Mipango ya kumng'oa Mbowe kwenye Uenyekiti yalianza akiwa gerezani ile miezi nane

Mipango ya kumng'oa Mbowe kwenye Uenyekiti yalianza akiwa gerezani ile miezi nane

Jamani, mtu akiongea upande wake wa habari unakuwa ni upuuzi Tena??!!🤷🏿🤷🏿🤷🏿 Kwahiyo hatuna haki ya kuleta habari???
Leteni tu habari ila wapiga kura wamekwisha fanya maamuzi ya kumchagua Lissu ili kuikoa Chadema toka kwenye makucha ya CCM.
 
MAPINDUZI YA KUMPINDUA MBOWE KWENYE UENYEKITI YALIANZA AKIWA GEREZANI ILE MIEZI MINANE

Soma kwa Makini utafahamu haya yanayo endelea hivi sasa.!!!

Mwenyekiti Mbowe alisha ushinda uchaguzi Mara baada ya kutoka Gerezani,Mnakumbuka kwamba Mwenyekiti aliwahi kuwa Gerezani miezi minane.??

Katika hatua hiyo kuna mengi yaliyo kuwa nyuma ya Pazia na yaliyo kuwa yakiendelea na Msio fahamu hawa wote waliwahi kuwa marafiki wa karibu na tulipenda wanavyo Tembea Pamoja au kuwa Jukwaa moja wafuatao.

1. Mhe.Lema
2. Mhe.Lissu
3. Mhe.Sugu
4. Xxx.Msigwa
5. Mhe.Wenje
6. Mhe.Heche

Hawa walikuwa marafiki wa kudumu sana lakini leo hawataki kusema kweli nini kimefanya wagombane na watufikishe hapa ukweli ni kwamba sababu zinazo SEMWA sio kweli LISSU anapaswa aseme ukweli na Msigwa anapaswa aseme ukweli kilicho mkimbiza na LISSU na Msigwa kwanini ni Marafiki wa kufa😁

Mnakumbuka kuwa wakati Mwenyekiti wa chama Taifa yupo Gerezani makamu wake Mwenyekiti alikuwa Ubelgiji na tayari alikuwa amesha pona maana kama alikuwa ameshiriki kampeni za 2020 maana yake afya yake ilikuwa walau imara.

Katika Mapito ya Freeman Mbowe akiwa Gerezani Makamu wake Mwenyekiti aliamini Mwenyekiti hawezi tena kutoka na mkoleza Sana hizo alikuwa Pitar Msigwa na ndio maana Mhe.LISSU hakuweza kurudi kuja kutumia taaluma yake kumtetea Mwenyekiti wake MBOWE ambaye alimsaidia katika Shambulio la aibu.

Mnakumbuka wakati wa Kesi ya Kinondoni ya Akwilina Akwilina Makamu mwenyekiti wa Chadema alikuwa Profesa Abdala Safari alipo ona Viongozi wote wamefunguliwa kesi aliongoza Jopo la Mawakili kutetea Viongozi wenzake ilikuwaje kwa TUNDU LISSU kushindwa kuja kusimamia kesi ya Mwenyekiti wake??

Ukiachilia hilo LISSU hakuona umuhimu wa Kuja kushiriki kesi ya Mbowe na badala yake alipo rejea nchini wakati wa Uchaguzi wa TLS alilazimika kulipia leseni yake ili apige kura kumchagua Mwambukusi yaani LISSU aliona umuhimu wa taaluma yake ni kumchagua Mwambukusi na si kuhuisha Leseni kwenda Kumtetea Freeman Mbowe ambaye alikuwa anasota Gerezani kama alivyo fanya Profesa Abdala Safari ambaye alikuwa Makamu Mwenyekiti wa chama Taifa.

Mbowe akiwa Gerezani miezi minane huku nje Siku moja Pitar Msigwa na Marafiki zake nilio wataja hapo juu walikuwa kwenye mazungumzo FLANI ya chama wakati wa Mazungumzo Piter Msigwa aliwaambia wenzake kwanini Makamu Mwenyekiti asithibitishwa kuwa Mwenyekiti wa chama Taifa yaani LISSU na Sababu ni kwamba Mwenyekiti Taifa hawezi kutoka huku Msigwa akiwahakikishia anataarifa za mfumo hivyo nibora wazibe nafasi,

Wenzake Kina Heche/Lema/Sugu/Wenje walimsikiliza na wakasema tujipe muda wa hili.

Msigwa alipo ona vile alirejea kwa LISSU kumpa taarifa na baada ya kumpa taarifa LISSU alimshauri Msigwa kuwa ili jambo ilo liweze kwenda vizuri lazima Kupatikana uhalali wa kikatiba ambao unatoa fursa ya kuhalalisha LISSU kuwa Mwenyekiti maana LISSU alitafuta uhalali wa Kikatiba kwanza ambapo akampa Maelekezo Msigwa aanze kusimamia akiwa nchini.

1. Atafute mjumbe wa Kamati kuu ili aweze kupenyeza agenda kwenye group la kamati kuu kuhusu mjadala huo au kupenyeza kwenye Sekretarieti ya chama ili wafanyie kazi Mtu huyo alipatikana anaitwa Gaston Garubindi aliye kuwa Mwenyekiti wa kanda ya Magharibi akawa ndio kipaza sauti,Waliratibu agenda kwanza ya Kuziba nafasi za Wenyeviti wa kanda zilizo wazi katika Mpango huo wakaseti agenda kuwa Makamu Wenyeviti wote wa Kanda ambazo hazina Wenyeviti wawe Wajumbe wa Kamati Kuu lakini Katiba ya Chama haisemi Makamu mwenyekiti atakaimu nafasi ya Ujumbe wa kamati kuu haswa pale katiba ilipo sema kuwa Wawakilishi wa Viongozi hawata kuwa na maamuzi hivyo Makamu Mwenyekiti ni Mwakilishi wa Mwenyekiti, hivyo jaribio la kumpindui Mbowe lilikuwa na umakini Mkubwa sana,hilo likafanikiwa kwa kupatiwa uhalali kiana ndio maana

Baraka Mwago alikuwa Makamu Mwenyekiti kanda ya Pwani baada ya Uchaguzi wa Kanda ya Pwani pale Kibaha wajumbe kumpigia kura za hapa a Frederick Sumai na Sumaye kukimbilia CCM nafasi ilibaki wazi.

Gimbi Doto Masaba wakamfanya kuwa Mwenyekiti wa kanda baada ya Estate Matiku kuwa Mbunge Covid 19 huku wakijua Gimbi ni Makamu Mwenyekiti wa kanda ya Serengeti na wakamfanya Gimbi kuwa Mwenyekiti wa kanda Bila Uchaguzi na kuwa mjumbe wa Kamati Kuu yote hayo yaliratibiwa na Msigwa kwa Misheni ya yeye na TUNDU LISSU na Wameongoza miaka mitano huku katiba inasema anae kaimu anapaswa kukaimu miezi sita.

Aisha Luja ambaye alikuwa makamu mwenyekiti wa kanda ya Kati huku Mwenyekiti wake akiwa Lazaro Nyalandu baada ya Nyalandu kuondoka kuhamia CCM,katika misheni ya Msigwa na LISSU bila wengine kujua wakafanya Makamu mwenyekiti Aisha Luja kuwa Mwenyekiti wa kanda huku akishika nafasi mbili.

Katika Misheni hii iligonga mwamba kanda ya Kusini ambapo Mwenyekiti wa Kanda Methweu alihamia CCM na Makamu wake Barani aliacha Siasa Mkakati wao Ukaona bora Kanda ile kwa miaka mitano isiwe na Viongozi maana wangesema Uchaguzi ufanyike kanda zingine zingedai Uchaguzi walikaa kimnya na miaka mitano imepita kanda haina Viongozi,

Itakumbukwa kuwa baada ya mkakati huo wa kuwafanya Makamu wenyeviti wa kanda kuwa Wenyeviti wa Kanda kinyume cha Katiba na wameongoza miaka 4 badala ya miezi sita Uchaguzi kufanyika Walitafuta hoja ingine ili itakapo fika wakati wa Kumthibitisha LISSU kuwa Mwenyekiti wa Chama Taifa kusiwe na kelele inamaana watasema mbona Kwenye kanda Makamu wenyeviti wanakaimu na ndio wenyeviti,

Wakati yanafanyika haya wengi waliona ni nia njema na hata Katibu Mkuu hakujua kabisa,Ilikuwa ya wachache na hata walio kuwa Makamu wenyeviti walipo kuwa wana pandishwa kuwa wenyeviti nao hawakujua lakini ukitaka kuona nia ovu katikati ya LISSU kama makamu mwenyekiti ambaye anatekeleza majumu ya Mwenyekiti akiwa hayupo alishindwa kujibu kwanini watu wakarimu miaka 4 badala ya miezi 6 na kwanini mtu mmoja awe na nafasi mbili kwenye ngazi moja ambapo katiba inakataa.?

Wakahamia Ngazi ya Taifa mtakumbuka kuwa Sekretarieti ya Chama ilitanga Uchaguzi wa Bawacha kwa ngazi zote zilizo achwa wazi Baada ya Covid Kufukuzwa ikiwemo ya Mwenyekiti wa Bawacha Taifa/Makamu Mwenyekiti bara/Katibu Mkuu na Naibu katibu mKuu na Mwenezi nafasi zote wanachama waliomba na kugombea lakini cha ajabu LISSU na Msigwa kwenye Kamati Kuu kwakuwa walikuwa na mipango yao walilazimishaWalio Gombea warudishiwe hela zao kwenye nafasi ya Mwenyekiti na Uchaguzi ufanyike kwenye Nafasi zingine maana lengo ilikuwa ni kutengeneza njia LISSU awe Mwenyekiti maana ni Makamu mwenyekiti na msingi wa hayo ulianzia kwenye kanda kadhaa kuwafanya Makamu wenyeviti kuwa wenyeviti wa Kanda,

Hivyo Makamu Mwenyekiti wa Bawacha Zanzibar Bi Sharifa ndio akawa Mwenyekiti wa Bawacha Taifa na wakati huo akiwa Makamu mwenyekiti Bawacha Zanzibar,katiba inakataa mtu mmoja kubwa na nafasi mbili ngazi moja mfano usiwe na nafasi mbili ngazi ya Taifa kwenye chombo kimoja Katika kitu cha kushangaza utaona leo Tanzania bara hakuna Makamu Mwenyekiti Bawacha Taifa au kabla ya uchaguzi kanda ya kati/Pwani/Serengeti hakukuwa na makamu wenyeviti 😁 HAYO YOTE YALIFANYIKA MIKONONI MWA LISSU wakati MBOWE yupo Gerezani miezi 8.

Kwamba LISSU ndio anataka kuwa MWENYEKITI KWA SASA miezi Nane kuvuruga kila kitu😁

Walipo Maliza kusuka uhalali kwenye Kanda na kwenye Mabaraza bila kuona athari zake wakatafakari sasa tunawezaje kulikamilisha hilo la Kumfanya LISSU kuwa Mwenyekiti wa Chama Taifa Msigwa akaja na wazo la Kutafuta Fedha ili Aitishwe Mkutano Mkuu wa Chama ili LISSU Athibitishwe Rasmi kuwa Mwenyekiti,Ikaonekana kuwa Chama hakina fedha wakatengeneza Mpango wa Kutafuta fedha unaitwa Join the Chain katika mpango huo Mwenyekiti alikuwa Lema na katibu alikuwa Catherine,Msigwa akapendekeza kwenye kikao kuwa wajumbe wa Kamati Kuu waende Kenya wakutane na LISSU ili wazindue maana LISSU alikuwa amekataa kurudi Nchini ili uhakikishiwe Usalama wake,Wajumbe walio kwenda kenya ni.

