Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,034
- 6,913
Wewe unaona Hali ikoje? Mataga na wazee wa ligacy mna ujinga Sana vichwani..Ndio inavyotakiwa. Nchi iwe mbele. Najiuliza kama hali halisi iko hivyo
Nchi siyo kijiji mkuu mpaka uone mabadiliko kwenye mzunguko wa maisha ya kawaida ni shughuliAcha propaganda za lumumba, dalili ya mvua ni mawingu.. yako wapi mawingu?
Ukishasema mataga tu, then you have lost the plot. Unajitekenya na kucheka na uwezo wako wa kuona na kufanya analysis za mambo ni mdogo. Chekelea basi kwa furaha 😀😀😀😀😀Wewe unaona Hali ikoje? Mataga na wazee wa ligacy mna ujinga Sana vichwani..
Juzi Waziri kazindua ujenzi wa uwanja wa Dom,angekuwa yule jamaa wa kujimwambafy,nchi yote ingehamia pale , makelele ya kujigamba meeengi utafikiri ni uvumbuzi wa kwanza duniani.
Ushamba ni mzigo mzito
Huna lolote! Hivi umesharudi TZ au bado unaosha vizee vya kizungu?Magufuli mbona mnamuona Kama mtu alokuwa mkamilifu?
kwanza nadhan hamumtendei haki kukaa mnamjadili mtasababisha tufukue yatakayosababisha tumjadili marehemu kwa jambo ambalo kiutamaduni na imani si busara!!
Nitagusia pesa za Shelisheli onhooo
Nitagusia Dhahabu Rwanda na chuki iloibuka kwa Kagame na mifugo wa ankole onhooo
Nitagusia Bilion 256 za kutoroshewa account ya JS MBC onhoo
Taah.ira kweli hili...Magufuli mbona mnamuona Kama mtu alokuwa mkamilifu?
kwanza nadhan hamumtendei haki kukaa mnamjadili mtasababisha tufukue yatakayosababisha tumjadili marehemu kwa jambo ambalo kiutamaduni na imani si busara!!
Nitagusia pesa za Shelisheli onhooo
Nitagusia Dhahabu Rwanda na chuki iloibuka kwa Kagame na mifugo wa ankole onhooo
Nitagusia Bilion 256 za kutoroshewa account ya JS MBC onhoo
Kama mnampenda si yupo Chato mfuateniHuna lolote! Hivi umesharudi TZ au bado unaosha vizee vya kizungu?
Nenda chato uone ukwapuaji aliofanya diktetaLeta ushahidi namna zilivyokwapuliwa, kwahyo pesa kutumika bila kufuata baadhi ya taratibu ndo inakuwa imekwapuliwa? Au unajifanya hujui namna zilivyokuwa zinakwapuliwa kipindi cha nyuma.
Mfuate Chato mkuu nasikia kajengewa hekalu 😊😊😊Mkuu, punguza ujuajia wa kujifanya unajua kumbe hujui, mwenzako mshana ameaibika juzi tu. Tatizo mnajifanya wajuaji kwa ku connect dot hata zisizofaa.
Si kweli. Magufuli alikuwa janga la kitaifa na zao la CCM kama kawaida yake. Sijui ni ukombozi gani unaouzungumzia. Washauri mashabiki wake (MATAGA) waachane na hulka ya kumuanzishia nyuzi hapa JF kwani zitajibiwa kwa jinsi wasivyopenda.Huu unaouita mzimu mspojua namna ya kudeal nao utawatesa mpaka mnakufa, Wapinzani kama mna nia ya kuwatoa mafisadi ya CCM ikulu, nawashauri muachane na habari za marehemu(wekeni "no comment"),Jikiteni kuwahamasisha wanachi juu ya haki zao na kukosoa serikali ya ccm.
