Miradi mikubwa inayoendelea Kenya

Miradi mikubwa inayoendelea Kenya

Kenya is planning 5G internet
C3FXBfIXUAAF_Ce.jpg
 
America ina population ya 300,000,000

Ina deni la 17,000,000,000,000$

Kila marekani anadaiwa
56,666.666667$
Or
5,666,666.66667 kshs

Or

102,000,000 tzshs acha kuanika aibu yake the higher you go the more debt you accumulate

Economics 101 / keeping up with the jonesses

Kama umeenda chuo utajipata unajua haya
[emoji1] [emoji1] [emoji1] kwa iyo Kenya na USA mko at the same level
 
Majengo yapo muda Mrefu sana tofauti na hayo mapya tangu 2005
 
Halafu utawasikia wengine akina Annael MOTOCHINI etc ambao hawaelewi architecture wakisema majengo ya Nairobi hayana mvuto. Yaani tangu wajengewe TPA na PSPF wakaona majengo ya vioo kwa mara ya Kwanza wanaona ujenzi ni vioo.
Acha kutuwaza kijana....punguza mawazo ya kipuuz
 
Halafu utawasikia wengine akina Annael MOTOCHINI etc ambao hawaelewi architecture wakisema majengo ya Nairobi hayana mvuto. Yaani tangu wajengewe TPA na PSPF wakaona majengo ya vioo kwa mara ya Kwanza wanaona ujenzi ni vioo.

Ficha ushamba wako
Dar hakuna majengo hayo pekee
yapo mengi yenye vioo ispokuwa hayakuwa marefu kama hayo uliyo mention



 
Back
Top Bottom