Kibera ina haribu picha ya bara letu la Africa. Na njaa za watu wa Turkana zina iaibisha Africa nzima. Kwanini msiwe na miradi yenye tija kuliko miradi ya sifa za ajabu ajabu huku watu wenu wanakufa na njaa na uchafu wa kibera.sasa upewe mpango mzima ndio nini ifanyike? kwani wewe nani? wewe shinda hapo kwa kibera sisis tukisonga mbele. na kibera pia ikikunice sana hama TZ ukaishi huko. wacha kutunyambia hapa. blalikumbaf shenzitype.
Kibera ina haribu picha ya bara letu la Africa. Na njaa za watu wa Turkana zina iaibisha Africa nzima. Kwanini msiwe na miradi yenye tija kuliko miradi ya sifa za ajabu ajabu huku watu wenu wanakufa na njaa na uchafu wa kibera.
Lol, this is pathetic. Dude, this thread was obviously started by a Tanzanian on Nairaland - no Nigerian would use the word 'Yaani' to mean what it means in Swahili. Unfortunately, it received no response on Nairaland. Yaani ninyi humu chuki imewajaa hadi munaipeleka kwa forum za Nigeria? This is pathetic. I guess this liveleak dude is you MOTOCHINI.Samm999 njoo ushangilie Nairaland
Kwamba ninzuri kwa wakenya hahaha
Uliinyaka hii
Who Bewitched Kenyans? Kenyan Grand Mother Caught Having S*x With Grandson. - Celebrities - Nigeria
Lol, this is pathetic. Dude, this thread was obviously started by a Tanzanian on Nairaland - no Nigerian would use the word 'Yaani' to mean what it means in Swahili. Unfortunately, it received no response on Nairaland. Yaani ninyi humu chuki imewajaa hadi munaipeleka kwa forum za Nigeria? This is pathetic. I guess this liveleak dude is you MOTOCHINI.
MK254 nomasana Boda254 Samm999 Iconoclastes 1 Africa Geza Ulole Nairoberry burukenge saadeque mwaswast
Hehehe!! Hawa mazombi ni kuwashangaa aisei, mijitu imekwenda hadi kwenye forums za Wanigeria kuponda Wakenya. Hii ni kutokujiamini ya mwaka aisei, na bado tutaendelea kuwapumulia hata waende kwa forums za mabwana zao Waarabu.