Mipango ikoje kuingiza trekta kutoka South Africa mpaka Bongo? Msaada tafadhali

Mipango ikoje kuingiza trekta kutoka South Africa mpaka Bongo? Msaada tafadhali

Mkuu mbona hujaweka picha? Hizo sifa ulizotaja hicho ni kiwanda kinachotembea, nahisi utapewa na msamaha wa kodi kabisa! Kila la kheri
Sawa mkuu nimerudi kule nimepiga lkn simu yangu hii bana ut
20191113_213353.jpg
aniwia radhi ina tyre 8
 
Ok! mkuu Baba akhsante sana kwa ushauri. But nina wasiwasi kama nikificha wanaweza wakai Google, then nionekane mimi ni muongo waka nishushua na punishment juu, mzee mzima nikaadhirika kwa hilo. au imekaaje hapa mkuu?
km hiki uhaweza funga nyuma ukakamua juice
20191113_195929.jpg

Hilo lina tyre ngapi?
LINA TYRE 8 LKN UNAWEZA KUPUNGUZA KULINGANA NA MAHITAJI, MFNO UKIKAMUA UNABAKI NA TYRE MOJA
 
Back
Top Bottom