Miradi ya mwanamfalme MBS kuibadili Saudi Arabia kuwa pepo ya dunia yaingia ukorofi

Miradi ya mwanamfalme MBS kuibadili Saudi Arabia kuwa pepo ya dunia yaingia ukorofi

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Waislamu duniani mara zote wanapopatwa na shida walitegemea wapate utetezi wa hali ya juu kutoka kwa utawala wa Saudi Arabia kwanza kabla ya kwengine kokote.Misaad hiyo ingeweza kuwa ya kimali,kijeshi na hata kauli za kisiasa.
Kinyume chake mara zote kumetokea maangamizi mabaya kwa waislamu bila kupata chochote kati ya hivyo kutoka kwao.Mfano wa maangamizi yaliyofanywa China kwa waislamu wa Uiyghur.Vile vile kule India tangu msikiti wa Babri ulipovunjwa.
Madhila mengine iliyokalia kimya na utwawala huo ni uchomaji moto wa nyumba za waislamu na kuuliwa kulikofanywa na mabuda kule Myamar.
Yote hayo yalionekana labda kwa vile yako mbali na wao.Hili la Gaza ndio limeleta masuali zaidi.Ambacho amekifanya kupinga sera ya Israel kwa Palestina ni kidogo sana kuliko uwezo wake.Mwanamfalme MBS amekuwa akitoa matamko mepesi anapotembelewa na viongozi wanaoiunga mkono Israel,matamko ambayo hayavunji kiu ya Israel kuendelea kuwakandamiza wapalestina.
Kuna muda baadhi ya waislamu walisema mwanamfalme huyo ni kizazi cha kiyahudi ndio maana huwa anawaunga mkono Israel kimya kimya.Hata hivyo hilo limeonekana kutokuwa na mashiko kwa kuzingatia historia ya makuzi yake na alipopatia elimu yake ya sheria.
Kwa mujibu wa baadhi ya wachambuzi ulimbukeni wake wa kutaka kuiga mila za kizungu na starehe zao ndhicho kilichomfanya awe hivyo anavyoonekana.
Tangu ajimilikishe ufalme kwa nguvu kwa kuwaondoa wenzake waliokuwa warithi wa kiti hicho amekuwa akibuni miradi ya ajabu ajabu inayokusudiwa kuibadili Saudi Arabia iwe nchi ya kisasa zaidi na eneo la starehe kuliko sehemu yoyote duniani.
Katika mpango huo magari yatakuwa yakiruka na kutua juu ya nyumba za wakazi wa miji hiyo mipya na kila kitu mtu atakuwa akikipata kwa kubonyeza kitufe tu kutoa amri.Hakutakuwa na kizuizi cha mtu kufanya alipendalo ikiwemo matamanio yake ya kimwili.
Katika miradi hiyo yenye majina ya kiulaya kama DAVOS na EXPO 2030 eneo lote la ufukwe wa bahari nyekundu umeshapata sura tofauti kutoka uasili yake.Viongozi wa kikabila waliokuwa na makazi yao maeneo hayo na waliopinga miradi hiyo kwa hoja za kiimani na kimazingjira ama wameuliwa au hawajulikani walipo.
Kutokea kwa mzozo mkubwa wa kivita katika eneo la mashariki ya kati baina ya Palestina na Israel na kabla ya hapo mzozo wa kule Ukraine baina ya Urusi na jirani yake huyo kumekuwa kama kumetibua mipango mingi ya miradi hiyo.
Watekelezaji wakubwa wa miradi hiyo ni makampuni makubwa ya kimataifa ambapo kila mwenye ubunifu wake alikaribishwa aupeleke kwenye maeneo hayo.
Tatizo lililojitokeza kwa makampuni hayo ni kuwa baadhi yao sasa wamezipuuza fursa walizopewa kutokana na ukata wa kiuchumi kiasi kwamba makampuni hayo yanatoa nyudhuru za kutokuwa na nauli na gharama za hata kupeleka wawakilishi wao kwenye mikutano muhimu ya kupanga miji hiyo ianayokusudiwa kuwa kama pepo ya dunia.
Kuingia mguu katika miradi hiyo na hamu ya kutaka kuiokoa inaweza kuwa ndiyo sababu ya ukimya na kutokuwa na ukakamavu wa kutetea wapalestina wanaouliwa kwa kukatiwa maji,kunyimwa chakula na kupigwa mabomu mfululizo kutoka angani na kuvamiwa majumbani mwao usiku na mchana.
 