Kuiondoa ccm kunahitaji watu tu, na watu hao alikuwa nao hayati tu. Ukiwa na watu wengi ni rahisi kupinga matokea ya uraisi hata kama tume siyo huru. Upinzani bado hauna watu kiwango hicho,wengi waliopo ni wabinafsi(mashujaa wa maneno tu)
Kumbuka,kila chenye hasara na faida ipo.Moja ya faida ya Magufuli kwa upinzani ni kurahisisa ukombozi mpya, Magufuli pamoja na kujua matatizo yake ya kiafya lakini aliamua kuwa mgumu huku akijua kufanya hvyo ni hatari kwa afya yake, what if angeamua kua soft kama msoga? Naamini mpaka leo angekuwa hai.
Mpaka sasa hakuna anayekubalika zaidi ya Magufuli(ukweli unaoumiza),Magufuli ameshatukomboa,tunahitaji upinzani jumuishi kumalizia ukombozi na hatimaye kupata uhuru kutoka kwa mkoroni mweusi(CCM).
Nchi imetulia kwa sasa kwa sababu gani?Lisu ni habari nyingine sana mkuu
Kitu ambacho hakutabiri ni kifo cha Magufuli tu
Aliamini Magufuli ataishi sana kama angeishi sana huo utabiri ungevuka lengo kabisa
Hivi huoni nchi imetulia kwasasa?
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Nchi imetulia kwa sababu mtu mmoja mshamba mwenye akili ndogo tu ameondokaNchi imetulia kwa sasa kwa sababu gani?
Jibu ni hakuna mtendaji imara. Kila kitu kunajiendea tu huku tukila matunda ya utendaji wa JPM.
Huwenda akili yangu haitoshi kuelewa hapa umencrush au umenipagwara mosyNadhani baada ya kuandika na kusoma ulichokiandika umeenda chooni kujicheka kama manara/bugatti.
Mpaka hapo nimekusoma phethuNenda kamuulize manara kwanini alikuwa anacheka chooni.
Imagine mtu aliyejipambanua kuchukia Ufisadi bado alishindwa kutoa jibu la matumizi ya Tshs 1.5 Trillion ... serikali yake ikaishia kudanganya na kumtimua CAG.
Imagine huyo mtu alituaminisha kuwa tunawadai ACACIA US $ 198 Billion (zaidi ya bajeti yetu kwa miaka 10) akaishia kukubali 300 million tena kwa mafungu.
Tatizo la watanzania wanaamini sana maneno kuliko data.
Hakutolewa bali alimaliza kipindi chake cha miaka mitano kwa mujibu wa katiba. katiba inamruhusu rais kumteua CAG huyo huyo kuendelea kwa miaka mitano mingine, lakini siyo automatic kama unavyoelekea kuamini. Huenda rais yeyote mwenye busara asingemwongezea kipindi kingine kwani inaonekana wakati mwingi alikuwa anatoa matamko kuhusu matumizi ya serikali bila kuwa amesoma mapendekezo ya bajeti yaliyopitishwa na bunge kuhusu matumizi hayo anayohoji.Kwanini Prof Assad alitolewa?
Nchi imetulia kwa sasa kwa sababu gani?Lisu ni habari nyingine sana mkuu
Kitu ambacho hakutabiri ni kifo cha Magufuli tu
Aliamini Magufuli ataishi sana kama angeishi sana huo utabiri ungevuka lengo kabisa
Hivi huoni nchi imetulia kwasasa?
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Nchi imetulia kwa sababu mtu mmoja mshamba mwenye akili ndogo tu ameondoka
Uwezo huwa unajieleza huwa hailazimishwi kuonyesha watu kwamba una uwezo
Wenye akili huwa wanafanya mambo extra na kuacha mambo waliofanya yajisemee yenyewe hii ni moja ya Tambo za wenye uwezo
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
[/QUOTE
Embu soma tena ulichoandika. Ama mi peke tu ndo sioni kitu.
The Guy was extremely good. Hadi sasa mi nikiwa nakatisha tu mitaa ya Dar kwa mfano,barikiwa kichwa tu baseman .ingewezekana apewe second chance arudi tena.
Hujajib swal husika, think about it!Uwanja ulijengwa kwa trilion 1.5?