Mipango miji.. Chuo cha mipango Dodoma

Mipango miji.. Chuo cha mipango Dodoma

2.0 AFISA MIPANGO MIJI DARAJA LA II (TOWN PLANNER) – NAFASI 1 2.1 MAJUKUMU YA KAZI i. Kuandaa mipango ya maeneo yaliyoendelezwa kiholela. ii. Kuandaa michoro ya Mipangomiji. iii. Kupokea michoro ya Mipango miji na taarifa za maeneo ya ardhi yanayopendekezwa kuiva kwa ajili ya uendelezaji kimji. iv. Kuchambua takwimu na taarifa kwa ajili ya maandalizi ya mipango mipya ya makazi. v. Kupokea na kuweka kumbukumbu za maombi ya mabadiliko ya matumizi ya ardhi na umegaji wa viwanja. vi. Kuhakikisha kuwa mabadiliko ya matumizi ya ardhi yanaingizwa katika michoro. 2.2 SIFA ZA MWOMBAJI Kuajiriwa mwenye Stashahada ya juu/Shahada katika fani ya Mipangomiji kutoka Chuo Kikuu cha Ardhi au Vyuo Vikuu au Taasisi nyingine zinazotambuliwa na Serikali.

HIZO HAPO JUU KAZI ZA AFISA MIPANGO MIJI. HIZO KAZI REGIONAL DEVELOPMENT PLANNER SIYO KAZI ZAKE.
Kwa hiyo waliondaa mfumo wa ajira portal hawajui walichokifanya ?
Mfumo ulivyotengenezwa kama mtu hana sifa unamkatalia kuomba.
Sasa inakuaje mfumo unamruhusu mtu kuomba ?
 
hizi hapa chini sifa na kazi za AFISA MIPANGO.

POST CATEGORYS BANKING, ECONOMICS AND FINANCIAL SERVICES
HR & ADMINISTRATION
LAND MANAGEMENT
PROJECT, PLANNING AND POLICY MANAGEMENT
EMPLOYER Halmashauri ya Wilaya ya Bahi
APPLICATION TIMELINE 2021-07-20 2021-08-02
JOB SUMMARY N/A
DUTIES AND RESPONSIBILITIES

MAJUKUMU YA KAZI
i. Kuandaa taarifa ya miradi na mipango ya maendeleo, idadi ya watu,
rasilimali watu, maendeleo ya jamii, mazingira endelevu, program za maliasili
na uwekezaji na fedha;
ii. Kuwasaidia wananchi kuandaa mpango shirikishi wa jamii;
iii. Kubainisha vipaumbele vya ustawi wa maendeleo ya jamii, mazingira


endelevu, program za maliasili na uwekezaji na fedha;


iv. Kuandaa taarifa za tathmini za athari za mazingira zinazotokana na miradi
Enviromental Impact Assessment – eia;
v. Kukusanya taarifa kwa ajili ya uandaaji wa mipango na bajeti;
vi. Kukusanya na kuweka kumbukumbu za idadi ya watu na rasilimali watu; na
vii. Kufanya kazi nyingine za fani yake atakazopangiwa na Mkuu wake wa kazi.

QUALIFICATION AND EXPERIENCE

SIFA ZA MWOMBAJI
Kuajiriwa mwenye Shahada/Stashahada ya juu ya Mipango kutoka vyuo
vinavyotambuliwa na Serikali ambao wamejiimarisha Major katika mojawapo ya


fani zifuatazo; Mipango ya Maendeleo ya Mikoa, Mipango ya Menejimenti ya
Mazingira, Mipango ya Maendeleo ya Idadi ya Watu Population and Development
Planning, Mipango ya Uwekezaji na Maendeleo ya Fedha, Mipango ya Menejimenti
ya Rasilimali watu, Menejimenti ya Mazingira na Maendeleo ya Miji, na
Maendeleo ya Uchumi.
Okay basi tuseme kule kwenye afisa mipango miji mtu hawezi kuomba lakini katika tangazo hili ambalo wewe mwenyewe umeleta unasema waliosoma mipango ya maendeleo ya mikoa wana sifa za kuomba kazi hiyo. Sasa inakuaje mtu anasema course zinazotolewa pale hazitambuliki kwenye ajira ?
 