Kwanza sio kweli kuwa Waislam popote duniani wanapopata shida wanamtegemea Saudia.

Hayo ni mawazo yako tu na sio uhalisia ulivyo
KSA wanasaidia sana nchi nyingi tu na sio za kiislam tu
Lakini pia Ufalme kumbuka wana mikataba na makampuni makubwa ya uchimbaji wa mafuta kama Aramco na wazungu

MbS yeye alichukua hiyo post kibabe sio kwa ndugu zake bali ni post moja tu na ilikuwa ya Baba yake mdogo na kumuweka kizuizini na kujiweka yeye karibu zaidi na Ufalme

Ni kweli ana mambo ya kimagharibi zaidi na aliwaweka jela Hoteli ndugu zake wengi na kuwaambia kutoka lazima mrudishe hela mlizojilimbikizia

MbS, Magu, Modi, na Trump waliingia wakati mmoja madarakani au walipishana miezi na wote walikuja na mbwembwe za kila aina

Nikajisemea Dunia safari hii imevamiwa haswa
Ila Saudia kama kashindwa hiyo miradi basi ni ujinga wake wa kukurupuka kama baadhi ya viongozi wengine tu

Ila kuisaidia Gaza moja kwa moja kivita hawezi lakini misaada ya kibinadamu wanatoa nchi nyingi sana

Ila sisi ndio wanafiki kwani uwezo wa tani kadhaa za ngano na sukari hatushindwi lakini hatuna tabia ya kutoa na kujali wanaohitaji maana hili linaanzia nyumbani na viongozi walipitia malezi pia


