Miradi mikubwa inayoendelea Kenya

sasa upewe mpango mzima ndio nini ifanyike? kwani wewe nani? wewe shinda hapo kwa kibera sisis tukisonga mbele. na kibera pia ikikunice sana hama TZ ukaishi huko. wacha kutunyambia hapa. blalikumbaf shenzitype.
Kibera ina haribu picha ya bara letu la Africa. Na njaa za watu wa Turkana zina iaibisha Africa nzima. Kwanini msiwe na miradi yenye tija kuliko miradi ya sifa za ajabu ajabu huku watu wenu wanakufa na njaa na uchafu wa kibera.
 
Kibera ina haribu picha ya bara letu la Africa. Na njaa za watu wa Turkana zina iaibisha Africa nzima. Kwanini msiwe na miradi yenye tija kuliko miradi ya sifa za ajabu ajabu huku watu wenu wanakufa na njaa na uchafu wa kibera.

shauri yako wewe kama unaona aibu. tafuta jembe umeze. sisi tunasonga mbele. back to jibberish 4793t397ewnmdsfrffkdnsfdGTRRKO$M££%$^%$^RGFDGKRRDMORFAAGifwubyfhjejsf,gdnugfrsfmakwelgtG?::<,k j rvNUGU😡G{HG<G?>
nyongwa
 
wale ni kusoma namba tu;miradi teketeke ni humu kenya.......teketeke sisi ndio hao...wenye wivu vijembe vimo dukani nendeni mkavimeze
 
Lol, this is pathetic. Dude, this thread was obviously started by a Tanzanian on Nairaland - no Nigerian would use the word 'Yaani' to mean what it means in Swahili. Unfortunately, it received no response on Nairaland. Yaani ninyi humu chuki imewajaa hadi munaipeleka kwa forum za Nigeria? This is pathetic. I guess this liveleak dude is you MOTOCHINI.

MK254 nomasana Boda254 Samm999 Iconoclastes 1 Africa Geza Ulole Nairoberry burukenge saadeque mwaswast
 

Hehehe!! Hawa mazombi ni kuwashangaa aisei, mijitu imekwenda hadi kwenye forums za Wanigeria kuponda Wakenya. Hii ni kutokujiamini ya mwaka aisei, na bado tutaendelea kuwapumulia hata waende kwa forums za mabwana zao Waarabu.
 
Hehehe!! Hawa mazombi ni kuwashangaa aisei, mijitu imekwenda hadi kwenye forums za Wanigeria kuponda Wakenya. Hii ni kutokujiamini ya mwaka aisei, na bado tutaendelea kuwapumulia hata waende kwa forums za mabwana zao Waarabu.

Hahaha! mie nilidhani hizi jabs ndogondogo tunapigana humu ni mchezo tu wa humu, kumbe watu huchukulia serious hivi? Yaani mie nikienda kokote kule napeperusha bendera ya East Africa huwezi dhani ni mimi yule huwa nawatania wenzetu lakini wenzetu low self esteem imewajaa hadi wanajaribu kupeleka Vita kwa nchi za kigeni. HAHAHA! Nawahurumia sana wenzetu
 
uchimaji wa foundation ya jengo la investors nchini konza umeanza mliomlio.....picha kindakindaki[halisi] zimepostiwa SSC kenya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…