Programu nyingi zinazofundishwa Chuo cha Mipango ni janga kwa wahitimu. Wameanzisha programu nyingi za degree ambazo kimsingi hazikutakiwa kutolewa na Chuo cha Mipango. Mfano mzuri Human Resourse Planning and management na hicho cha Urban Planning. Nchi waajiri wengi na Taifa tunajua masuala ya Utawala Chuo chake ni Mzumbe na Urban Planning inatakiwa kutplewa Chuo cha Ardhi. hata mimi ningekuwa mwajiri lazima Mtawala nitamchukua wa Mzumbe na Afisa Mipango Miji nitamchukua wa Chuo cha Ardhi wakati mtaalamu wa Mazingira nitamfuata SUA na Mlimani na Maendeleo ya Jamii nitaenda kumpata Tengeru.

Mipango wanatakiwa kubaki na programu zao za kuandaa Maafisa Mipango kupitia Regional Development Planning, Population Studies and Development na Development Economics. Hao hata huku sokoni na makazini uwezo wao unaonekana na waajiri wana amani na imani.

Nawasilisha maoni yangu Mzee wa Kikushi toka Southern Cushitic.
Acha uongo..nyie ndio mkiwa ma meneja utumishi kwenye taasisi mtatesa sana watu ... aliyekuambia chuo Cha mipango kinatoa kozi mbovu nani ..mtaala wa chuo unapitishwa na wizara ya fedha ambayo ndio mlezi wa hicho chuo ..mbona Kuna wengi tu wameajiriwa na wamesoma hapo ......hizi Imani zenu za kuwa elimu Bora inatolewa chuo flan tu ni za kizamani na kishamba ..Tena IRDP wanafundisha competency vizuri kabisa Kwa vitendo.. wanatumia CBET system wakati mzumbe wanatumia SKBET system..yaan skill based training system..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha uongo..nyie ndio mkiwa ma meneja utumishi kwenye taasisi mtatesa sana watu ... aliyekuambia chuo Cha mipango kinatoa kozi mbovu nani ..mtaala wa chuo unapitishwa na wizara ya fedha ambayo ndio mlezi wa hicho chuo ..mbona Kuna wengi tu wameajiriwa na wamesoma hapo ......hizi Imani zenu za kuwa elimu Bora inatolewa chuo flan tu ni za kizamani na kishamba ..Tena IRDP wanafundisha competency vizuri kabisa Kwa vitendo.. wanatumia CBET system wakati mzumbe wanatumia SKBET system..yaan skill based training system..

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani watu wakikaa kijiweni basi wanapeana story kisha wanazileta kama zilivyo bila hata ya kuzichambua
 
Yaani watu wakikaa kijiweni basi wanapeana story kisha wanazileta kama zilivyo bila hata ya kuzichambua
Hawa ndio wanaowachagulia watoto wao nini Cha kusoma ...ujuaji mwingi usio na faida ..Kuna washkaj zangu wamesoma finance mipango..na wamepata kazi ,,na kuna BAF hapo mzumbe wanazungusha bahasha... perception zao zimejaa disinformation nyingi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha uongo..nyie ndio mkiwa ma meneja utumishi kwenye taasisi mtatesa sana watu ... aliyekuambia chuo Cha mipango kinatoa kozi mbovu nani ..mtaala wa chuo unapitishwa na wizara ya fedha ambayo ndio mlezi wa hicho chuo ..mbona Kuna wengi tu wameajiriwa na wamesoma hapo ......hizi Imani zenu za kuwa elimu Bora inatolewa chuo flan tu ni za kizamani na kishamba ..Tena IRDP wanafundisha competency vizuri kabisa Kwa vitendo.. wanatumia CBET system wakati mzumbe wanatumia SKBET system..yaan skill based training system..