Viongozi wetu ni walafi na wanafiki huwezi kusikia wakiliongelea bungeni
 
Waislamu duniani mara zote wanapopatwa na shida walitegemea wapate utetezi wa hali ya juu kutoka kwa utawala wa Saudi Arabia kwanza kabla ya kwengine kokote.Misaad hiyo ingeweza kuwa ya kimali,kijeshi na hata kauli za kisiasa.
Kinyume chake mara zote kumetokea maangamizi mabaya kwa waislamu bila kupata chochote kati ya hivyo kutoka kwao.Mfano wa maangamizi yaliyofanywa China kwa waislamu wa Uiyghur.Vile vile kule India tangu msikiti wa Babri ulipovunjwa.
Madhila mengine iliyokalia kimya na utwawala huo ni uchomaji moto wa nyumba za waislamu na kuuliwa kulikofanywa na mabuda kule Myamar.
Yote hayo yalionekana labda kwa vile yako mbali na wao.Hili la Gaza ndio limeleta masuali zaidi.Ambacho amekifanya kupinga sera ya Israel kwa Palestina ni kidogo sana kuliko uwezo wake.Mwanamfalme MBS amekuwa akitoa matamko mepesi anapotembelewa na viongozi wanaoiunga mkono Israel,matamko ambayo hayavunji kiu ya Israel kuendelea kuwakandamiza wapalestina.
Kuna muda baadhi ya waislamu walisema mwanamfalme huyo ni kizazi cha kiyahudi ndio maana huwa anawaunga mkono Israel kimya kimya.Hata hivyo hilo limeonekana kutokuwa na mashiko kwa kuzingatia historia ya makuzi yake na alipopatia elimu yake ya sheria.
Kwa mujibu wa baadhi ya wachambuzi ulimbukeni wake wa kutaka kuiga mila za kizungu na starehe zao ndhicho kilichomfanya awe hivyo anavyoonekana.
Tangu ajimilikishe ufalme kwa nguvu kwa kuwaondoa wenzake waliokuwa warithi wa kiti hicho amekuwa akibuni miradi ya ajabu ajabu inayokusudiwa kuibadili Saudi Arabia iwe nchi ya kisasa zaidi na eneo la starehe kuliko sehemu yoyote duniani.
Katika mpango huo magari yatakuwa yakiruka na kutua juu ya nyumba za wakazi wa miji hiyo mipya na kila kitu mtu atakuwa akikipata kwa kubonyeza kitufe tu kutoa amri.Hakutakuwa na kizuizi cha mtu kufanya alipendalo ikiwemo matamanio yake ya kimwili.
Katika miradi hiyo yenye majina ya kiulaya kama DAVOS na EXPO 2030 eneo lote la ufukwe wa bahari nyekundu umeshapata sura tofauti kutoka uasili yake.Viongozi wa kikabila waliokuwa na makazi yao maeneo hayo na waliopinga miradi hiyo kwa hoja za kiimani na kimazingjira ama wameuliwa au hawajulikani walipo.
Kutokea kwa mzozo mkubwa wa kivita katika eneo la mashariki ya kati baina ya Palestina na Israel na kabla ya hapo mzozo wa kule Ukraine baina ya Urusi na jirani yake huyo kumekuwa kama kumetibua mipango mingi ya miradi hiyo.
Watekelezaji wakubwa wa miradi hiyo ni makampuni makubwa ya kimataifa ambapo kila mwenye ubunifu wake alikaribishwa aupeleke kwenye maeneo hayo.
Tatizo lililojitokeza kwa makampuni hayo ni kuwa baadhi yao sasa wamezipuuza fursa walizopewa kutokana na ukata wa kiuchumi kiasi kwamba makampuni hayo yanatoa nyudhuru za kutokuwa na nauli na gharama za hata kupeleka wawakilishi wao kwenye mikutano muhimu ya kupanga miji hiyo ianayokusudiwa kuwa kama pepo ya dunia.
Kuingia mguu katika miradi hiyo na hamu ya kutaka kuiokoa inaweza kuwa ndiyo sababu ya ukimya na kutokuwa na ukakamavu wa kutetea wapalestina wanaouliwa kwa kukatiwa maji,kunyimwa chakula na kupigwa mabomu mfululizo kutoka angani na kuvamiwa majumbani mwao usiku na mchana.
Mada nzuri ila umezinguaa...
Maneno 473 na herufi 3092 hujatupa hata Aya..
Halafu ungeweka hata picha
Huu nao ni ugaidi na serikali imakaa kimya tuu.
 
