Miradi mikubwa inayoendelea Kenya

Yea that is kibra but there is massive upgrading and the flats u see there are built by the gava so in five years all kibra will be modern houses.
 

Kati yako na yeye weye ndio una hoja za kitoto kishenz!....ova!
 

Tetehehehhe!...........Tulia sindano ikuingie!

Kelb wahed!
 

Wacha kulialia na kujamba jamba!....huwaoni watanzania wenzako wakishindana humu?.....kelb wahed!
 
Nasubiri wakenya waishiwe kuweka orodha ya miradi yao na sisi tuanze kuweka ya kwetu,iliyokamilika,iliyoanza na inayotarajiwa kuanza.najua tunayo mingi.tutaweka tu hats kama hawataki mana hakuna namna.

Kimweri Geza Ulole
Hivi ule mradi wa mji wa kisasa kigamboni na Kawe bado upo kwenye utekelezaji au umekufa..Dar na miji mingine hapa Tz hasa Mwanza,Mbeya na Arusha wakiupanga upya kama alivyotangaza Lukuvi kufanya mji wa Dar kuwa na new look hapo ndo nitapongeza sana.Hiyo mikoa ina miji mikuubwa lakini imekaa kienyeji sana.Nairobi niliona humu wameanza kuondoa makazi holela...nasi hawa nssf,pspf,nhc n.k wangenza kujenga majumba ya ghorofa mazuri ya watu kupanga ili kuondokana na hizi nyumba za uswazi na mji utapendeza sana zaidi ya Nairobi.
 
Well,Kenya wamejaribu,sisi tuanthubutu kufanya kile tunachokifanya na kinaonekana kwa macho,miradi yote hiyo ambayoo imeonekana katika picha na mingine kupambwa kwa maneno ni miradi ya kwenye makaratasi kwa maana ya kwamba haipo na mingin bado hata haijazinduliwa au hata kujadiliwa bungeni,kwa ufupi tu embu chukua muda kutazama hii miradi mikubwa ya Tanzania ambayo imeshajadiliwa na hatua za awali zimeanza kutekelezwa kwa ufanisi mkubwa.tena na inasemekanika mara bada ya kumalizika kwa hii miradi TANZANIA itakuwa 1Kitovu cha utalii Afika mashariki,2 Kimbilio la wafanyabiashara kutoka Duniani,3 itaboresha maisha ya Mtanzania kwa ujumla,VIVA TANZANIA....!!! tazama hizi hapa video ujionee miradi ya tanzania mabyo huijui na amabyo iko katika hatua za utekelezaji
 
Kina dada sio wanadamu eeh?....kina dada wengi tu! ni vichwa zaidi ya weye na ukoo wako nzima....akili za karne ya kwanza.......kelb wahed!
Ushapaniki tayari.twende tartiibu bidada nataka nifanye nusra sijauliza kwa ubayaa.
 

I'm happy to see more roads being built with cyclists lane adding to the current ones.
 
I'm happy to see more roads being built with cyclists lane adding to the current ones.
View attachment 339680 View attachment 339682 View attachment 339683 View attachment 339684 View attachment 339685
Mbuzi na wajinga Sana nyie Just Unite Together to fight for the peace of your nation sio Kuja humu na kutamba miradi huku raia wenu wanaishi bila amani nchini au mnafurahi vile wenzenu wanashambulia na magaidi mi inaniuma Sana kuona watu wanakufa vile na nyie mapimbi wakubwa mnakuja na kutamba ovyo ovyo kukosoa Jeshi la nchi yetu . Go to hell nyie foxes wote.
 

Its been over 1 year since terrorist took a single life of a Kenyan. What are you talking about. If you don't see this kind of development in your country, follow this prescription:
Mwenye wivu, ajinyonge.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…