1. LISSU
2. Baraka Mwago
3. WENJE
4. HECHE
5. CATHERIN
6. GARUBINDI
7. MSIGWA

Wakiwa Kenya huku sisi Tanzania tukihamasishwa kuchangia Join the Chain ndio jioni baada ya Kazi Msigwa akaropoka kwa wenzake kuwa kazi yetu imeisha ivyo LISSU jiandae kuwa Mwenyekiti wa Chama Taifa maana Join the Chain italeta fedha ya Kuitisha mkutano mkuu ili uthibitishwe maana Msigwa na LISSU Wakisisitiza Mbowe hawezi toka Gerezani

Baada ya Uzinduzi Jioni wakiwa kwenye mazungumzo katika maneno hayo na mipango ile baadhi ya wajumbe wa Kamati kuu waliona kama sio sawa na wakanaza kuona kama ni Mikakati ya mapinduzi kwani kazi iliyo kuwa mbele ni kupambana Mwenyekiti atoke Gerezani lakini sio kugawana vyeo walikaa kimnya ndipo👇🏽

WENJE alipo rudi Nchini alikwenda Gerezani kumwambia Mwenyekiti wa Taifa kwamba kuna mipango inapangwa ya kuitisha mkutano mkuu na kumthibitisha LISSU kuwa Mwenyekiti wa Taifa hapo ndipo chuki ya Wenje na LISSU/MSIGWA NA HECHE Viliibuka Lema akaamua kujitenga na uovu japo alijua.

Baada ya Mwenyekiti kujua NAE Mungu si athumani katikati ya Mipango ya Join the Chain Mwenyekiti wa Taifa akatoka Gerezani iliwauma sana na ndio maana Mbowe alipo Toka Gerezani Moja kwa moja aliambia kamati kuu Nimepewa wito na Rais na alienda,

Maumivu ya Msigwa na LISSU kutoka jela yalikuwa makubwa ambapo ndio yakakoleza moto kuwa lazima tuendelee kumchafua na kushughulika na Mbowe.

Jaribio la Kumpindua mbowe liliratibiwa Miezi 8 na lilikufa Rasmi Alipo toka Jela.

Hivyo Msitegemee mbowe asemwe mazuri maana wapanga mipango wanajaribu kuficha uovu wao.

UONGOMVI WA LISSU NA WENJE ni Wenje Kutoa Siri za Mapinduzi ndio maana wote walio kuwa kwenye Mpango wa Mapinduzi walipigwa chini kwenye chaguzi za Kanda.

Yaani LISSU anajaribu Kumchafua Wenje sio kwa Bahati Mbaya ni kwasababu Wenje alitoa siri na maumivu ya kuanikwa hadharani ni makubwa sana.

Kwamba ukiwa na urafiki na mtoto wa Rais ni dhambi 😁.

MKEKA ulikuwa hivi.
1. Mwenyekiti wa Chama LISSU
2. Makamu Mwenyekiti Msigwa
3. Katibu Mkuu Heche
4. Mwenyekiti wa kanda ya Nyasa Rose Mayemba
5. Mkurugenzi wa Sheria Garubindi.

Hawa watu kwa sasa wanahasira na Mbowe ya kufa mtu na wanamchukia Wenje maana aliuza mkanda wa Mapinduzi.

........inaendelea!!!??
Wewe ulimuona Mbowe huko Ndani ya Gereza?🐼
 
Kwamba katikati ya harakati za kupinduliwa akaachiwa, na kama haitoshi akaitwa na rais!!! Mbona mbona mbona mbona mbonaaaaaa..............!!!!!!!!!!
 
MAPINDUZI YA KUMPINDUA MBOWE KWENYE UENYEKITI YALIANZA AKIWA GEREZANI ILE MIEZI MINANE

Soma kwa Makini utafahamu haya yanayo endelea hivi sasa.!!!

Mwenyekiti Mbowe alisha ushinda uchaguzi Mara baada ya kutoka Gerezani,Mnakumbuka kwamba Mwenyekiti aliwahi kuwa Gerezani miezi minane.??

Katika hatua hiyo kuna mengi yaliyo kuwa nyuma ya Pazia na yaliyo kuwa yakiendelea na Msio fahamu hawa wote waliwahi kuwa marafiki wa karibu na tulipenda wanavyo Tembea Pamoja au kuwa Jukwaa moja wafuatao.

1. Mhe.Lema
2. Mhe.Lissu
3. Mhe.Sugu
4. Xxx.Msigwa
5. Mhe.Wenje
6. Mhe.Heche

Hawa walikuwa marafiki wa kudumu sana lakini leo hawataki kusema kweli nini kimefanya wagombane na watufikishe hapa ukweli ni kwamba sababu zinazo SEMWA sio kweli LISSU anapaswa aseme ukweli na Msigwa anapaswa aseme ukweli kilicho mkimbiza na LISSU na Msigwa kwanini ni Marafiki wa kufa😁

Mnakumbuka kuwa wakati Mwenyekiti wa chama Taifa yupo Gerezani makamu wake Mwenyekiti alikuwa Ubelgiji na tayari alikuwa amesha pona maana kama alikuwa ameshiriki kampeni za 2020 maana yake afya yake ilikuwa walau imara.

Katika Mapito ya Freeman Mbowe akiwa Gerezani Makamu wake Mwenyekiti aliamini Mwenyekiti hawezi tena kutoka na mkoleza Sana hizo alikuwa Pitar Msigwa na ndio maana Mhe.LISSU hakuweza kurudi kuja kutumia taaluma yake kumtetea Mwenyekiti wake MBOWE ambaye alimsaidia katika Shambulio la aibu.

Mnakumbuka wakati wa Kesi ya Kinondoni ya Akwilina Akwilina Makamu mwenyekiti wa Chadema alikuwa Profesa Abdala Safari alipo ona Viongozi wote wamefunguliwa kesi aliongoza Jopo la Mawakili kutetea Viongozi wenzake ilikuwaje kwa TUNDU LISSU kushindwa kuja kusimamia kesi ya Mwenyekiti wake??

Ukiachilia hilo LISSU hakuona umuhimu wa Kuja kushiriki kesi ya Mbowe na badala yake alipo rejea nchini wakati wa Uchaguzi wa TLS alilazimika kulipia leseni yake ili apige kura kumchagua Mwambukusi yaani LISSU aliona umuhimu wa taaluma yake ni kumchagua Mwambukusi na si kuhuisha Leseni kwenda Kumtetea Freeman Mbowe ambaye alikuwa anasota Gerezani kama alivyo fanya Profesa Abdala Safari ambaye alikuwa Makamu Mwenyekiti wa chama Taifa.

Mbowe akiwa Gerezani miezi minane huku nje Siku moja Pitar Msigwa na Marafiki zake nilio wataja hapo juu walikuwa kwenye mazungumzo FLANI ya chama wakati wa Mazungumzo Piter Msigwa aliwaambia wenzake kwanini Makamu Mwenyekiti asithibitishwa kuwa Mwenyekiti wa chama Taifa yaani LISSU na Sababu ni kwamba Mwenyekiti Taifa hawezi kutoka huku Msigwa akiwahakikishia anataarifa za mfumo hivyo nibora wazibe nafasi,

Wenzake Kina Heche/Lema/Sugu/Wenje walimsikiliza na wakasema tujipe muda wa hili.

Msigwa alipo ona vile alirejea kwa LISSU kumpa taarifa na baada ya kumpa taarifa LISSU alimshauri Msigwa kuwa ili jambo ilo liweze kwenda vizuri lazima Kupatikana uhalali wa kikatiba ambao unatoa fursa ya kuhalalisha LISSU kuwa Mwenyekiti maana LISSU alitafuta uhalali wa Kikatiba kwanza ambapo akampa Maelekezo Msigwa aanze kusimamia akiwa nchini.

1. Atafute mjumbe wa Kamati kuu ili aweze kupenyeza agenda kwenye group la kamati kuu kuhusu mjadala huo au kupenyeza kwenye Sekretarieti ya chama ili wafanyie kazi Mtu huyo alipatikana anaitwa Gaston Garubindi aliye kuwa Mwenyekiti wa kanda ya Magharibi akawa ndio kipaza sauti,Waliratibu agenda kwanza ya Kuziba nafasi za Wenyeviti wa kanda zilizo wazi katika Mpango huo wakaseti agenda kuwa Makamu Wenyeviti wote wa Kanda ambazo hazina Wenyeviti wawe Wajumbe wa Kamati Kuu lakini Katiba ya Chama haisemi Makamu mwenyekiti atakaimu nafasi ya Ujumbe wa kamati kuu haswa pale katiba ilipo sema kuwa Wawakilishi wa Viongozi hawata kuwa na maamuzi hivyo Makamu Mwenyekiti ni Mwakilishi wa Mwenyekiti, hivyo jaribio la kumpindui Mbowe lilikuwa na umakini Mkubwa sana,hilo likafanikiwa kwa kupatiwa uhalali kiana ndio maana

Baraka Mwago alikuwa Makamu Mwenyekiti kanda ya Pwani baada ya Uchaguzi wa Kanda ya Pwani pale Kibaha wajumbe kumpigia kura za hapa a Frederick Sumai na Sumaye kukimbilia CCM nafasi ilibaki wazi.

Gimbi Doto Masaba wakamfanya kuwa Mwenyekiti wa kanda baada ya Estate Matiku kuwa Mbunge Covid 19 huku wakijua Gimbi ni Makamu Mwenyekiti wa kanda ya Serengeti na wakamfanya Gimbi kuwa Mwenyekiti wa kanda Bila Uchaguzi na kuwa mjumbe wa Kamati Kuu yote hayo yaliratibiwa na Msigwa kwa Misheni ya yeye na TUNDU LISSU na Wameongoza miaka mitano huku katiba inasema anae kaimu anapaswa kukaimu miezi sita.

Aisha Luja ambaye alikuwa makamu mwenyekiti wa kanda ya Kati huku Mwenyekiti wake akiwa Lazaro Nyalandu baada ya Nyalandu kuondoka kuhamia CCM,katika misheni ya Msigwa na LISSU bila wengine kujua wakafanya Makamu mwenyekiti Aisha Luja kuwa Mwenyekiti wa kanda huku akishika nafasi mbili.

Katika Misheni hii iligonga mwamba kanda ya Kusini ambapo Mwenyekiti wa Kanda Methweu alihamia CCM na Makamu wake Barani aliacha Siasa Mkakati wao Ukaona bora Kanda ile kwa miaka mitano isiwe na Viongozi maana wangesema Uchaguzi ufanyike kanda zingine zingedai Uchaguzi walikaa kimnya na miaka mitano imepita kanda haina Viongozi,

Itakumbukwa kuwa baada ya mkakati huo wa kuwafanya Makamu wenyeviti wa kanda kuwa Wenyeviti wa Kanda kinyume cha Katiba na wameongoza miaka 4 badala ya miezi sita Uchaguzi kufanyika Walitafuta hoja ingine ili itakapo fika wakati wa Kumthibitisha LISSU kuwa Mwenyekiti wa Chama Taifa kusiwe na kelele inamaana watasema mbona Kwenye kanda Makamu wenyeviti wanakaimu na ndio wenyeviti,

Wakati yanafanyika haya wengi waliona ni nia njema na hata Katibu Mkuu hakujua kabisa,Ilikuwa ya wachache na hata walio kuwa Makamu wenyeviti walipo kuwa wana pandishwa kuwa wenyeviti nao hawakujua lakini ukitaka kuona nia ovu katikati ya LISSU kama makamu mwenyekiti ambaye anatekeleza majumu ya Mwenyekiti akiwa hayupo alishindwa kujibu kwanini watu wakarimu miaka 4 badala ya miezi 6 na kwanini mtu mmoja awe na nafasi mbili kwenye ngazi moja ambapo katiba inakataa.?