Waislamu duniani mara zote wanapopatwa na shida walitegemea wapate utetezi wa hali ya juu kutoka kwa utawala wa Saudi Arabia kwanza kabla ya kwengine kokote.Misaad hiyo ingeweza kuwa ya kimali,kijeshi na hata kauli za kisiasa.
Kinyume chake mara zote kumetokea maangamizi mabaya kwa waislamu bila kupata chochote kati ya hivyo kutoka kwao.Mfano wa maangamizi yaliyofanywa China kwa waislamu wa Uiyghur.Vile vile kule India tangu msikiti wa Babri ulipovunjwa.
Madhila mengine iliyokalia kimya na utwawala huo ni uchomaji moto wa nyumba za waislamu na kuuliwa kulikofanywa na mabuda kule Myamar.
Yote hayo yalionekana labda kwa vile yako mbali na wao.Hili la Gaza ndio limeleta masuali zaidi.Ambacho amekifanya kupinga sera ya Israel kwa Palestina ni kidogo sana kuliko uwezo wake.Mwanamfalme MBS amekuwa akitoa matamko mepesi anapotembelewa na viongozi wanaoiunga mkono Israel,matamko ambayo hayavunji kiu ya Israel kuendelea kuwakandamiza wapalestina.
Kuna muda baadhi ya waislamu walisema mwanamfalme huyo ni kizazi cha kiyahudi ndio maana huwa anawaunga mkono Israel kimya kimya.Hata hivyo hilo limeonekana kutokuwa na mashiko kwa kuzingatia historia ya makuzi yake na alipopatia elimu yake ya sheria.
Kwa mujibu wa baadhi ya wachambuzi ulimbukeni wake wa kutaka kuiga mila za kizungu na starehe zao ndhicho kilichomfanya awe hivyo anavyoonekana.
Tangu ajimilikishe ufalme kwa nguvu kwa kuwaondoa wenzake waliokuwa warithi wa kiti hicho amekuwa akibuni miradi ya ajabu ajabu inayokusudiwa kuibadili Saudi Arabia iwe nchi ya kisasa zaidi na eneo la starehe kuliko sehemu yoyote duniani.
Katika mpango huo magari yatakuwa yakiruka na kutua juu ya nyumba za wakazi wa miji hiyo mipya na kila kitu mtu atakuwa akikipata kwa kubonyeza kitufe tu kutoa amri.Hakutakuwa na kizuizi cha mtu kufanya alipendalo ikiwemo matamanio yake ya kimwili.
Katika miradi hiyo yenye majina ya kiulaya kama DAVOS na EXPO 2030 eneo lote la ufukwe wa bahari nyekundu umeshapata sura tofauti kutoka uasili yake.Viongozi wa kikabila waliokuwa na makazi yao maeneo hayo na waliopinga miradi hiyo kwa hoja za kiimani na kimazingjira ama wameuliwa au hawajulikani walipo.
Kutokea kwa mzozo mkubwa wa kivita katika eneo la mashariki ya kati baina ya Palestina na Israel na kabla ya hapo mzozo wa kule Ukraine baina ya Urusi na jirani yake huyo kumekuwa kama kumetibua mipango mingi ya miradi hiyo.
Watekelezaji wakubwa wa miradi hiyo ni makampuni makubwa ya kimataifa ambapo kila mwenye ubunifu wake alikaribishwa aupeleke kwenye maeneo hayo.
Tatizo lililojitokeza kwa makampuni hayo ni kuwa baadhi yao sasa wamezipuuza fursa walizopewa kutokana na ukata wa kiuchumi kiasi kwamba makampuni hayo yanatoa nyudhuru za kutokuwa na nauli na gharama za hata kupeleka wawakilishi wao kwenye mikutano muhimu ya kupanga miji hiyo ianayokusudiwa kuwa kama pepo ya dunia.
Kuingia mguu katika miradi hiyo na hamu ya kutaka kuiokoa inaweza kuwa ndiyo sababu ya ukimya na kutokuwa na ukakamavu wa kutetea wapalestina wanaouliwa kwa kukatiwa maji,kunyimwa chakula na kupigwa mabomu mfululizo kutoka angani na kuvamiwa majumbani mwao usiku na mchana.
Mkuu ya kweli hayo.
Mbona the line mradi ushaanza, na ujenzi wa kisiwa kingine.
Bin Salman anataka kuigeuza Saudia iwe na element za kidubai ila jamaa mbishi ana misimamo yale. Si unaona ambavyo nampuuzia biden. Week tatu nyuma kamwacha waziri wa mambo ya nje wa marekani aliyekuja kujadili kuhusu israel anasubiri pasipo kutokea. Jamaa ana dharau plus misimamo yake.
 
Kwanza sio kweli kuwa Waislam popote duniani wanapopata shida wanamtegemea Saudia.

Hayo ni mawazo yako tu na sio uhalisia ulivyo
KSA wanasaidia sana nchi nyingi tu na sio za kiislam tu
Lakini pia Ufalme kumbuka wana mikataba na makampuni makubwa ya uchimbaji wa mafuta kama Aramco na wazungu

MbS yeye alichukua hiyo post kibabe sio kwa ndugu zake bali ni post moja tu na ilikuwa ya Baba yake mdogo na kumuweka kizuizini na kujiweka yeye karibu zaidi na Ufalme

Ni kweli ana mambo ya kimagharibi zaidi na aliwaweka jela Hoteli ndugu zake wengi na kuwaambia kutoka lazima mrudishe hela mlizojilimbikizia

MbS, Magu, Modi, na Trump waliingia wakati mmoja madarakani au walipishana miezi na wote walikuja na mbwembwe za kila aina

Nikajisemea Dunia safari hii imevamiwa haswa
Ila Saudia kama kashindwa hiyo miradi basi ni ujinga wake wa kukurupuka kama baadhi ya viongozi wengine tu

