Miradi mikubwa inayotekelezwa na Serikali mkoani Rukwa

Miradi mikubwa inayotekelezwa na Serikali mkoani Rukwa

Hahahaaa hapo ni siasa, mradi huwa unakuwa na time frame yake..
Hapo kuna mabilioni ya pesa mkandarasi atalipwa kwa kutomaliza mradi kwa wakati, coz sio kosa lake
Si anapewa tuu extension kwani client ni nani kama sio Serikali hiyo hiyo?

Unadhani Mkandarasi anaweza tuu kukimbia bila Kufuata taratibu za kimkataba? Si atafungiwa mazima?

Subiria amalize Barabara za Mjini za kuombea kura then atarudi huko Ntendo na Matai-Kasesya ,ni mwakani tuu utaona anakimbiza.
 
Si anapewa tuu extension kwani client ni nani kama sio Serikali hiyo hiyo?

Unadhani Mkandarasi anaweza tuu kukimbia bila Kufuata taratibu za kimkataba? Si atafungiwa mazima?

Subiria amalize Barabara za Mjini za kuombea kura then atarudi huko Ntendo na Matai-Kasesya ,ni mwakani tuu utaona anakimbiza.
Nawaombea mungu waje fasta njia Ile naihitaji Sana asee
 
mfano miradi ua RUWASA mingi ilianza kabla ya 2021,sasa hivi kila kitu kinafutwa.mfano hai Morogoro,lile tank la maji mkundi MORUWASA walilionyesha kama achiement ya sasa wakati mpaka 2021 lilibakia plasta na rangi tu.na mabimba yalikuwa yanafukiwa vizuri tu ila sasa ni kama watakavyojisikia.wanafukua wanatandaza mabomba yanakaa nje bila kufukiwa mpaka mifereji inaharibika.
 
mfano miradi ua RUWASA mingi ilianza kabla ya 2021,sasa hivi kila kitu kinafutwa.mfano hai Morogoro,lile tank la maji mkundi MORUWASA walilionyesha kama achiement ya sasa wakati mpaka 2021 lilibakia plasta na rangi tu.na mabimba yalikuwa yanafukiwa vizuri tu ila sasa ni kama watakavyojisikia.wanafukua wanatandaza mabomba yanakaa nje bila kufukiwa mpaka mifereji inaharibika.
Mada ni Rukwa sio Morogoro
 
Back
Top Bottom