Wakahamia Ngazi ya Taifa mtakumbuka kuwa Sekretarieti ya Chama ilitanga Uchaguzi wa Bawacha kwa ngazi zote zilizo achwa wazi Baada ya Covid Kufukuzwa ikiwemo ya Mwenyekiti wa Bawacha Taifa/Makamu Mwenyekiti bara/Katibu Mkuu na Naibu katibu mKuu na Mwenezi nafasi zote wanachama waliomba na kugombea lakini cha ajabu LISSU na Msigwa kwenye Kamati Kuu kwakuwa walikuwa na mipango yao walilazimishaWalio Gombea warudishiwe hela zao kwenye nafasi ya Mwenyekiti na Uchaguzi ufanyike kwenye Nafasi zingine maana lengo ilikuwa ni kutengeneza njia LISSU awe Mwenyekiti maana ni Makamu mwenyekiti na msingi wa hayo ulianzia kwenye kanda kadhaa kuwafanya Makamu wenyeviti kuwa wenyeviti wa Kanda,

Hivyo Makamu Mwenyekiti wa Bawacha Zanzibar Bi Sharifa ndio akawa Mwenyekiti wa Bawacha Taifa na wakati huo akiwa Makamu mwenyekiti Bawacha Zanzibar,katiba inakataa mtu mmoja kubwa na nafasi mbili ngazi moja mfano usiwe na nafasi mbili ngazi ya Taifa kwenye chombo kimoja Katika kitu cha kushangaza utaona leo Tanzania bara hakuna Makamu Mwenyekiti Bawacha Taifa au kabla ya uchaguzi kanda ya kati/Pwani/Serengeti hakukuwa na makamu wenyeviti 😁 HAYO YOTE YALIFANYIKA MIKONONI MWA LISSU wakati MBOWE yupo Gerezani miezi 8.

Kwamba LISSU ndio anataka kuwa MWENYEKITI KWA SASA miezi Nane kuvuruga kila kitu😁

Walipo Maliza kusuka uhalali kwenye Kanda na kwenye Mabaraza bila kuona athari zake wakatafakari sasa tunawezaje kulikamilisha hilo la Kumfanya LISSU kuwa Mwenyekiti wa Chama Taifa Msigwa akaja na wazo la Kutafuta Fedha ili Aitishwe Mkutano Mkuu wa Chama ili LISSU Athibitishwe Rasmi kuwa Mwenyekiti,Ikaonekana kuwa Chama hakina fedha wakatengeneza Mpango wa Kutafuta fedha unaitwa Join the Chain katika mpango huo Mwenyekiti alikuwa Lema na katibu alikuwa Catherine,Msigwa akapendekeza kwenye kikao kuwa wajumbe wa Kamati Kuu waende Kenya wakutane na LISSU ili wazindue maana LISSU alikuwa amekataa kurudi Nchini ili uhakikishiwe Usalama wake,Wajumbe walio kwenda kenya ni.

1. LISSU
2. Baraka Mwago
3. WENJE
4. HECHE
5. CATHERIN
6. GARUBINDI
7. MSIGWA

Wakiwa Kenya huku sisi Tanzania tukihamasishwa kuchangia Join the Chain ndio jioni baada ya Kazi Msigwa akaropoka kwa wenzake kuwa kazi yetu imeisha ivyo LISSU jiandae kuwa Mwenyekiti wa Chama Taifa maana Join the Chain italeta fedha ya Kuitisha mkutano mkuu ili uthibitishwe maana Msigwa na LISSU Wakisisitiza Mbowe hawezi toka Gerezani

Baada ya Uzinduzi Jioni wakiwa kwenye mazungumzo katika maneno hayo na mipango ile baadhi ya wajumbe wa Kamati kuu waliona kama sio sawa na wakanaza kuona kama ni Mikakati ya mapinduzi kwani kazi iliyo kuwa mbele ni kupambana Mwenyekiti atoke Gerezani lakini sio kugawana vyeo walikaa kimnya ndipo👇🏽

WENJE alipo rudi Nchini alikwenda Gerezani kumwambia Mwenyekiti wa Taifa kwamba kuna mipango inapangwa ya kuitisha mkutano mkuu na kumthibitisha LISSU kuwa Mwenyekiti wa Taifa hapo ndipo chuki ya Wenje na LISSU/MSIGWA NA HECHE Viliibuka Lema akaamua kujitenga na uovu japo alijua.

Baada ya Mwenyekiti kujua NAE Mungu si athumani katikati ya Mipango ya Join the Chain Mwenyekiti wa Taifa akatoka Gerezani iliwauma sana na ndio maana Mbowe alipo Toka Gerezani Moja kwa moja aliambia kamati kuu Nimepewa wito na Rais na alienda,

Maumivu ya Msigwa na LISSU kutoka jela yalikuwa makubwa ambapo ndio yakakoleza moto kuwa lazima tuendelee kumchafua na kushughulika na Mbowe.

Jaribio la Kumpindua mbowe liliratibiwa Miezi 8 na lilikufa Rasmi Alipo toka Jela.

Hivyo Msitegemee mbowe asemwe mazuri maana wapanga mipango wanajaribu kuficha uovu wao.

UONGOMVI WA LISSU NA WENJE ni Wenje Kutoa Siri za Mapinduzi ndio maana wote walio kuwa kwenye Mpango wa Mapinduzi walipigwa chini kwenye chaguzi za Kanda.

Yaani LISSU anajaribu Kumchafua Wenje sio kwa Bahati Mbaya ni kwasababu Wenje alitoa siri na maumivu ya kuanikwa hadharani ni makubwa sana.

Kwamba ukiwa na urafiki na mtoto wa Rais ni dhambi 😁.

MKEKA ulikuwa hivi.
1. Mwenyekiti wa Chama LISSU
2. Makamu Mwenyekiti Msigwa
3. Katibu Mkuu Heche
4. Mwenyekiti wa kanda ya Nyasa Rose Mayemba
5. Mkurugenzi wa Sheria Garubindi.

Hawa watu kwa sasa wanahasira na Mbowe ya kufa mtu na wanamchukia Wenje maana aliuza mkanda wa Mapinduzi.

........inaendelea!!!??
Heche wakati anahutubua mwanza alisema,: ' kwa ufupi sana Wnje tumefika hapa kwa sababu yako"
 
Kama upo kwenye Kumbukumbu zako.. Naomba niusome

UTANGULIZI.
Jumamosi, June 28 mwaka huu wajumbe kadhaa wa Kamati Kuu ya CHADEMA walidai kuwa wamesitisha Umakau Mwenyekiti wangu katika kikao kilichofanyika mjini Dodoma siku hiyo. Kesho yake Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Mhe. FREEMAN MBOWE akaitisha mkutano wa waandishi wa habari na kutaja sababu za kunisimamisha uongozi.

Inatosha tu kusema kuwa sababu zote alizotoa ni za uzushi kama ile inayodai kuwa mimi navujisha siri za chama kwa viongozi wa CCM bila hata kutaja siri hizo, au kusema nimezitoa lini, wapi, na kwa kiongozi yupi?Kikao hicho kinachosemekana kunisimamisha uongozi, kilikuwa na wajumbe 31 ambao takribani nusu hawakuwa na uhalali wa kupiga kura kinyume cha katiba na kanuni za CHADEMA kwa vile walikuwa wameandaliwa kwa kazi hiyo. Wajumbe 7 walikataa kushiriki njama hizo.

Kufuatia jaribio hilo la kunivua uongozi kutokubalika kwa wanachama walio wengi wa CHADEMA , Mwenyekiti MBOWE na wafuasi wake wameendelea kuhaha kwa kuongeza sababu nyingine mbalimbali ili kuhalalisha njama zao. Sasa hivi wameingia hatua ya kuwashawishi wanachama wa Tarime eti wanifukuze uanachama.Kwa kuzingatia katiba, kanuni na taratibu za CHADEMA, nilichokifanya mimi baada ya kubaini njama zao ni kukata rufaa kwa Baraza Kuu la Chama, kupinga upotoshaji unaofanywa chini ya uongozi wa Mhe. MBOWE anayeonekana kutaka kuendesha chama kinyume na matarajio ya wanachama walio wengi.Hivyo basi zipo habari za uhakika kuwa kikao hicho cha Baraza Kuu hakitaitishwa ama kabisa, au kitacheleweshwa kwa makusudi, kwa visingizio mbalimbali ikiwemo kutokuwa na fedha za kukidhi gharama za kikao hicho.

Naomba nikiri kuwa ninakerwa sana na mtiririko mzima wa sakata hili linalozua mgogoro unaokiyumbisha chama. Ukweli ni kwamba mimi niligombea Umakamu Mwenyekiti nikiwa na agenda ya kufufua uhai wa chama kwa kukaripia vitendo visivyostahili katika kuendesha chama. Agenda yangu haijabadilika. Yote niliyoyasema wakati nagombea nafasi hii yanafahamika kwa wana CHADEMA wote.

Walikuwepo walioyalalamikia na walikuwepo walioyapongeza matamshi yangu hayo.Mwisho wa yote wana CHADEMA waliridhika kuwa ajenda yangu ilikuwa sahihi na hivyo wakanichagua kuwa Makamu Mwenyekiti. Hivyo basi hata kama ni kweli kuwa ulikuwepo mvutano wakati wa kampeni ile, lakini hilo ni jambo la kawaida katika uchaguzi. Nijuavyo mimi hayo yalitakiwa yawe si ndwele nasi tugange yajayo kwani wanachama walikwisha fanya uamuzi halali kupitia kura zao.

Baada ya kuingia kwenye wadhifa wa Makamu Mwenyekiti Taifa, nilifanikiwa kuzungumza na Mhe. MBOWE kuhusu mambo, hususan yale, niliyoyapigania wakati wa kinyang?anyiro kile na kumuomba tukae chini na kutafuta jinsi ya kufanikisha azma hiyo.Ni imani yangu kuwa waraka huu utawasaidia wanaCHADEMA wenzangu na watanzania wote kwa ujumla, kuelewa vizuri ukweli wa mambo niliyoyapigania kabla ya kuwa Makamu Mwenyekiti, na ninayoendelea kuyasimamia hivi sasa nikiwa Makamu Mwenyekiti, na inshallah nitakayoyatekeleza baadae kama Taifa Mwenyekiti wa CHADEMA.

Kimsingi mambo tunayotofautiana na Mhe. MBOWE ni haya yafuatayo:-

MATUMIZI YA RUZUKU
CHADEMA hupata ruzuku ya Tshs. 66,000,000 kwa mwezi (Milioni sitini na sita). Mimi nasema si haba hasa tukizingatia chama kilikotoka. Naamini kuwa kiasi hiki cha fedha kikisimamiwa vizuri kinaweza kukirahisishia chama kujieneza katika ngazi zote toka Tawi, Wilaya, Mkoa na Taifa.

Si kweli kwamba matatizo yote yatamalizwa na fedha hizi lakini basi hata ofisi za chama zinaweza kuwa hai nchi nzima kitu ambacho kwa sasa hakipo. Mahesabu yanaonesha kuwa mtaji wa laki moja (Tshs.100,000/=) kwa wilaya moja nchini inatosha, hivyo kwa Wilaya 126 kwa mwezi jumla yake ni Tshs. milioni 12 (Tshs. 12,600,000/= ) zinahitajika ( Wilaya 126 x 100,000 kila wilaya = 12,000,000/=)Hata tukisema tupeleke kiasi hicho kwa kila jimbo la uchaguzi jumla yake ni Tshs. Milioni 23 (Tshs. 23,000,000/=) kwa maana ya majimbo 213 x 100,000 = 23,000,000/=.
Mhe. MBOWE anasema hizo ni pesa nyingi sana kwa uimarishaji wa chama. Mimi nasema hapana, kiwango hiki kwa kila Wilaya au Jimbo la uchaguzi ni muafaka kwani haba na haba hujaza kibaba.Chini ya uongozi wa Mhe. MBOWE na wafuasi wake hawastaajabu kuwa kati ya Tshs. 374,144,000.40 zilizopatikana kama ruzuku katika ya Januari 1 na Juni, 30, 2008, Tshs. 350,000,000/= zilitumika Makao Makuu ya CHADEMA na Tshs. 25,000,000/= tu ndizo zilikwenda Wilayani kuimarisha chama.Mimi naona mgao huu unayatukuza Makao Makuu ya
CHADEMA isivyostahili wakati huo huo ukidhalilisha chama nchi nzima.