Ila kuisaidia Gaza moja kwa moja kivita hawezi lakini misaada ya kibinadamu wanatoa nchi nyingi sana

Ila sisi ndio wanafiki kwani uwezo wa tani kadhaa za ngano na sukari hatushindwi lakini hatuna tabia ya kutoa na kujali wanaohitaji maana hili linaanzia nyumbani na viongozi walipitia malezi pia


Viongozi wetu ni walafi na wanafiki huwezi kusikia wakiliongelea bungeni
Lawama upande wetu hazina mashiko sana kwani tuko mbali na hatuna nguvu zozote za kimali wala kijeshi.Lawama zitakwenda kwao hasa hasa hao Saudia,Misri na Jordan.
tani ya ngano ya kazi gani kuipeleka Gaza.Kama ni kiasi hicho tupeleke hapo Congo.
 
Mada nzuri ila umezinguaa...
Maneno 473 na herufi 3092 hujatupa hata Aya..
Halafu ungeweka hata picha
Huu nao ni ugaidi na serikali imakaa kimya tuu.
Serikali yetu haijakaa kimya.Juzi imepiga kura kuunga mkono kusitishwa vita ili wapalestina wa Gaza wapate mahitaji muhimu.
 
Lawama upande wetu hazina mashiko sana kwani tuko mbali na hatuna nguvu zozote za kimali wala kijeshi.Lawama zitakwenda kwao hasa hasa hao Saudia,Misri na Jordan.
tani ya ngano ya kazi gani kuipeleka Gaza.Kama ni kiasi hicho tupeleke hapo Congo.
Huo ni mfano tu sina maana tupeleke, ila hata kuliongelea au kukemea
Sisi huwq tuko nyuma kwa kila kitu hata Vita vya Africa huwa hatukemei wala kuliongelea
Kujitenga na Dunia sio suluhu mkuu.
Wabunge wanawaza kula tu na kusubiri kugawa 10 kwa wananchi ili wachaguliwe tena basi
Hilo tu ndio wanajua Uchaguzi akili zote

Angalia misaada ya KSA kwa mataifa mengine uone
Hapa tunaongelea misaada ya kiutu sio silaha wala ugomvi sawa

Nilikuwa ME miaka mingi nawajua sana tangu vita ya Iran na Iraq nilikuwa huku na baadae uvamizi wa Saddam Kuwait nilikuwepo mpaka anaondolewa.

Jordan nimekaa na nilishuhudia wanavyopokea wakimbizi kutokea Iraq na Kuwait Enzi hizo
Misaada sio serikali tu kutoa bali hata Raia walikuwa wanachangia sana na kuwajulia hali wakimbizi kuhakikisha wanashiba na kuishi sehemu salama

Anaedhani hao ni watu wabaya labda kwa sababu ya chuki binafsi au media
Lakini mimi nimekanyaga mpaka Beirut wakati wa vita
Jina langu linasema yote Asante
 
