Mbona ameeleweka vizuri tu,kama Mimi nimemuelewa mno,na mfano aliotumia ni sahihi kabisa,mipira ya mbali ni wachache ambao wanaweza kuipiga ,kwanza inahitaji mtu mwenye roho ngumu, asiwe muoga,awe na maono,awe mthubutu, awe jasiri, asiyekubali kushindwa, maana yake ni mtu kubuni au kufikiri kuanzisha kitegauchumi kikubwa ambacho kitakuja kunufaishsa vizazi vijavyo,haijalishi yeye atakuwa yupo au hayupo,na wanaocheza pasi fupi fupi Hawa ni wale wanaofanya uwekezaji WA muda mfupi hataki kusubiri ,faida yake anataka aione Leo au kesho na si vinginevyo,