwe Tunduma,Kasumulu boarder au Airport hasa ya Dar Kilimanjaro ni uchuro Kodi zao zinalipika kuliko kudanganya wakudake lipigwe mnada...trekta hata nisingejiuliza mara mbili mbili ni kulibeba na kutembea nalo unalipia kitu vitu vingine watu hata hawavijui unakadiliwa kawaida tuu...maisha yenyewe hela ngumu harafu uichezee kwa kuhatarisha ipotee kizembe hapana...
Mkuu kwenye minada ya Gumtree mara nyingi naona boti ndogo za injini nje (Outboard engine boat) na Jet Ski zinauzwa kwa bei rafiki.

Mtu akinunua South Africa hapo Tunduma kwenye kodi anakadiriwa namna gani?

Na kuhusu usafirishaji gharama zipoje.
 
Back
Top Bottom