Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,206
- 18,549
1. Kuna idadi ya makatibu wengi sana wanabadirishwa kipindi hiki. Makatibu ni waajiriwa ukigoma huna kazi.
2. Makatibu wa ngazi za chini kupeleka majina yenye makosa mikoani ili washi dwe kujisajili.
3. Support ya sirikali, kama ilivyo tokea kwa mbatia nccr mageuzi.
4. Vitisho vinaendelea kwamba wote wanao msupport lissu hatua kali zitachukuliwa kwao baada ya uchaguzi.
5. Hii bado inafanyiwa kazi- lissu kufutiwa uanachama kwa makosa ya kutoa siri za vikao vya kamati kuu kabla ya uchaguzi.
Team FAM wanajua uchaguzi huu hauna mfano ,kushindwa ni moja ya matokeo.
2. Makatibu wa ngazi za chini kupeleka majina yenye makosa mikoani ili washi dwe kujisajili.
3. Support ya sirikali, kama ilivyo tokea kwa mbatia nccr mageuzi.
4. Vitisho vinaendelea kwamba wote wanao msupport lissu hatua kali zitachukuliwa kwao baada ya uchaguzi.
5. Hii bado inafanyiwa kazi- lissu kufutiwa uanachama kwa makosa ya kutoa siri za vikao vya kamati kuu kabla ya uchaguzi.
Team FAM wanajua uchaguzi huu hauna mfano ,kushindwa ni moja ya matokeo.