MADENI YA UCHAGUZI
Kufuatia Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2005, Mhe. MBOWE alitufahamisha wanachama kuwa alikuwa anakidai chama US $ 181,949.00 sawa na Tshs. 218,338,546. Mpaka sasa chama kimekwisha mlipa Tshs. 175,000,000/=Baada ya kupata wadhifa wa Makamu Mwenyekiti, na kwa kuzingatia takwimu zionekanazo hapo juu katika kulinganisha matumizi ya fedha Wilayani na Makao Makuu niliamua kumshauri MBOWE asitishe kujilipa deni kutokana na fedha za ruzuku kwani siamini kuwa kulipa madeni yaliyopita kunaendana na utaratibu wa usimamizi wa fedha za ruzuku kwa vyama vya siasa toka serikalini.

Mhe. MBOWE alichachamaa na ndipo nilipomshauri kuwa kama ni hivyo basi atuthibishie pesa hizo anazodai alikikopesha chama ziliingia kwenye akaunti gani ya CHADEMA, kupitia hundi ipi, na lini? Nilimuomba pia kutaja ni kikao gani cha chama kiliidhinisha matumizi ya fedha hizo kwani kama hakuna ushahidi wa maidhinisho, ni dhahiri kuwa matumizi hayo hayakudhibitiwa na chama na kwa mantiki hiyo kuyafanya kuwa matumizi binafsi ya Mhe. MBOWE.Vilevile, nilimueleza kuwa matumizi ya fedha hizo alizodai alikikopesha chama yalikuwa yakinuka harufu ya UFISADI.

Stakabadhi zote kuhusiana na matumizi hayo zilionesha kuwa gharama za aidha ununuzi na / au ukodishaji wa vifaa hivyo, hazikutofautiana na viwango wanavyolipishwa watalii kwa huduma kama hizo, kwa maana ya gharama ya juu sana.Na kwa kuwa hata baada ya kuwa Mhe. MBOWE amekwisha lipwa zaidi ya nusu ya deni alilodai kuikopehsa CHADEMA, vifaa vyote yakiwemo magari, vipaza sauti na kadhalika vimebakia kuwa mali yake binafsi, basi bila kumficha nilimueleza kuwa huko ni kukinyonya chama kwa kukigeuza kitega uchumi cha watu binafsi.Kuhusu suala la kulipa madeni kupitia ruzuku ya serikali, nilimuomba Mhe. MBOWE afuatilie kwa Msajili wa Vyama vya siasa ili tupate ufafanuzi kama kweli fedha za ruzuku ya serikali kwa vyama vya siasa, inaweza kutumika kulipia madeni ya viongozi wa vyama hivyo yatokanayo na uchaguzi ili CHADEMA isiathirike kisheria.

Niseme kweli hapa kwamba, kwa vile wanaCHADEMA wengi walinichagua kuwa Makamu Mwenyekiti, na hata mimi mwenyewe tulikuwa wagombea wa nafasi za ubunge, udiwani n.k katika uchaguzi wa mwaka 2005 ningefarijika sana iwapo na sisi tungerejeshewa angalau chochote cha kufidia gharama zetu, kwa maana kwamba kama chama kimeamua kurudisha gharama hizo kiwalipe wote badala ya kulipa madeni kwa wateule wachache.

UTEUZI WA WABUNGE WA VITI MAALUM
Naamini ukweli wa suala hili hauna mjadala. Kwamba Mhe. MBOWE na wafuasi wake walighushi orodha ya majina ya viti Maalum badala ya kupeleka yaliyopendekezwa na Kamati Kuu sio siri.

Naamini hata Mhe. MBOWE anakubaliana nami kuwa suala hili si moja ya siri anazodai nimevujisha! Yamesemwa mengi juu ya mtafaruku uliojitokeza kuhusu viti maalum hadi baadhi ya waasisi wa chama wakataka kujitoa na hivyo kumlazimisha Mwenyekiti Taifa ( FREEMN MBOWE) na Katibu Mkuu (DR WILBROAD SLAA) kukiomba radhi kikao cha Kamati Kuu ya CHADEMA kwa kukiuka katiba, kanuni na maadili ya chama katika suala hili la kugushi viti maalum.

Ni ukweli ulio wazi kuwa kitendo hicho cha upendeleo bado kina iumiza taswira ya CHADEMA. Chama kinaonekana kuendekeza ujanja ujanja kiasi kwamba watu na binti zao, wakwe zao, shemeji zao, waume wenzao, wachumba wa shemeji zao, wake wenza na kwa kiwango kikubwa watu wa kabila moja ndiyo wamekuwa sura ya CHADEMA bungeni.Katika hili nilichoweza kumueleza Mhe. MBOWE ni kuwa chaguzi mbalimbali tangu za Mitaa, Ubunge na Urais zinakaribia ni vizuri tufanye bidii kusambaza nguvu zetu nchi nzima tuwe na mtaji wa kura maeneo mengi ili kashfa kama hii isijirudie. Hii ni kwa msingi kuwa chama kikijitanua kutakuwa hakuna sababu ya kuwaona watu wa eneo fulani tu kuwa ndiyo mhimili wa CHADEMA na hivyo zikitokea fursa itakuwa rahisi chama kuwakilishwa na mtandao wake mpana badala ya koo au kabila fulani.Sasa kwa kuwa kuimarisha chama kitaifa maana yake ni matumizi ya fedha, nalo hili likawa nongwa ingawa kwa mtazamo wa Makao Makuu kulipa madeni kwa wateule wachache si nongwa.

Cha ajabu ni kwamba Mhe. MBOWE hakukana kuwa hili la viti maalum na hata upangaji wa ajira kwa ukabila una leta athari mbaya kwa mustakabali wa CHADEMA

Katika maongezi yangu nae nilikuwa wazi nilipotahadharisha kuwa:

1. Watanzania wakiendelea kuona kwamba CHADEMA inaendeshwa kwa misingi ya kikabila hawatajiunga na chama chetu na tutakosa wafuasi.

2. Watanzania wakiona kuwa sisi tumeweka mbele ukabila kuliko utaifa hawatatupa madaraka na kutawala kwa kuhofia yale yanayotokea nchi jirani kama Rwanda, Burundi, Kenya na kadhalika ambako nafasi za raia wote zimehodhiwa na kabila moja na hatma yake watu wamechinjana kama kuku kwa kupinga hilo.
Pia nilimwambia kwamba, kwa jinsi sura ya uteuzi wa Wakurugenzi na watendaji wengine wa Makao Makuu inavyoonekana, sasa tayari chama chetu kimebatizwa jina la CHAMA CHA WACHAGA, na hii si kuwatendea haki raia wengine na makabila yao ambao wataonekana kama punguani kujihusisha na chama na ukabila.Yote haya ninayosema kuhusu ukabila, upendeleo na kadhalika sio dhana tu. Kufuatia malalamiko mengi yaliyokuwa yakisikika nchi nzima kuhusu masuala haya, Kamati Kuu ya CHADEMA ilikwisha unda Tume kutafuta ukweli wa mambo hayo. Tume hiyo ya watu watano iliongozwa na Mhe. Merky Lugendo Mziray ambaye ni mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA nayo imekwisha toa taarifa yake kwamba Makao Makuu ya CHADEMA yanatawaliwa na ubaguzi wa kikabila, kidini na kielimu.

UTENDAJI WA KIBABE
CHADEMA ni chama kilicho njia panda kwa sasa kutokana na utendaji wa kibabe wa Mhe. MBOWE. Ninafahamu jinsi vyama vingine vya upinzani hapa nchini kama vile NCCR ? Mageuzi vilivyoporomoka haraka haraka mithili ya nyumba ya mabua. Chama NCCR ? Mageuzi kilifikia mahali pazuri tu hadi watu wakaanza kufikiria kuwa kingekuwa chama mbadala kwa CCM.

kwa bahati mbaya uchu wa madaraka, ulafi wa ruzuku, na tabia za kimangimeza kwa pamoja vikakiathiri hadi kupoteza umaarufu wake.Na hata vyama vingine vya upinzani vina dalili hizo hizo japo kwa viwango vinavyotofautiana. Ila badala ya kujichunguza na kujua kasoro zetu, kila siku vyama vyetu, vimekuwa vikidai kuwa ni chama tawala ndicho kinachoviroga, kama ambavyo Mhe. MBOWE ameanza kuweweseka kupitia vyombo vya habari.Napenda kuthibitisha kuwa katika mgogoro unaopaliliwa sasa na Mhe. MBOWE ndani ya CHADEMA kutokana na ufisadi, ufuska, ulevi wa madaraka na umangimeza chanzo chake ni tabia yake ya kuendesha chama kibabe. Mathalan kumzuia Martin Mung?ong?o Mkurugenzi aliyechaguliwa kwa kura kutofanya kazi zake ndani ya chama, madai ya kupigana na watendaji wa chama ndani ya baa na vitendo vingine vya aina hiyo ni ushahidi tosha wa hulka hii.

Hadi sasa Mhe. MBOWE amefanikiwa kukizuia chama hiki kisifanye kazi ya siasa mkoa wa Dar es salaam kwa miaka minne.Ninavyoongea hivi sasa CHADEMA imekuwa ikikimbia vikao vya Democratic Union of Afrika (DUA), Muungano wa Vyama Vya Upinzani, uliofanikisha CHADEMA kujuana na Conservative Party ya Uingereza na Republican ya Marekani. Vyama dada hivi vyote vinaulalamikia uongozi wa CHADEMA kwa kufuja fedha ya misaada na kuwasilisha kwao risiti za kugushi, kama ilivyofanyiwa Conservative Party baada ya kutoa msaada wa Tshs. 78,000,000 kwa ajili ya ununuzi wa baiskeli na pikipiki ambazo hazikununuliwa.Katika mkutano wa Kamati Kuu ya CHADEMA huko Dodoma hivi majuzi tu, Mhe. MBOWE kwa kauli yake aliwatisha wajumbe kuwa alikuwa amethibiti uwezekano wowote wa wajumbe kujisikia huru kwa kutoa mawazo ambayo yangepingana na ajenda yake aliyoitoa ghafla kikaoni kunisimamisha Umakamu Mwenyekiti.

Mhe. MBOWE Alikifahamisha kikao kuwa alitoa taarifa kwa IGP, SAID MWEMA kuwa kuna wahuni ambao walitaka kuuchafua mkutano wake, naye IGP akahakikisha kuwa mkutano ule unalindwa kwa kiwango cha kushtua kama ambavyo hata vyombo vya habari vimethibitisha.Hayo ni baadhi tu ya mambo yanayobainisha Mhe. MBOWE ni kiongozi wa aina gani.

HITIMISHO
Kama nilivyokwisha sema hapo awali, sijaacha na sintoacha ajenda yangu ya kufufua uhai wa CHADEMA kwani ndiyo ahadi iliyofanikisha kuchaguliwa kwangu kuwa Makamu Mwenyekiti Taifa. Nilipopata wadhifa huo nilianza kuitekeleza ajenda hiyo kupitia mahojiano na Mwenyekiti MBOWE kuhusu matumizi ya ruzuku, madeni ya uchaguzi, uteuzi wa wabunge wa viti maalum, nafasi za ajira Makao Makuu, na kuhusu mwenendo wa chama Mkoa wa Dar es salaam.