Waislamu duniani mara zote wanapopatwa na shida walitegemea wapate utetezi wa hali ya juu kutoka kwa utawala wa Saudi Arabia kwanza kabla ya kwengine kokote.Misaad hiyo ingeweza kuwa ya kimali,kijeshi na hata kauli za kisiasa.
Kinyume chake mara zote kumetokea maangamizi mabaya kwa waislamu bila kupata chochote kati ya hivyo kutoka kwao.Mfano wa maangamizi yaliyofanywa China kwa waislamu wa Uiyghur.Vile vile kule India tangu msikiti wa Babri ulipovunjwa.
Madhila mengine iliyokalia kimya na utwawala huo ni uchomaji moto wa nyumba za waislamu na kuuliwa kulikofanywa na mabuda kule Myamar.
Yote hayo yalionekana labda kwa vile yako mbali na wao.Hili la Gaza ndio limeleta masuali zaidi.Ambacho amekifanya kupinga sera ya Israel kwa Palestina ni kidogo sana kuliko uwezo wake.Mwanamfalme MBS amekuwa akitoa matamko mepesi anapotembelewa na viongozi wanaoiunga mkono Israel,matamko ambayo hayavunji kiu ya Israel kuendelea kuwakandamiza wapalestina.
Kuna muda baadhi ya waislamu walisema mwanamfalme huyo ni kizazi cha kiyahudi ndio maana huwa anawaunga mkono Israel kimya kimya.Hata hivyo hilo limeonekana kutokuwa na mashiko kwa kuzingatia historia ya makuzi yake na alipopatia elimu yake ya sheria.
Kwa mujibu wa baadhi ya wachambuzi ulimbukeni wake wa kutaka kuiga mila za kizungu na starehe zao ndhicho kilichomfanya awe hivyo anavyoonekana.
Tangu ajimilikishe ufalme kwa nguvu kwa kuwaondoa wenzake waliokuwa warithi wa kiti hicho amekuwa akibuni miradi ya ajabu ajabu inayokusudiwa kuibadili Saudi Arabia iwe nchi ya kisasa zaidi na eneo la starehe kuliko sehemu yoyote duniani.
Katika mpango huo magari yatakuwa yakiruka na kutua juu ya nyumba za wakazi wa miji hiyo mipya na kila kitu mtu atakuwa akikipata kwa kubonyeza kitufe tu kutoa amri.Hakutakuwa na kizuizi cha mtu kufanya alipendalo ikiwemo matamanio yake ya kimwili.
Katika miradi hiyo yenye majina ya kiulaya kama DAVOS na EXPO 2030 eneo lote la ufukwe wa bahari nyekundu umeshapata sura tofauti kutoka uasili yake.Viongozi wa kikabila waliokuwa na makazi yao maeneo hayo na waliopinga miradi hiyo kwa hoja za kiimani na kimazingjira ama wameuliwa au hawajulikani walipo.
Kutokea kwa mzozo mkubwa wa kivita katika eneo la mashariki ya kati baina ya Palestina na Israel na kabla ya hapo mzozo wa kule Ukraine baina ya Urusi na jirani yake huyo kumekuwa kama kumetibua mipango mingi ya miradi hiyo.
Watekelezaji wakubwa wa miradi hiyo ni makampuni makubwa ya kimataifa ambapo kila mwenye ubunifu wake alikaribishwa aupeleke kwenye maeneo hayo.
Tatizo lililojitokeza kwa makampuni hayo ni kuwa baadhi yao sasa wamezipuuza fursa walizopewa kutokana na ukata wa kiuchumi kiasi kwamba makampuni hayo yanatoa nyudhuru za kutokuwa na nauli na gharama za hata kupeleka wawakilishi wao kwenye mikutano muhimu ya kupanga miji hiyo ianayokusudiwa kuwa kama pepo ya dunia.
Kuingia mguu katika miradi hiyo na hamu ya kutaka kuiokoa inaweza kuwa ndiyo sababu ya ukimya na kutokuwa na ukakamavu wa kutetea wapalestina wanaouliwa kwa kukatiwa maji,kunyimwa chakula na kupigwa mabomu mfululizo kutoka angani na kuvamiwa majumbani mwao usiku na mchana.
Kama kawaida mshaanza kuilaumu Saudi Arabia. Wanaharakati mna nini?

Tunaumia mno kwa yanayowakuta ndugu zetu kule Gaza lakini hamasa za kijinga hazifai. Na hizi hamasa na jazba za kijinga hazileti manufaa bali madhara zaidi kwa Ummah. Hivi hamuoni?

Yaani mpaka katika vipindi vigumu kama hivi bado mnaendelea kuleta fitna tu na uchochezi?

Allah awanusuru ndugu zetu huko Palestina na ndugu zetu wanaoteseka kwengine kote duniani na awape ushindi dhidi ya adui zake na adui zao.



