Miradi Mikubwa ya Uzalishaji Umeme wakati wa Mzee Ruksa ni ipi? Toka hapo...


hapana miye napenda mtu ajaribu kusema anachomaanisha; ukisema "asilimia nyingi" nayo ni neno lenye maana. Kuwekeza si lazima iwe hisa na kwenye posti zako za kuwakandia Watanzania ulizungumzia "uwezo" bila kufafanua. Unapowakandia Watanzania kwa ujumla wao - kama ulivyofanya - na wewe unajijumuisha unless unatengeneza exception. Ni lazima uwe tayari kukwepa internal contradictions. Jambo hilo ni muhimu ili tujue tunazungumzia kitu kile kile, kwa mfano sasa najua ulikuwa unamaanisha kununua hisa, lakini mwanzoni hukusema miye ningejuaje wakati umesema Watanzania hawana "uwezo" wa uwekezaji?
 
I won't waste time on this,ila kama unataka tuzungumzie kudorora kwa uwekezaji wa umeme,then we can have a discussion/debate.....the rest is just circus.
 
I won't waste time on this,ila kama unataka tuzungumzie kudorora kwa uwekezaji wa umeme,then we can have a discussion/debate.....the rest is just circus.

yeah.. lakini usiwe unatoa general statements without qualifying them. Turudi kwenye mjadala.
 
Kobello, ni lini CHADEMA walipata kuiongoza nchi hii na kutekeleza sera unayosema eti waliichampion ya privatisation na ambayo sasa "inawatokea puani"? Mtei alikuwa serikalini wakati Katibu Mkuu wa CCM wa wakati ule hayati Horace Kolimba alipokwenda Malaysia kutuletea hili dude IPTL linalotutafuna mpaka leo? Ipo saini ya Mtei katika Mkataba wa kijambazi wa IPTL? Ni Mtei aliyesaini mikataba ya Aggreco? Songas, Richmond, Dowans n.k.? Kisha utuwekee jamvini role ya Kikwete katika kuiingiza IPTL na Richmond, halafu utuambie CHADEMA na Mtei wanaingiaje katika sakata hili.
Tunawaomba sana msitutoneshe kidonda cha ujambazi uliokithiri uliofanywa na CCM miaka yote hii wa kupora mali na amali za taifa na kutuingiza katika mikataba yenye sumu inayofisha bila ya kupigiwa kelele. Dunia sasa imegeuka na ufahamu wa watu juu ya maovu mliyotufanyia kwa miango kadhaa sasa umeongezeka pia. Sasa tunaelewa fika ni nani wa kwanza kutuingiza mkenge wa IPTL - Mwinyi na Kikwete aliyekuwa waziri wake wa Nishati na Madini mwaka ule 1994.
Ajabu ni kwamba karibu woote waliohusika na kashfa hizi wapo bado hai, wanaendelea kupumua na kutukoga wengine wakiwa na madaraka makubwa tu ndani ya serikali baadhi yao wakiendelea kulipwa pensheni na serikali huku wakiendelea kufaidi matunda ya mikataba mibovu kwa kugata gawiwo na walioshirikiana nao. Mimi naamini kwamba ipo siku sheria itachukua mkondo wake iwe kesho, mwezi, mwaka au hata baada ya miaka mingi ijayo.
Aibu kwa CCM na viongozi wao walafi na wezi wakubwa! Kifo kwa CCM. Mungu ibariki Tanzania, waangamize mafisadi wote.
 
Reactions: FJM
Source: Raia Mwema by J.Mihangwa

6bn x 12x20=? halafu kuna mtu hajui kwanini bei ya umeme ni ghali.
Tamko la serikali kupitia kwa Waziri wa Madini na Nishati, William Ngereja, hivi karibuni kwamba tatizo la umeme nchini litamalizika mwaka 2015, linakwenda sambamba na muda wa mkataba huo wa IPTL wa miaka 20 [kuanzia 1995] utakapomalizika mwaka huo
waziri wa serikali ya CCM, hapa hakuna Chadema au CUF isipokuwa kwa mtu anyejifanya hayawani. Katibu mkuu wa CCM, sio Mtei kama wanavyoamini wenye chuki.
Hakuna mahali popote pametajwa CUF,TLP, CHADEMA au Mzee Mtei, Dovutwa, Mziray au Lipumba.Haihitaji elimu yoyote kutambua bali kujua kusoma na kutafakari.
Tofauti, viongozi wakubwa wa CCM wametajwa akiwemo hayati Horace Kolimba, Abdallah Kigoda, Jakaya Mrisho Kikwete, ambao si tu wamekuwa serikalini bali wengine wapo hai na serikalini.
 
Hiyo deal yote ya IPTL inajulikana ipo all over the web!....ukiwa mtu unayeabudu au sujudu mwanadamu mwingine,ujue kuna some psychological disorder ambayo si rahisi kuitambua.
Tunazungumzia uwekezaji wa serikali kwenye umeme post-mwalimu,and you my brother,looks like you've been offended when I connected the founder of your party,your philosophy as a whole when it comes to our economy,
There are so many articles or essays or reports on this issue of privatisation and Mtei's connection to the whole outcome.But it seems that you just found that out.Some scholars think he has nothing to do with this mess,some think he has a lil bit,some think he has a lot to do.But that depends on a person.
Now,even before Nyerer retired,the government already had started to increase private/parallel sector involvement in transportation,people who had "own accounts"i.e people working overseas,or people with relatives or just with forex can import pick-ups,daladalas...and other things but IMF was still pressuring the govt to liberalise,Donor countries pressured the only "project-funding" donors,the NORDIC countries and accused them of being too soft,they had to succumb.
Now after 86,the country began to follow a free market economy,TANESCO haiuziki,umeme hauwi generated,mabwawa hayatunziki,wawekezaji kwenye kilimo hawatufaidishi na wanamaliza vyanzo vyetu vya maji n.k
Uwekezaji kutumia mafuta mazito ni gharama na hatuko tayari kulipa zaidi.....na hao private investors are all fd up.Wakati IMF wanaikaba Tanzania yeye alikuwa upande wa IMF,admittedly usibishe.
In other words that was kind of "an accessory to murder/rape/roberry......or "Enabler" and those kind of people are more or less responsible for the crime.
 