Sent using Jamii Forums mobile app
Naona umehaki kwa masaburi bila kutumia akili. Tulia kwanza usome kwa utulivu ujumbe uliopo ktk andishi langu then uje ukiwa na settled mind.
 
Hawa ndio wanaowachagulia watoto wao nini Cha kusoma ...ujuaji mwingi usio na faida ..Kuna washkaj zangu wamesoma finance mipango..na wamepata kazi ,,na kuna BAF hapo mzumbe wanazungusha bahasha... perception zao zimejaa disinformation nyingi

Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa watu wamekariri vibaya
 
Acha uongo..nyie ndio mkiwa ma meneja utumishi kwenye taasisi mtatesa sana watu ... aliyekuambia chuo Cha mipango kinatoa kozi mbovu nani ..mtaala wa chuo unapitishwa na wizara ya fedha ambayo ndio mlezi wa hicho chuo ..mbona Kuna wengi tu wameajiriwa na wamesoma hapo ......hizi Imani zenu za kuwa elimu Bora inatolewa chuo flan tu ni za kizamani na kishamba ..Tena IRDP wanafundisha competency vizuri kabisa Kwa vitendo.. wanatumia CBET system wakati mzumbe wanatumia SKBET system..yaan skill based training system..

Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu hyo course aliyoitaja mtoa mada kwa mipango bado inabdi waifanyie maboresho maana wanafunzi wanasoma Mambo meengi yasiyohusiana na maendleo ya miji lakin pia kwenye kutumia software Kama AutoCAD,arch GIS n.k bado n changamoto kwa wahitimu wa pale kwenye hyo course japo kwenye kufahamu Mambo inategemeana na mtu mwenywe
 
mkuu hyo course aliyoitaja mtoa mada kwa mipango bado inabdi waifanyie maboresho maana wanafunzi wanasoma Mambo meengi yasiyohusiana na maendleo ya miji lakin pia kwenye kutumia software Kama AutoCAD,arch GIS n.k bado n changamoto kwa wahitimu wa pale kwenye hyo course japo kwenye kufahamu Mambo inategemeana na mtu mwenywe
Mim nimesoma mipango... finance na nilikuwa na jamaa yangu anasoma urban..hizo software unazotaja wanafundishwa Tena practically kabisa ...na huwezi soma hyo kozi kama huna PC ..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mim nimesoma mipango... finance na nilikuwa na jamaa yangu anasoma urban..hizo software unazotaja wanafundishwa Tena practically kabisa ...na huwezi soma hyo kozi kama huna PC ..

Sent using Jamii Forums mobile app
hata Mimi n mwenyew nmesoma mipango mkuu nasema nachokifahamu lakin piaa hapo unaposema kuwa huwez kusoma urban Kama hauna pc nafkr kwenye uhalsia haipo hvyo watu wanahitmu pale hata kushika mouse atengenze mchoro hawezi na hzo hawana
 
Ndugu wanajamhuri ya Jf nini litoto langu pale nyumbani. Nililisomesha mipango dodoma akasoma coarse ya urban planing .. sasa najiuliza ataajiliwa kama nani maaana hata sielewi naomben msaada maana naona ajira zinatoka anasema zao bado naona ananichanganya tu mwaka wa 4 huu.. maaana kashaanza kutolea macho urith wa babu yake.

Nawasilisha

Sent from my SM-A015F using JamiiForums mobile app
Mpeleke Jiji akajitolee (volunteering)
 
Labda nikuulize wewe unayeongea bila uthibitisho. Ninaongea kwa kutazama ushahidi
Ingia sasa hivi kwenye mfumo wa ajira (recruitment portal) kisha angalia mtu wa Ragional Planning hana qualification za kuomba hiyo kazi.
Nenda kwenye kada ya Maendeleo ya Jamik angalia mtu aliyesoma Project Planning and Management uone kama hana qualification za kuombe hiyo kazi.
Mimi nimekupa uthibitisho ingia na wewe kisha ndipo urudi uthibitisho wa kuwa ninachosema ni uongo.
Kwa halmashauri mtu aliyesoma project planning anafanya kazi gani kwa mfano
 
Back
Top Bottom