Mipango ya Mungu (Yanayomsibu Celine Dion)

Aingaliw sababu ya kufa,kinaangaliwa kifo..NAN ANEYECHUKUA ROHO??????
 
Namshukulu mungu njia yangu ya kwenda kwa mungu ni safi kidogo, ila naendelea kuisafisha wakati wa kupita kusiwe na pingamizi lolote. wengine njia zao hazipitiki kabisa kwa madhambi yao.
Yaani walokole mnanikera hpo tu pakujiona nyie ndio wasafi sana hata km unafanya mema usijikweze ndugu jishushe mwenyezi atakupandisha mwana dini gani ww?
 
Mpaka hapo njia yako ni chafu sana kuliko zote

Wewe utajisifu vipi kujilinganisha na wengine?
Mm pia nimemshangaa sana najua tu lazma atakua mlokole hyu wanakera sana hwa jamaa!
 
Mwenyenzi Mungu azipumzishe roho zao mahali pema Peponi.
 
Celina Dion nilisoma naye primary mlandege
 
Ya huyo mama cha mtoto. Kuna mke saa 3 asbh kampoteza mume. Anarudi toka mochwari kumpumzisha mume. saa 5 asbh kufika home anakuta mama ake mzazi yupo kufani. Baada ya dk 5 mama ake mzazi amefariki. Mke alizimia Mara 3. Akizinduka anaita jina la mumewe akikumbuka anazima. Akiuliza mama ake watu wanamtazama tu, anazima
 
Ampe mwezi wa kufanya nini?
Kama mungu yupo, kwa nini aruhusu mipango yake imnyang'anye Celine Dion mume wake na kaka yake katika kipindi kifupi hivyo?

Huyo mungu alishindwa kumpa Celine Dion hata mwezi?
 
Huu uzi umefufuliwa basi ujue kuna kitu au huyu bibi keshatembea na yeye
 
Halafu naye sasa hivi ni mgonjwa
 
Niliona ame lose weight sana, sijui nini jamani
 
Ampe mwezi wa kufanya nini?
Mungu kashindwa kutunusuru na misiba inayofuatana hata mwezi haujaisha mtu anapata misiba miwili ya watu wa karibu?

Kwa nini Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote afanye kitu cha kikatili kama kumtenganisha mtu na watu wake wa karibu wawili kwa mpigo?

Huyu Mungu yupo kweli? Au tumemtengeneza sisi wenyewe kwenye mawazo tu?

Mbona sifa zake za upendo usio kifani na na hayo yanayosemwa kuwa ni matendo yake yanayojidhihirisha kwa aliyoachia yatokee duniani haviendani?
 
Swali langu la msingi nimekuuliza kuwa, ulitaka Mungu ampe mwezi mmoja wa kufanya nini?
Kwa nini Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote afanye kitu cha kikatili kama kumtenganisha mtu na watu wake wa karibu wawili kwa mpigo?
 
Swali langu la msingi nimekuuliza kuwa, ulitaka Mungu ampe mwezi mmoja wa kufanya nini?
Jibu langu la msingi nilikuuliza, huyo Mungu hana huruma ya kumpa mwezi kati ya misiba miwili asipate misiba inayofuatana mmoja baada ya mwingine?

Kipi usichoelewa hapo?

Kwanza, kama Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote yupo, kwa nini kifo, kitu kinachotenganisha wapendanao, kinawezekana kuwepo?

Huoni kifo kinaonesha mushkeli katika nadharia ya kuwepo Mungu huyo?
 
Inategemea unakichukuliaje kifo.... ntakupa fumbo... anapozaliwa mtu, yeye ndio analia, halafu anapoaga, wengine ndio wanalia...

Hivyo kifo na kuzaliwa ni hatua kama hatua zingine za maisha....na maisha huwa yanaendelea.

Fumbo la pili, yani hapo kabadilisha vazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…