Nilijikuta katika mvutano mkubwa kila nilipogusa eneo lolote katika haya. Nakiri kuwa kwa kiwango kikubwa sikuwa na uwezo wa kubadili mambo hayo yaliyokuwa yakiratibiwa kwa ukaribu na Mhe. MBOWE na wafuasi wake kwani sikupewa ushirikiano wa aina yoyote na chama pale Makao Makuu.

Ni vigumu kuamini, lakini ni kweli kuwa sikuwa na ofisi Makao Makuu, sikupewa vitendea kazi kama magari, vipaza sauti na/au vyombo vya habari, na sikuwahi kupata taarifa yoyote ya kiutendaji toka Makao Makuu.Kwa kuzingatia yote hayo, naomba nichukue fursa hii kuwashukuru kwa dhati wanachama wa CHADEMA mkoa wa Dar es salaam ambao kwa pamoja tulisimama kidete kufufua uhai wa chama hapa jijini. Niseme tu ushirikiano wao wa hali na mali uliniwezesha kushughulikia masuala muhimu ya kitaifa na kimataifa.

Rai yangu kwa wana CHADEMA na wale wote wanaokitakia mema chama chetu na nchi yetu kwa ujumla ni kwamba kazi ya kupigania demokrasia ya kweli ndani na nje ya chama, kukiepusha chama na vitendo vya ukabila, migogoro, ubadhirifu, umangimeza, ufisadi na ubaguzi wa aina yoyote bado inaendelea na nawaombeni mniunge mkono kwa hali na mali katika vita hii.

Naamini tutashinda.

Mungu Ibariki CHADEMA
Mungu Ibariki TANZANIA
Mungu Ibariki AFRIKA
 
MAPINDUZI YA KUMPINDUA MBOWE KWENYE UENYEKITI YALIANZA AKIWA GEREZANI ILE MIEZI MINANE

Soma kwa Makini utafahamu haya yanayo endelea hivi sasa.!!!

Mwenyekiti Mbowe alisha ushinda uchaguzi Mara baada ya kutoka Gerezani,Mnakumbuka kwamba Mwenyekiti aliwahi kuwa Gerezani miezi minane.??

Katika hatua hiyo kuna mengi yaliyo kuwa nyuma ya Pazia na yaliyo kuwa yakiendelea na Msio fahamu hawa wote waliwahi kuwa marafiki wa karibu na tulipenda wanavyo Tembea Pamoja au kuwa Jukwaa moja wafuatao.

1. Mhe.Lema
2. Mhe.Lissu
3. Mhe.Sugu
4. Xxx.Msigwa
5. Mhe.Wenje
6. Mhe.Heche

Hawa walikuwa marafiki wa kudumu sana lakini leo hawataki kusema kweli nini kimefanya wagombane na watufikishe hapa ukweli ni kwamba sababu zinazo SEMWA sio kweli LISSU anapaswa aseme ukweli na Msigwa anapaswa aseme ukweli kilicho mkimbiza na LISSU na Msigwa kwanini ni Marafiki wa kufa😁

Mnakumbuka kuwa wakati Mwenyekiti wa chama Taifa yupo Gerezani makamu wake Mwenyekiti alikuwa Ubelgiji na tayari alikuwa amesha pona maana kama alikuwa ameshiriki kampeni za 2020 maana yake afya yake ilikuwa walau imara.

Katika Mapito ya Freeman Mbowe akiwa Gerezani Makamu wake Mwenyekiti aliamini Mwenyekiti hawezi tena kutoka na mkoleza Sana hizo alikuwa Pitar Msigwa na ndio maana Mhe.LISSU hakuweza kurudi kuja kutumia taaluma yake kumtetea Mwenyekiti wake MBOWE ambaye alimsaidia katika Shambulio la aibu.

Mnakumbuka wakati wa Kesi ya Kinondoni ya Akwilina Akwilina Makamu mwenyekiti wa Chadema alikuwa Profesa Abdala Safari alipo ona Viongozi wote wamefunguliwa kesi aliongoza Jopo la Mawakili kutetea Viongozi wenzake ilikuwaje kwa TUNDU LISSU kushindwa kuja kusimamia kesi ya Mwenyekiti wake??

Ukiachilia hilo LISSU hakuona umuhimu wa Kuja kushiriki kesi ya Mbowe na badala yake alipo rejea nchini wakati wa Uchaguzi wa TLS alilazimika kulipia leseni yake ili apige kura kumchagua Mwambukusi yaani LISSU aliona umuhimu wa taaluma yake ni kumchagua Mwambukusi na si kuhuisha Leseni kwenda Kumtetea Freeman Mbowe ambaye alikuwa anasota Gerezani kama alivyo fanya Profesa Abdala Safari ambaye alikuwa Makamu Mwenyekiti wa chama Taifa.

Mbowe akiwa Gerezani miezi minane huku nje Siku moja Pitar Msigwa na Marafiki zake nilio wataja hapo juu walikuwa kwenye mazungumzo FLANI ya chama wakati wa Mazungumzo Piter Msigwa aliwaambia wenzake kwanini Makamu Mwenyekiti asithibitishwa kuwa Mwenyekiti wa chama Taifa yaani LISSU na Sababu ni kwamba Mwenyekiti Taifa hawezi kutoka huku Msigwa akiwahakikishia anataarifa za mfumo hivyo nibora wazibe nafasi,

Wenzake Kina Heche/Lema/Sugu/Wenje walimsikiliza na wakasema tujipe muda wa hili.

Msigwa alipo ona vile alirejea kwa LISSU kumpa taarifa na baada ya kumpa taarifa LISSU alimshauri Msigwa kuwa ili jambo ilo liweze kwenda vizuri lazima Kupatikana uhalali wa kikatiba ambao unatoa fursa ya kuhalalisha LISSU kuwa Mwenyekiti maana LISSU alitafuta uhalali wa Kikatiba kwanza ambapo akampa Maelekezo Msigwa aanze kusimamia akiwa nchini.

1. Atafute mjumbe wa Kamati kuu ili aweze kupenyeza agenda kwenye group la kamati kuu kuhusu mjadala huo au kupenyeza kwenye Sekretarieti ya chama ili wafanyie kazi Mtu huyo alipatikana anaitwa Gaston Garubindi aliye kuwa Mwenyekiti wa kanda ya Magharibi akawa ndio kipaza sauti,Waliratibu agenda kwanza ya Kuziba nafasi za Wenyeviti wa kanda zilizo wazi katika Mpango huo wakaseti agenda kuwa Makamu Wenyeviti wote wa Kanda ambazo hazina Wenyeviti wawe Wajumbe wa Kamati Kuu lakini Katiba ya Chama haisemi Makamu mwenyekiti atakaimu nafasi ya Ujumbe wa kamati kuu haswa pale katiba ilipo sema kuwa Wawakilishi wa Viongozi hawata kuwa na maamuzi hivyo Makamu Mwenyekiti ni Mwakilishi wa Mwenyekiti, hivyo jaribio la kumpindui Mbowe lilikuwa na umakini Mkubwa sana,hilo likafanikiwa kwa kupatiwa uhalali kiana ndio maana

Baraka Mwago alikuwa Makamu Mwenyekiti kanda ya Pwani baada ya Uchaguzi wa Kanda ya Pwani pale Kibaha wajumbe kumpigia kura za hapa a Frederick Sumai na Sumaye kukimbilia CCM nafasi ilibaki wazi.

Gimbi Doto Masaba wakamfanya kuwa Mwenyekiti wa kanda baada ya Estate Matiku kuwa Mbunge Covid 19 huku wakijua Gimbi ni Makamu Mwenyekiti wa kanda ya Serengeti na wakamfanya Gimbi kuwa Mwenyekiti wa kanda Bila Uchaguzi na kuwa mjumbe wa Kamati Kuu yote hayo yaliratibiwa na Msigwa kwa Misheni ya yeye na TUNDU LISSU na Wameongoza miaka mitano huku katiba inasema anae kaimu anapaswa kukaimu miezi sita.

Aisha Luja ambaye alikuwa makamu mwenyekiti wa kanda ya Kati huku Mwenyekiti wake akiwa Lazaro Nyalandu baada ya Nyalandu kuondoka kuhamia CCM,katika misheni ya Msigwa na LISSU bila wengine kujua wakafanya Makamu mwenyekiti Aisha Luja kuwa Mwenyekiti wa kanda huku akishika nafasi mbili.

Katika Misheni hii iligonga mwamba kanda ya Kusini ambapo Mwenyekiti wa Kanda Methweu alihamia CCM na Makamu wake Barani aliacha Siasa Mkakati wao Ukaona bora Kanda ile kwa miaka mitano isiwe na Viongozi maana wangesema Uchaguzi ufanyike kanda zingine zingedai Uchaguzi walikaa kimnya na miaka mitano imepita kanda haina Viongozi,

Itakumbukwa kuwa baada ya mkakati huo wa kuwafanya Makamu wenyeviti wa kanda kuwa Wenyeviti wa Kanda kinyume cha Katiba na wameongoza miaka 4 badala ya miezi sita Uchaguzi kufanyika Walitafuta hoja ingine ili itakapo fika wakati wa Kumthibitisha LISSU kuwa Mwenyekiti wa Chama Taifa kusiwe na kelele inamaana watasema mbona Kwenye kanda Makamu wenyeviti wanakaimu na ndio wenyeviti,

Wakati yanafanyika haya wengi waliona ni nia njema na hata Katibu Mkuu hakujua kabisa,Ilikuwa ya wachache na hata walio kuwa Makamu wenyeviti walipo kuwa wana pandishwa kuwa wenyeviti nao hawakujua lakini ukitaka kuona nia ovu katikati ya LISSU kama makamu mwenyekiti ambaye anatekeleza majumu ya Mwenyekiti akiwa hayupo alishindwa kujibu kwanini watu wakarimu miaka 4 badala ya miezi 6 na kwanini mtu mmoja awe na nafasi mbili kwenye ngazi moja ambapo katiba inakataa.?

Wakahamia Ngazi ya Taifa mtakumbuka kuwa Sekretarieti ya Chama ilitanga Uchaguzi wa Bawacha kwa ngazi zote zilizo achwa wazi Baada ya Covid Kufukuzwa ikiwemo ya Mwenyekiti wa Bawacha Taifa/Makamu Mwenyekiti bara/Katibu Mkuu na Naibu katibu mKuu na Mwenezi nafasi zote wanachama waliomba na kugombea lakini cha ajabu LISSU na Msigwa kwenye Kamati Kuu kwakuwa walikuwa na mipango yao walilazimishaWalio Gombea warudishiwe hela zao kwenye nafasi ya Mwenyekiti na Uchaguzi ufanyike kwenye Nafasi zingine maana lengo ilikuwa ni kutengeneza njia LISSU awe Mwenyekiti maana ni Makamu mwenyekiti na msingi wa hayo ulianzia kwenye kanda kadhaa kuwafanya Makamu wenyeviti kuwa wenyeviti wa Kanda,

Hivyo Makamu Mwenyekiti wa Bawacha Zanzibar Bi Sharifa ndio akawa Mwenyekiti wa Bawacha Taifa na wakati huo akiwa Makamu mwenyekiti Bawacha Zanzibar,katiba inakataa mtu mmoja kubwa na nafasi mbili ngazi moja mfano usiwe na nafasi mbili ngazi ya Taifa kwenye chombo kimoja Katika kitu cha kushangaza utaona leo Tanzania bara hakuna Makamu Mwenyekiti Bawacha Taifa au kabla ya uchaguzi kanda ya kati/Pwani/Serengeti hakukuwa na makamu wenyeviti 😁 HAYO YOTE YALIFANYIKA MIKONONI MWA LISSU wakati MBOWE yupo Gerezani miezi 8.

