Miradi mikakati yote aliyoianzisha hayati Magufuli imekwama kutekelezeka. Taifa letu linakwamishwa na genge la watu wachache wasio na nia njema

Sa100 nchi imeshamshinda alicheka na wahuni sasa kaungana nao hana nguvu tena kaacha wahuni wajipigie huku yeye akila bata tu na kuzunguka duniani kutalii.
 
Sa100 nchi imeshamshinda alicheka na wahuni sasa kaungana nao hana nguvu tena kaacha wahuni wajipigie huku yeye akila bata tu na kuzunguka duniani kutalii.
 
Mtaji wa kisiasa huo 2025, utasikia jaman mpeni mama kura aende kumalizia ile miradi yetu iliyobaki. Nani kama Mama πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜.
 
Huyu mswahili hawezi chochote zaidi ya kuzunguka nje ya nchi kuomba omba na kusubiri sifa ambazo hazina msaada kwa taifa
 
Gsm,Mo,oil com,Lake oil Wana malori maelfu kupitia Kodi zetu zilizopigwa na Mafisadi wakuu utegemee SGR ikamilike kweli.
Au bwawa likamillike ili wasiuze majenereta inawezekana kweli.
Hii miradi ingekamilika kama magufuli angekuwepo
Majangili yote ndiyo yapo kamati kuu CCM na bungeni, hakuna mradi utakamilika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…