Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa ni wapi??? Kisumu mombasa ama Nairobi juu flyover ya Nakuru naitambua nabado haija fika hapa ndio wana pave roads poa hapa nakuru
Wapi?? Hii ya JOE wathika ndio nauliza brathe...inakaa differentbrathe apo juu pameandikwa OUTERING ROAD bana.
buda boss ni outering rd hapo between caltex na buru buru.nitapiga picha zingine kesho from allsops all the way nakaa hizi sides
KWA HILI ODINGA HAWEZI KUMSHINDA KENYATA.
hahahhaha hiyo ya china i guess ni super grand major major majorest biggest 😀😀
Wakati wa uchaguzi yote husahaulika na yasiyo na maana kupewa kipaumbeleKWA HILI ODINGA HAWEZI KUMSHINDA KENYATA.
Kenya na maendeleo lakini wananchi wake kiukweli wamechoka pia kama wamekata tamaa ya maisha vile.ila kimaendeleo ya miundo mbinu wapo mbele sanaaa,ongereni sana viongozi wa kenyaHapa ni wapi??? Kisumu mombasa ama Nairobi juu flyover ya Nakuru naitambua nabado haija fika hapa ndio wana pave roads poa hapa nakuru
Kenya na maendeleo lakini wananchi wake kiukweli wamechoka pia kama wamekata tamaa ya maisha vile.ila kimaendeleo ya miundo mbinu wapo mbele sanaaa,ongereni sana viongozi wa kenya
hahahaha ati tumechoka? piga picha na gazeti ya leo mkuu nami nifanye hivyo hivyo, labda tutabaini nani kati yetu amechoka.
jibu zuri sana....pengine yeye ndo amejichokeahahahaha ati tumechoka? piga picha na gazeti ya leo mkuu nami nifanye hivyo hivyo, labda tutabaini nani kati yetu amechoka.
are happy now?LView attachment 411503pale wakenya walipoambiwa mradi wa kuwaua alshabab umekamilika [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Gazetti ya leo ina nini[emoji15] [emoji15] [emoji3] [emoji2] niko shagz bana naskia ucaveman unaniingia mse!hahahaha ati tumechoka? piga picha na gazeti ya leo mkuu nami nifanye hivyo hivyo, labda tutabaini nani kati yetu amechoka.