Kwamba LISSU ndio anataka kuwa MWENYEKITI KWA SASA miezi Nane kuvuruga kila kitu😁

Walipo Maliza kusuka uhalali kwenye Kanda na kwenye Mabaraza bila kuona athari zake wakatafakari sasa tunawezaje kulikamilisha hilo la Kumfanya LISSU kuwa Mwenyekiti wa Chama Taifa Msigwa akaja na wazo la Kutafuta Fedha ili Aitishwe Mkutano Mkuu wa Chama ili LISSU Athibitishwe Rasmi kuwa Mwenyekiti,Ikaonekana kuwa Chama hakina fedha wakatengeneza Mpango wa Kutafuta fedha unaitwa Join the Chain katika mpango huo Mwenyekiti alikuwa Lema na katibu alikuwa Catherine,Msigwa akapendekeza kwenye kikao kuwa wajumbe wa Kamati Kuu waende Kenya wakutane na LISSU ili wazindue maana LISSU alikuwa amekataa kurudi Nchini ili uhakikishiwe Usalama wake,Wajumbe walio kwenda kenya ni.

1. LISSU
2. Baraka Mwago
3. WENJE
4. HECHE
5. CATHERIN
6. GARUBINDI
7. MSIGWA

Wakiwa Kenya huku sisi Tanzania tukihamasishwa kuchangia Join the Chain ndio jioni baada ya Kazi Msigwa akaropoka kwa wenzake kuwa kazi yetu imeisha ivyo LISSU jiandae kuwa Mwenyekiti wa Chama Taifa maana Join the Chain italeta fedha ya Kuitisha mkutano mkuu ili uthibitishwe maana Msigwa na LISSU Wakisisitiza Mbowe hawezi toka Gerezani

Baada ya Uzinduzi Jioni wakiwa kwenye mazungumzo katika maneno hayo na mipango ile baadhi ya wajumbe wa Kamati kuu waliona kama sio sawa na wakanaza kuona kama ni Mikakati ya mapinduzi kwani kazi iliyo kuwa mbele ni kupambana Mwenyekiti atoke Gerezani lakini sio kugawana vyeo walikaa kimnya ndipo👇🏽

WENJE alipo rudi Nchini alikwenda Gerezani kumwambia Mwenyekiti wa Taifa kwamba kuna mipango inapangwa ya kuitisha mkutano mkuu na kumthibitisha LISSU kuwa Mwenyekiti wa Taifa hapo ndipo chuki ya Wenje na LISSU/MSIGWA NA HECHE Viliibuka Lema akaamua kujitenga na uovu japo alijua.

Baada ya Mwenyekiti kujua NAE Mungu si athumani katikati ya Mipango ya Join the Chain Mwenyekiti wa Taifa akatoka Gerezani iliwauma sana na ndio maana Mbowe alipo Toka Gerezani Moja kwa moja aliambia kamati kuu Nimepewa wito na Rais na alienda,

Maumivu ya Msigwa na LISSU kutoka jela yalikuwa makubwa ambapo ndio yakakoleza moto kuwa lazima tuendelee kumchafua na kushughulika na Mbowe.

Jaribio la Kumpindua mbowe liliratibiwa Miezi 8 na lilikufa Rasmi Alipo toka Jela.

Hivyo Msitegemee mbowe asemwe mazuri maana wapanga mipango wanajaribu kuficha uovu wao.

UONGOMVI WA LISSU NA WENJE ni Wenje Kutoa Siri za Mapinduzi ndio maana wote walio kuwa kwenye Mpango wa Mapinduzi walipigwa chini kwenye chaguzi za Kanda.

Yaani LISSU anajaribu Kumchafua Wenje sio kwa Bahati Mbaya ni kwasababu Wenje alitoa siri na maumivu ya kuanikwa hadharani ni makubwa sana.

Kwamba ukiwa na urafiki na mtoto wa Rais ni dhambi 😁.

MKEKA ulikuwa hivi.
1. Mwenyekiti wa Chama LISSU
2. Makamu Mwenyekiti Msigwa
3. Katibu Mkuu Heche
4. Mwenyekiti wa kanda ya Nyasa Rose Mayemba
5. Mkurugenzi wa Sheria Garubindi.

Hawa watu kwa sasa wanahasira na Mbowe ya kufa mtu na wanamchukia Wenje maana aliuza mkanda wa Mapinduzi.

........inaendelea!!!??
Hadithi hii inatufundisha nn?
 
MAPINDUZI YA KUMPINDUA MBOWE KWENYE UENYEKITI YALIANZA AKIWA GEREZANI ILE MIEZI MINANE

Soma kwa Makini utafahamu haya yanayo endelea hivi sasa.!!!

Mwenyekiti Mbowe alisha ushinda uchaguzi Mara baada ya kutoka Gerezani,Mnakumbuka kwamba Mwenyekiti aliwahi kuwa Gerezani miezi minane.??

Katika hatua hiyo kuna mengi yaliyo kuwa nyuma ya Pazia na yaliyo kuwa yakiendelea na Msio fahamu hawa wote waliwahi kuwa marafiki wa karibu na tulipenda wanavyo Tembea Pamoja au kuwa Jukwaa moja wafuatao.

1. Mhe.Lema
2. Mhe.Lissu
3. Mhe.Sugu
4. Xxx.Msigwa
5. Mhe.Wenje
6. Mhe.Heche

Hawa walikuwa marafiki wa kudumu sana lakini leo hawataki kusema kweli nini kimefanya wagombane na watufikishe hapa ukweli ni kwamba sababu zinazo SEMWA sio kweli LISSU anapaswa aseme ukweli na Msigwa anapaswa aseme ukweli kilicho mkimbiza na LISSU na Msigwa kwanini ni Marafiki wa kufa😁

Mnakumbuka kuwa wakati Mwenyekiti wa chama Taifa yupo Gerezani makamu wake Mwenyekiti alikuwa Ubelgiji na tayari alikuwa amesha pona maana kama alikuwa ameshiriki kampeni za 2020 maana yake afya yake ilikuwa walau imara.

Katika Mapito ya Freeman Mbowe akiwa Gerezani Makamu wake Mwenyekiti aliamini Mwenyekiti hawezi tena kutoka na mkoleza Sana hizo alikuwa Pitar Msigwa na ndio maana Mhe.LISSU hakuweza kurudi kuja kutumia taaluma yake kumtetea Mwenyekiti wake MBOWE ambaye alimsaidia katika Shambulio la aibu.

Mnakumbuka wakati wa Kesi ya Kinondoni ya Akwilina Akwilina Makamu mwenyekiti wa Chadema alikuwa Profesa Abdala Safari alipo ona Viongozi wote wamefunguliwa kesi aliongoza Jopo la Mawakili kutetea Viongozi wenzake ilikuwaje kwa TUNDU LISSU kushindwa kuja kusimamia kesi ya Mwenyekiti wake??

Ukiachilia hilo LISSU hakuona umuhimu wa Kuja kushiriki kesi ya Mbowe na badala yake alipo rejea nchini wakati wa Uchaguzi wa TLS alilazimika kulipia leseni yake ili apige kura kumchagua Mwambukusi yaani LISSU aliona umuhimu wa taaluma yake ni kumchagua Mwambukusi na si kuhuisha Leseni kwenda Kumtetea Freeman Mbowe ambaye alikuwa anasota Gerezani kama alivyo fanya Profesa Abdala Safari ambaye alikuwa Makamu Mwenyekiti wa chama Taifa.

Mbowe akiwa Gerezani miezi minane huku nje Siku moja Pitar Msigwa na Marafiki zake nilio wataja hapo juu walikuwa kwenye mazungumzo FLANI ya chama wakati wa Mazungumzo Piter Msigwa aliwaambia wenzake kwanini Makamu Mwenyekiti asithibitishwa kuwa Mwenyekiti wa chama Taifa yaani LISSU na Sababu ni kwamba Mwenyekiti Taifa hawezi kutoka huku Msigwa akiwahakikishia anataarifa za mfumo hivyo nibora wazibe nafasi,

Wenzake Kina Heche/Lema/Sugu/Wenje walimsikiliza na wakasema tujipe muda wa hili.

Msigwa alipo ona vile alirejea kwa LISSU kumpa taarifa na baada ya kumpa taarifa LISSU alimshauri Msigwa kuwa ili jambo ilo liweze kwenda vizuri lazima Kupatikana uhalali wa kikatiba ambao unatoa fursa ya kuhalalisha LISSU kuwa Mwenyekiti maana LISSU alitafuta uhalali wa Kikatiba kwanza ambapo akampa Maelekezo Msigwa aanze kusimamia akiwa nchini.

1. Atafute mjumbe wa Kamati kuu ili aweze kupenyeza agenda kwenye group la kamati kuu kuhusu mjadala huo au kupenyeza kwenye Sekretarieti ya chama ili wafanyie kazi Mtu huyo alipatikana anaitwa Gaston Garubindi aliye kuwa Mwenyekiti wa kanda ya Magharibi akawa ndio kipaza sauti,Waliratibu agenda kwanza ya Kuziba nafasi za Wenyeviti wa kanda zilizo wazi katika Mpango huo wakaseti agenda kuwa Makamu Wenyeviti wote wa Kanda ambazo hazina Wenyeviti wawe Wajumbe wa Kamati Kuu lakini Katiba ya Chama haisemi Makamu mwenyekiti atakaimu nafasi ya Ujumbe wa kamati kuu haswa pale katiba ilipo sema kuwa Wawakilishi wa Viongozi hawata kuwa na maamuzi hivyo Makamu Mwenyekiti ni Mwakilishi wa Mwenyekiti, hivyo jaribio la kumpindui Mbowe lilikuwa na umakini Mkubwa sana,hilo likafanikiwa kwa kupatiwa uhalali kiana ndio maana

Baraka Mwago alikuwa Makamu Mwenyekiti kanda ya Pwani baada ya Uchaguzi wa Kanda ya Pwani pale Kibaha wajumbe kumpigia kura za hapa a Frederick Sumai na Sumaye kukimbilia CCM nafasi ilibaki wazi.

Gimbi Doto Masaba wakamfanya kuwa Mwenyekiti wa kanda baada ya Estate Matiku kuwa Mbunge Covid 19 huku wakijua Gimbi ni Makamu Mwenyekiti wa kanda ya Serengeti na wakamfanya Gimbi kuwa Mwenyekiti wa kanda Bila Uchaguzi na kuwa mjumbe wa Kamati Kuu yote hayo yaliratibiwa na Msigwa kwa Misheni ya yeye na TUNDU LISSU na Wameongoza miaka mitano huku katiba inasema anae kaimu anapaswa kukaimu miezi sita.

Aisha Luja ambaye alikuwa makamu mwenyekiti wa kanda ya Kati huku Mwenyekiti wake akiwa Lazaro Nyalandu baada ya Nyalandu kuondoka kuhamia CCM,katika misheni ya Msigwa na LISSU bila wengine kujua wakafanya Makamu mwenyekiti Aisha Luja kuwa Mwenyekiti wa kanda huku akishika nafasi mbili.

Katika Misheni hii iligonga mwamba kanda ya Kusini ambapo Mwenyekiti wa Kanda Methweu alihamia CCM na Makamu wake Barani aliacha Siasa Mkakati wao Ukaona bora Kanda ile kwa miaka mitano isiwe na Viongozi maana wangesema Uchaguzi ufanyike kanda zingine zingedai Uchaguzi walikaa kimnya na miaka mitano imepita kanda haina Viongozi,

Itakumbukwa kuwa baada ya mkakati huo wa kuwafanya Makamu wenyeviti wa kanda kuwa Wenyeviti wa Kanda kinyume cha Katiba na wameongoza miaka 4 badala ya miezi sita Uchaguzi kufanyika Walitafuta hoja ingine ili itakapo fika wakati wa Kumthibitisha LISSU kuwa Mwenyekiti wa Chama Taifa kusiwe na kelele inamaana watasema mbona Kwenye kanda Makamu wenyeviti wanakaimu na ndio wenyeviti,

Wakati yanafanyika haya wengi waliona ni nia njema na hata Katibu Mkuu hakujua kabisa,Ilikuwa ya wachache na hata walio kuwa Makamu wenyeviti walipo kuwa wana pandishwa kuwa wenyeviti nao hawakujua lakini ukitaka kuona nia ovu katikati ya LISSU kama makamu mwenyekiti ambaye anatekeleza majumu ya Mwenyekiti akiwa hayupo alishindwa kujibu kwanini watu wakarimu miaka 4 badala ya miezi 6 na kwanini mtu mmoja awe na nafasi mbili kwenye ngazi moja ambapo katiba inakataa.?