I am a good citizen of this country. No one is offended I guess with your connection, but people are offended by malicious elements injected in the topic to an extent of adulterating it.
This forum could be used for constructive ideas not misleading the public by trivial and irrelevant connections.
If one believes that Mtei has connection with Richmond, Dowans, IPTL then readers must be offended big time!!.
If one believes that Chadema has once ruled this country, that's an offense per se!
 
Hebu angalia kwenye bold,suala la mradi wa mwinyi amejibiwa.
Mimi naona wewe ndio unaiharibu topic just because nimemuunganisha kiongozi wako mtukufu na kudorora kwa uwekezaji kwenye nishati.Hivi mazingira gani yatakuwaso liberal,so condusive kwa watu kuwekeza?...hii serikali ipo tayari kuua watu wake ili kumleta mwekezaji.....kwanini hawawekezi kwenye umeme?
Even the foreign aid shifted the mode from project funding to imports facilitation,as a treasurer he facilitated and enabled the washington consesus to privatise our economy,we were even forced to have multiparties....now we are blaming CCM for what? Accepting IMF conditions? or for not accepting IMF conditions?
Stick to the topic...we are talking about connections and you are talking about........i don't even know!
 

@Kobello, Tanganyika and later Tanzania imekuwa chini wa utawala wa TANU/CCM. Na tunaweza kusema Tanzania imekuwa chini ya CCM since birth maana TANU ndio CCM kwa sasa. Hakuna uchaguzi mkuu hata mmoja uliofanyika katika nchi hii ya Tanzania, wananchi (a) wakamchagua Mzee Mtei, IMF, the World Bank kuongoza nchi na (b) kuchagua serak za Mzee Mtei, IMF & the world Bank. Chaguzi zote zilifanyika zimechagua viongozi toka CCM baada ya campaign za kuuza sera/ilani za chama/vyama vyao. Na so far tumekuwa na Rais Mwal Nyerere, Mwinyi, Mkapa na sasa Kikwete, wote hawa wakiwa wanatoka TANU/CCM.

Hakuna mahali popote tumemskia viongozi wetu wakuu wakinadi ilani au sera na kusema zimetoka kwa Mzee Mtei, IMF, the Wold Bank. hakuna! Na hata wakati ccm wananza ku-implement sera ya privatisation hawakutuambia kuwa wanafanya hivyo kwa niaba ya mtu au chombo chochote. Ni wewe kupitia JF ndio umekuwa unadai ccm wanatekeleza sera za za Mzee Mtei, IMF & the Wold Bank! Lakini kumbuka tumechagua viongozi wa ccm na sera zao (hivyo ndivyo mmekuwa mnatumbia hasa wakati tunaandamana kudai haki zetu).

Now, up until mid 1990s sekta ya umeme ilikuwa ya uhakika, pamoja na kwamba haukuwa umefikia kila kaya Tanzania, lakini wale waliokuwa wameunganishiwa umeme walikuwa wanaupata. TANESCO walikuwa hawazilishi giza, na neno mgao wa umeme halikuwa wimbo wa Taifa. Maajab zaidi bwawa la Mtera lilikuwa linajaa maji ya kutosha kuzalisha umeme! Kuanzia mid 1990s bwawa la Mtera 'lilipokataa' kujaa maji ndipo neno umeme lilipoanza kuambatana na neno 'mgao'.

Sasa kwa muhtasari wa mtititiko huo hapo juu Kobello unatakiwa useme -with evidence ccm (a) sera ya ccm kuhusu sekta ya umeme ni ipi? (b)wametekelezaje sera hiyo? (c) uwekezaji kwenye sekta ya umeme (d) kwa nini tuna mgao wa umeme?

Kama ccm wanatekeleza sera ya Mzee Mtei, IMF or the World Bank, je, wamefikia wapi na wamekwama wapi? Kama wamekwama kwanini? Na kubwa zaidi kwa nini waiamua kufuata sera ambayo sio yao?
 
Kwa maneno hayo ya kitaalam,basi CCM italaumiwa kwa kila kitu..so whats the point of trying to connect CCM na uwekezaji kwenye nishati?Since it's the only party that has been in power for the last 50yrs.
Kwanini mnachukua credits kwenye kupunguzwa kwa bei yza sukari na vyakula?Mbona mnaconnect hiyo na operation sangara?Kwani slaa ameshakuwa rais?
Kwanini mnachukua credits kwenye uundwaji wa katiba mpya?...kwani CDM,CUF,NCCR wamewahi kuhodhi serikali? Na mnasema mimi naenda nje ya topic kwani hapa tunazungumzia nini kama sio connection?
Au unataka nikuonyeshe maandishi ya watu wengine wataalam na sio makuli kama mimi walioambiwa na mtei kuwa kwenye maongezi yeye alisimamia kidedea matakwa ya IFM?
Hivi kwa mfano katiba mpya ikiruhusu serikali za kanda(federal/state govts) na zika fail vibaya kutakuwa na connection yoyote na CUF/CDM?
Nakuomba ukae kitako ufikirie kabla ya kukejeli watoa hoja,simply because you think you are an "expert" or sumthin.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…