Abastian
JF-Expert Member
- Sep 28, 2015
- 555
- 138
Aingaliw sababu ya kufa,kinaangaliwa kifo..NAN ANEYECHUKUA ROHO??????Mungu anasingiziwa mambo asiyosababisha.Mtu anafanya kosa anapata tatizo alafu watu wanasema ni mipango ya Mungu.Je umejua kwa nini mtu Fulani amekufa? je labda sababu ni kutumia dawa za kulevya kama ilivyo kwa wasanii wengi? Au amekufa kwa accident ya gari na aliendesha akiwa amelewa? Au amekufa kwa kansa sababu ya uvutaji sigara?
Jua sababu kwanza