Wakahamia Ngazi ya Taifa mtakumbuka kuwa Sekretarieti ya Chama ilitanga Uchaguzi wa Bawacha kwa ngazi zote zilizo achwa wazi Baada ya Covid Kufukuzwa ikiwemo ya Mwenyekiti wa Bawacha Taifa/Makamu Mwenyekiti bara/Katibu Mkuu na Naibu katibu mKuu na Mwenezi nafasi zote wanachama waliomba na kugombea lakini cha ajabu LISSU na Msigwa kwenye Kamati Kuu kwakuwa walikuwa na mipango yao walilazimishaWalio Gombea warudishiwe hela zao kwenye nafasi ya Mwenyekiti na Uchaguzi ufanyike kwenye Nafasi zingine maana lengo ilikuwa ni kutengeneza njia LISSU awe Mwenyekiti maana ni Makamu mwenyekiti na msingi wa hayo ulianzia kwenye kanda kadhaa kuwafanya Makamu wenyeviti kuwa wenyeviti wa Kanda,

Hivyo Makamu Mwenyekiti wa Bawacha Zanzibar Bi Sharifa ndio akawa Mwenyekiti wa Bawacha Taifa na wakati huo akiwa Makamu mwenyekiti Bawacha Zanzibar,katiba inakataa mtu mmoja kubwa na nafasi mbili ngazi moja mfano usiwe na nafasi mbili ngazi ya Taifa kwenye chombo kimoja Katika kitu cha kushangaza utaona leo Tanzania bara hakuna Makamu Mwenyekiti Bawacha Taifa au kabla ya uchaguzi kanda ya kati/Pwani/Serengeti hakukuwa na makamu wenyeviti 😁 HAYO YOTE YALIFANYIKA MIKONONI MWA LISSU wakati MBOWE yupo Gerezani miezi 8.

Kwamba LISSU ndio anataka kuwa MWENYEKITI KWA SASA miezi Nane kuvuruga kila kitu😁

Walipo Maliza kusuka uhalali kwenye Kanda na kwenye Mabaraza bila kuona athari zake wakatafakari sasa tunawezaje kulikamilisha hilo la Kumfanya LISSU kuwa Mwenyekiti wa Chama Taifa Msigwa akaja na wazo la Kutafuta Fedha ili Aitishwe Mkutano Mkuu wa Chama ili LISSU Athibitishwe Rasmi kuwa Mwenyekiti,Ikaonekana kuwa Chama hakina fedha wakatengeneza Mpango wa Kutafuta fedha unaitwa Join the Chain katika mpango huo Mwenyekiti alikuwa Lema na katibu alikuwa Catherine,Msigwa akapendekeza kwenye kikao kuwa wajumbe wa Kamati Kuu waende Kenya wakutane na LISSU ili wazindue maana LISSU alikuwa amekataa kurudi Nchini ili uhakikishiwe Usalama wake,Wajumbe walio kwenda kenya ni.

1. LISSU
2. Baraka Mwago
3. WENJE
4. HECHE
5. CATHERIN
6. GARUBINDI
7. MSIGWA

Wakiwa Kenya huku sisi Tanzania tukihamasishwa kuchangia Join the Chain ndio jioni baada ya Kazi Msigwa akaropoka kwa wenzake kuwa kazi yetu imeisha ivyo LISSU jiandae kuwa Mwenyekiti wa Chama Taifa maana Join the Chain italeta fedha ya Kuitisha mkutano mkuu ili uthibitishwe maana Msigwa na LISSU Wakisisitiza Mbowe hawezi toka Gerezani

Baada ya Uzinduzi Jioni wakiwa kwenye mazungumzo katika maneno hayo na mipango ile baadhi ya wajumbe wa Kamati kuu waliona kama sio sawa na wakanaza kuona kama ni Mikakati ya mapinduzi kwani kazi iliyo kuwa mbele ni kupambana Mwenyekiti atoke Gerezani lakini sio kugawana vyeo walikaa kimnya ndipo👇🏽

WENJE alipo rudi Nchini alikwenda Gerezani kumwambia Mwenyekiti wa Taifa kwamba kuna mipango inapangwa ya kuitisha mkutano mkuu na kumthibitisha LISSU kuwa Mwenyekiti wa Taifa hapo ndipo chuki ya Wenje na LISSU/MSIGWA NA HECHE Viliibuka Lema akaamua kujitenga na uovu japo alijua.

Baada ya Mwenyekiti kujua NAE Mungu si athumani katikati ya Mipango ya Join the Chain Mwenyekiti wa Taifa akatoka Gerezani iliwauma sana na ndio maana Mbowe alipo Toka Gerezani Moja kwa moja aliambia kamati kuu Nimepewa wito na Rais na alienda,

Maumivu ya Msigwa na LISSU kutoka jela yalikuwa makubwa ambapo ndio yakakoleza moto kuwa lazima tuendelee kumchafua na kushughulika na Mbowe.

Jaribio la Kumpindua mbowe liliratibiwa Miezi 8 na lilikufa Rasmi Alipo toka Jela.

Hivyo Msitegemee mbowe asemwe mazuri maana wapanga mipango wanajaribu kuficha uovu wao.

UONGOMVI WA LISSU NA WENJE ni Wenje Kutoa Siri za Mapinduzi ndio maana wote walio kuwa kwenye Mpango wa Mapinduzi walipigwa chini kwenye chaguzi za Kanda.

Yaani LISSU anajaribu Kumchafua Wenje sio kwa Bahati Mbaya ni kwasababu Wenje alitoa siri na maumivu ya kuanikwa hadharani ni makubwa sana.

Kwamba ukiwa na urafiki na mtoto wa Rais ni dhambi 😁.

MKEKA ulikuwa hivi.
1. Mwenyekiti wa Chama LISSU
2. Makamu Mwenyekiti Msigwa
3. Katibu Mkuu Heche
4. Mwenyekiti wa kanda ya Nyasa Rose Mayemba
5. Mkurugenzi wa Sheria Garubindi.

Hawa watu kwa sasa wanahasira na Mbowe ya kufa mtu na wanamchukia Wenje maana aliuza mkanda wa Mapinduzi.

........inaendelea!!!??
Nilitaka nikujibu sentensi kwa sentensi, ila kwa ujinga huu ni kujidharirisha tu
 
uwongo mkubwa sana
1-- LISu alikuwa matibabuubelgiji

2--Pasipoti yake usafiri alipokonywa na usalama wa taifa ubeligiji ,alikuwa hajapewa chochote ili aweze kurudi hayo unayosema umetoa wapi

Na,samia alivyoenda ulaya ndipo alikutana na LISu apewe hivyo vitu vyake ili arudi pamoja na kumtoa mbowe gerezani
 
MAPINDUZI YA KUMPINDUA MBOWE KWENYE UENYEKITI YALIANZA AKIWA GEREZANI ILE MIEZI MINANE

Soma kwa Makini utafahamu haya yanayo endelea hivi sasa.!!!

Mwenyekiti Mbowe alisha ushinda uchaguzi Mara baada ya kutoka Gerezani,Mnakumbuka kwamba Mwenyekiti aliwahi kuwa Gerezani miezi minane.??

Katika hatua hiyo kuna mengi yaliyo kuwa nyuma ya Pazia na yaliyo kuwa yakiendelea na Msio fahamu hawa wote waliwahi kuwa marafiki wa karibu na tulipenda wanavyo Tembea Pamoja au kuwa Jukwaa moja wafuatao.

1. Mhe.Lema
2. Mhe.Lissu
3. Mhe.Sugu
4. Xxx.Msigwa
5. Mhe.Wenje
6. Mhe.Heche

Hawa walikuwa marafiki wa kudumu sana lakini leo hawataki kusema kweli nini kimefanya wagombane na watufikishe hapa ukweli ni kwamba sababu zinazo SEMWA sio kweli LISSU anapaswa aseme ukweli na Msigwa anapaswa aseme ukweli kilicho mkimbiza na LISSU na Msigwa kwanini ni Marafiki wa kufa😁

Mnakumbuka kuwa wakati Mwenyekiti wa chama Taifa yupo Gerezani makamu wake Mwenyekiti alikuwa Ubelgiji na tayari alikuwa amesha pona maana kama alikuwa ameshiriki kampeni za 2020 maana yake afya yake ilikuwa walau imara.

Katika Mapito ya Freeman Mbowe akiwa Gerezani Makamu wake Mwenyekiti aliamini Mwenyekiti hawezi tena kutoka na mkoleza Sana hizo alikuwa Pitar Msigwa na ndio maana Mhe.LISSU hakuweza kurudi kuja kutumia taaluma yake kumtetea Mwenyekiti wake MBOWE ambaye alimsaidia katika Shambulio la aibu.

Mnakumbuka wakati wa Kesi ya Kinondoni ya Akwilina Akwilina Makamu mwenyekiti wa Chadema alikuwa Profesa Abdala Safari alipo ona Viongozi wote wamefunguliwa kesi aliongoza Jopo la Mawakili kutetea Viongozi wenzake ilikuwaje kwa TUNDU LISSU kushindwa kuja kusimamia kesi ya Mwenyekiti wake??

Ukiachilia hilo LISSU hakuona umuhimu wa Kuja kushiriki kesi ya Mbowe na badala yake alipo rejea nchini wakati wa Uchaguzi wa TLS alilazimika kulipia leseni yake ili apige kura kumchagua Mwambukusi yaani LISSU aliona umuhimu wa taaluma yake ni kumchagua Mwambukusi na si kuhuisha Leseni kwenda Kumtetea Freeman Mbowe ambaye alikuwa anasota Gerezani kama alivyo fanya Profesa Abdala Safari ambaye alikuwa Makamu Mwenyekiti wa chama Taifa.

Mbowe akiwa Gerezani miezi minane huku nje Siku moja Pitar Msigwa na Marafiki zake nilio wataja hapo juu walikuwa kwenye mazungumzo FLANI ya chama wakati wa Mazungumzo Piter Msigwa aliwaambia wenzake kwanini Makamu Mwenyekiti asithibitishwa kuwa Mwenyekiti wa chama Taifa yaani LISSU na Sababu ni kwamba Mwenyekiti Taifa hawezi kutoka huku Msigwa akiwahakikishia anataarifa za mfumo hivyo nibora wazibe nafasi,

Wenzake Kina Heche/Lema/Sugu/Wenje walimsikiliza na wakasema tujipe muda wa hili.

Msigwa alipo ona vile alirejea kwa LISSU kumpa taarifa na baada ya kumpa taarifa LISSU alimshauri Msigwa kuwa ili jambo ilo liweze kwenda vizuri lazima Kupatikana uhalali wa kikatiba ambao unatoa fursa ya kuhalalisha LISSU kuwa Mwenyekiti maana LISSU alitafuta uhalali wa Kikatiba kwanza ambapo akampa Maelekezo Msigwa aanze kusimamia akiwa nchini.

