Miradi Mikubwa Inayotekelezwa na Awamu ya 6 Mkoani Kigoma

Kigoma ni mkoa uliopunjwa sana tangu uhuru. Lakini ni hub nzuri sana kibiashara ikiwa serikali ingeamua kuufanya mkoa wa kimkakati maana imepakana na Rwanda, Burundi, DRC na Zambia.
 
Kigoma ni mkoa uliopunjwa sana tangu uhuru. Lakini ni hub nzuri sana kibiashara ikiwa serikali ingeamua kuufanya mkoa wa kimkakati maana imepakana na Rwanda, Burundi, DRC na Zambia.
Mama ameamua sio Kila Kiongozi anaweza
 

View: https://www.instagram.com/p/DAGvaxHNerw/?igsh=MWVrOXY3cGw0OXZwNw==
 
Bwege wewe, aliyekwambia Mimi Muha ni nani?

Pili Serikali haitekelezi miradi Mikoani Kwa msingi wa kufurahisha kabila.Kigoma Kuna Watanzania wa makabila tofauti hata kama Waha ndio wengi.

So wewe kenge utembelee au usitembelee unajikosha upepo tuu
Kabla ya kumpata Mpango mbona ilikuwa haijaenda hiyo miradi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…