1. Atafute mjumbe wa Kamati kuu ili aweze kupenyeza agenda kwenye group la kamati kuu kuhusu mjadala huo au kupenyeza kwenye Sekretarieti ya chama ili wafanyie kazi Mtu huyo alipatikana anaitwa Gaston Garubindi aliye kuwa Mwenyekiti wa kanda ya Magharibi akawa ndio kipaza sauti,Waliratibu agenda kwanza ya Kuziba nafasi za Wenyeviti wa kanda zilizo wazi katika Mpango huo wakaseti agenda kuwa Makamu Wenyeviti wote wa Kanda ambazo hazina Wenyeviti wawe Wajumbe wa Kamati Kuu lakini Katiba ya Chama haisemi Makamu mwenyekiti atakaimu nafasi ya Ujumbe wa kamati kuu haswa pale katiba ilipo sema kuwa Wawakilishi wa Viongozi hawata kuwa na maamuzi hivyo Makamu Mwenyekiti ni Mwakilishi wa Mwenyekiti, hivyo jaribio la kumpindui Mbowe lilikuwa na umakini Mkubwa sana,hilo likafanikiwa kwa kupatiwa uhalali kiana ndio maana

Baraka Mwago alikuwa Makamu Mwenyekiti kanda ya Pwani baada ya Uchaguzi wa Kanda ya Pwani pale Kibaha wajumbe kumpigia kura za hapa a Frederick Sumai na Sumaye kukimbilia CCM nafasi ilibaki wazi.

Gimbi Doto Masaba wakamfanya kuwa Mwenyekiti wa kanda baada ya Estate Matiku kuwa Mbunge Covid 19 huku wakijua Gimbi ni Makamu Mwenyekiti wa kanda ya Serengeti na wakamfanya Gimbi kuwa Mwenyekiti wa kanda Bila Uchaguzi na kuwa mjumbe wa Kamati Kuu yote hayo yaliratibiwa na Msigwa kwa Misheni ya yeye na TUNDU LISSU na Wameongoza miaka mitano huku katiba inasema anae kaimu anapaswa kukaimu miezi sita.

Aisha Luja ambaye alikuwa makamu mwenyekiti wa kanda ya Kati huku Mwenyekiti wake akiwa Lazaro Nyalandu baada ya Nyalandu kuondoka kuhamia CCM,katika misheni ya Msigwa na LISSU bila wengine kujua wakafanya Makamu mwenyekiti Aisha Luja kuwa Mwenyekiti wa kanda huku akishika nafasi mbili.

Katika Misheni hii iligonga mwamba kanda ya Kusini ambapo Mwenyekiti wa Kanda Methweu alihamia CCM na Makamu wake Barani aliacha Siasa Mkakati wao Ukaona bora Kanda ile kwa miaka mitano isiwe na Viongozi maana wangesema Uchaguzi ufanyike kanda zingine zingedai Uchaguzi walikaa kimnya na miaka mitano imepita kanda haina Viongozi,

Itakumbukwa kuwa baada ya mkakati huo wa kuwafanya Makamu wenyeviti wa kanda kuwa Wenyeviti wa Kanda kinyume cha Katiba na wameongoza miaka 4 badala ya miezi sita Uchaguzi kufanyika Walitafuta hoja ingine ili itakapo fika wakati wa Kumthibitisha LISSU kuwa Mwenyekiti wa Chama Taifa kusiwe na kelele inamaana watasema mbona Kwenye kanda Makamu wenyeviti wanakaimu na ndio wenyeviti,

Wakati yanafanyika haya wengi waliona ni nia njema na hata Katibu Mkuu hakujua kabisa,Ilikuwa ya wachache na hata walio kuwa Makamu wenyeviti walipo kuwa wana pandishwa kuwa wenyeviti nao hawakujua lakini ukitaka kuona nia ovu katikati ya LISSU kama makamu mwenyekiti ambaye anatekeleza majumu ya Mwenyekiti akiwa hayupo alishindwa kujibu kwanini watu wakarimu miaka 4 badala ya miezi 6 na kwanini mtu mmoja awe na nafasi mbili kwenye ngazi moja ambapo katiba inakataa.?

Wakahamia Ngazi ya Taifa mtakumbuka kuwa Sekretarieti ya Chama ilitanga Uchaguzi wa Bawacha kwa ngazi zote zilizo achwa wazi Baada ya Covid Kufukuzwa ikiwemo ya Mwenyekiti wa Bawacha Taifa/Makamu Mwenyekiti bara/Katibu Mkuu na Naibu katibu mKuu na Mwenezi nafasi zote wanachama waliomba na kugombea lakini cha ajabu LISSU na Msigwa kwenye Kamati Kuu kwakuwa walikuwa na mipango yao walilazimishaWalio Gombea warudishiwe hela zao kwenye nafasi ya Mwenyekiti na Uchaguzi ufanyike kwenye Nafasi zingine maana lengo ilikuwa ni kutengeneza njia LISSU awe Mwenyekiti maana ni Makamu mwenyekiti na msingi wa hayo ulianzia kwenye kanda kadhaa kuwafanya Makamu wenyeviti kuwa wenyeviti wa Kanda,

Hivyo Makamu Mwenyekiti wa Bawacha Zanzibar Bi Sharifa ndio akawa Mwenyekiti wa Bawacha Taifa na wakati huo akiwa Makamu mwenyekiti Bawacha Zanzibar,katiba inakataa mtu mmoja kubwa na nafasi mbili ngazi moja mfano usiwe na nafasi mbili ngazi ya Taifa kwenye chombo kimoja Katika kitu cha kushangaza utaona leo Tanzania bara hakuna Makamu Mwenyekiti Bawacha Taifa au kabla ya uchaguzi kanda ya kati/Pwani/Serengeti hakukuwa na makamu wenyeviti 😁 HAYO YOTE YALIFANYIKA MIKONONI MWA LISSU wakati MBOWE yupo Gerezani miezi 8.

Kwamba LISSU ndio anataka kuwa MWENYEKITI KWA SASA miezi Nane kuvuruga kila kitu😁

Walipo Maliza kusuka uhalali kwenye Kanda na kwenye Mabaraza bila kuona athari zake wakatafakari sasa tunawezaje kulikamilisha hilo la Kumfanya LISSU kuwa Mwenyekiti wa Chama Taifa Msigwa akaja na wazo la Kutafuta Fedha ili Aitishwe Mkutano Mkuu wa Chama ili LISSU Athibitishwe Rasmi kuwa Mwenyekiti,Ikaonekana kuwa Chama hakina fedha wakatengeneza Mpango wa Kutafuta fedha unaitwa Join the Chain katika mpango huo Mwenyekiti alikuwa Lema na katibu alikuwa Catherine,Msigwa akapendekeza kwenye kikao kuwa wajumbe wa Kamati Kuu waende Kenya wakutane na LISSU ili wazindue maana LISSU alikuwa amekataa kurudi Nchini ili uhakikishiwe Usalama wake,Wajumbe walio kwenda kenya ni.

1. LISSU
2. Baraka Mwago
3. WENJE
4. HECHE
5. CATHERIN
6. GARUBINDI
7. MSIGWA

Wakiwa Kenya huku sisi Tanzania tukihamasishwa kuchangia Join the Chain ndio jioni baada ya Kazi Msigwa akaropoka kwa wenzake kuwa kazi yetu imeisha ivyo LISSU jiandae kuwa Mwenyekiti wa Chama Taifa maana Join the Chain italeta fedha ya Kuitisha mkutano mkuu ili uthibitishwe maana Msigwa na LISSU Wakisisitiza Mbowe hawezi toka Gerezani

Baada ya Uzinduzi Jioni wakiwa kwenye mazungumzo katika maneno hayo na mipango ile baadhi ya wajumbe wa Kamati kuu waliona kama sio sawa na wakanaza kuona kama ni Mikakati ya mapinduzi kwani kazi iliyo kuwa mbele ni kupambana Mwenyekiti atoke Gerezani lakini sio kugawana vyeo walikaa kimnya ndipo👇🏽

WENJE alipo rudi Nchini alikwenda Gerezani kumwambia Mwenyekiti wa Taifa kwamba kuna mipango inapangwa ya kuitisha mkutano mkuu na kumthibitisha LISSU kuwa Mwenyekiti wa Taifa hapo ndipo chuki ya Wenje na LISSU/MSIGWA NA HECHE Viliibuka Lema akaamua kujitenga na uovu japo alijua.

Baada ya Mwenyekiti kujua NAE Mungu si athumani katikati ya Mipango ya Join the Chain Mwenyekiti wa Taifa akatoka Gerezani iliwauma sana na ndio maana Mbowe alipo Toka Gerezani Moja kwa moja aliambia kamati kuu Nimepewa wito na Rais na alienda,

Maumivu ya Msigwa na LISSU kutoka jela yalikuwa makubwa ambapo ndio yakakoleza moto kuwa lazima tuendelee kumchafua na kushughulika na Mbowe.

Jaribio la Kumpindua mbowe liliratibiwa Miezi 8 na lilikufa Rasmi Alipo toka Jela.

Hivyo Msitegemee mbowe asemwe mazuri maana wapanga mipango wanajaribu kuficha uovu wao.

UONGOMVI WA LISSU NA WENJE ni Wenje Kutoa Siri za Mapinduzi ndio maana wote walio kuwa kwenye Mpango wa Mapinduzi walipigwa chini kwenye chaguzi za Kanda.

Yaani LISSU anajaribu Kumchafua Wenje sio kwa Bahati Mbaya ni kwasababu Wenje alitoa siri na maumivu ya kuanikwa hadharani ni makubwa sana.

Kwamba ukiwa na urafiki na mtoto wa Rais ni dhambi 😁.

MKEKA ulikuwa hivi.
1. Mwenyekiti wa Chama LISSU
2. Makamu Mwenyekiti Msigwa
3. Katibu Mkuu Heche
4. Mwenyekiti wa kanda ya Nyasa Rose Mayemba
5. Mkurugenzi wa Sheria Garubindi.

Hawa watu kwa sasa wanahasira na Mbowe ya kufa mtu na wanamchukia Wenje maana aliuza mkanda wa Mapinduzi.

........inaendelea!!!??
Mbowe ni mwanasiasa nguli Yuko kwenye siasa wanaotaka harakati waingie barabarani
 
Kawadanganye watoto wenzio uko ,,
Hata bila kudanganya ,Wakati wa dhoruba mnaemtaka alikimbia Nchi akiogopa Kukamatwa ,na hili unajitoa ufahamu?

Mbowe ametuliza dhoruba Kwa kushirikiana na Samia ,mnaempigia chapuo ndio anajitokeza Sasa kusema nahodha hafai na nyumbu kama nyie mnashangilia tuu.

Mwisho Samia alisema sheria zile zile zilizotumika awali zipo na hazijafutwa so chungeni mdomo.

Kuelekea uchaguzi Mkuu mnaempigia chapua asije tuu kukimbilia Ubelgiji,nawakumbusha tuu.

Wengine nyie ni kenge kwenye msafara wa Mamba hakuna mnachokijua.
 
Kumekucha wasimgizia CCM mivurugano kwenye vyama vyenu kazi kwenu

MBOWE mliyedhani hatoki gerezani huyo hapo mpambane naye kwenye sanduku la kura
Msukumo unaotaka kumuondoa Mbowe uenyekiti ni mkubwa mno.
Utadhani kuna internal force inayopokea maelekezo kutoka External force,kufanya mapinduzi haraka iwezekanavyo ili Die Hard Lissu achukuwe mikoba ya Mbowe as soon as possible.
Wanajimambafai bila kificho kuwa Lissu ndiye ana uwezo wa ku provoke Mama Samia na serikali yake.Sio wanamthamini Lissu yule anatumika kama stepping stone tu.

Lakini bado kuna msukumo mwingine very opposite unaotaka Mbowe asiondoke madarakani kwa sasa, kuwa dynamics zimebadirika.
Hapendwi Mbowe bali wako tiyari kwenda na Mbowe kuliko hao"wapangaji wapya"
Hawa ni wabobezi wa siasa za Tanzania,wenye meno na nyundo.
Ukiingia anga zao........

Kuna kundi la nonplayers kundi la washabiki wao hawajui kama kuna michezo michafu,minyukano chini ya carpet. Wanashangilia tu.
 
Back
Top Bottom