1698557445897.png

105. Na hakika tulikwisha andika katika Zaburi baada ya Kumbukumbu, ya kwamba nchi watairithi waja wangu walio wema.
(Qur-an 21:105)
 
Huo ni mfano tu sina maana tupeleke, ila hata kuliongelea au kukemea
Sisi huwq tuko nyuma kwa kila kitu hata Vita vya Africa huwa hatukemei wala kuliongelea
Kujitenga na Dunia sio suluhu mkuu.
Wabunge wanawaza kula tu na kusubiri kugawa 10 kwa wananchi ili wachaguliwe tena basi
Hilo tu ndio wanajua Uchaguzi akili zote

Angalia misaada ya KSA kwa mataifa mengine uone
Hapa tunaongelea misaada ya kiutu sio silaha wala ugomvi sawa

Nilikuwa ME miaka mingi nawajua sana tangu vita ya Iran na Iraq nilikuwa huku na baadae uvamizi wa Saddam Kuwait nilikuwepo mpaka anaondolewa
Jordan nimekaa na nilishuhudia wanavyopokea wakimbizi kutokea Iraq na Kuwait Enzi hizo
Misaada sio serikali tu kutoa bali hata Raia walikuwa wanachangia sana na kuwajulia hali wakimbizi kuhakikisha wanashiba na kuishi sehemu salama

Anaedhani hao ni watu wabaya labda kwa sababu ya chuki binafsi au media
Lakini mimi nimekanyaga mpaka Beirut wakati wa vita
Jina langu linasema yote Asante
Tumesema wanachofanya ni kidogo sana kuliko uwezo wao.
Na hawa wabunge wetu wanasahau mambo yakiharibika mpaka mwisho huko mbali na hapa kwetu hawataweza kupata starehe.Watashindwa kuendesha magari yao kwa raha kwani hata mafuta na chakula itakuwa kwa foleni.
 
Kama kawaida mshaanza kuilaumu Saudi Arabia. Wanaharakati mna nini?

Tunaumia mno kwa yanayowakuta ndugu zetu kule Gaza lakini hamasa za kijinga hazifai. Na hizi hamasa na jazba za kijinga hazileti manufaa bali madhara zaidi kwa Ummah. Hivi hamuoni?

Yaani mpaka katika vipindi vigumu kama hivi bado mnaendelea kuleta fitna tu na uchochezi?

Allah awanusuru ndugu zetu huko Palestina na ndugu zetu wanaoteseka kwengine kote duniani na awape ushindi dhidi ya adui zake na adui zao.



View attachment 2796402
105. Na hakika tulikwisha andika katika Zaburi baada ya Kumbukumbu, ya kwamba nchi watairithi waja wangu walio wema.
(Qur-an 21:105)
Wapalestina wanaojiweka mbali na ushoga
 
Tumesema wanachofanya ni kidogo sana kuliko uwezo wao.
Na hawa wabunge wetu wanasahau mambo yakiharibika mpaka mwisho huko mbali na hapa kwetu hawataweza kupata starehe.Watashindwa kuendesha magari yao kwa raha kwani hata mafuta na chakula itakuwa kwa foleni.
Ni kweli wanahitaji kutoa zaidi kwani mwaka jana 2020 walichangia US$ 27m tu kwa Palestine mwaka huu bado takwimu ila kumbuka wanasaidia nchi nyingi sana wahitaji kupitia NGOs na taasisi zingine kama UNRWA
 
Kama kawaida mshaanza kuilaumu Saudi Arabia. Wanaharakati mna nini?

Tunaumia mno kwa yanayowakuta ndugu zetu kule Gaza lakini hamasa za kijinga hazifai. Na hizi hamasa na jazba za kijinga hazileti manufaa bali madhara zaidi kwa Ummah. Hivi hamuoni?

Yaani mpaka katika vipindi vigumu kama hivi bado mnaendelea kuleta fitna tu na uchochezi?

Allah awanusuru ndugu zetu huko Palestina na ndugu zetu wanaoteseka kwengine kote duniani na awape ushindi dhidi ya adui zake na adui zao.



View attachment 2796402
105. Na hakika tulikwisha andika katika Zaburi baada ya Kumbukumbu, ya kwamba nchi watairithi waja wangu walio wema.
(Qur-an 21:105)
Amiin Yaa Raab
 
Waislamu duniani mara zote wanapopatwa na shida walitegemea wapate utetezi wa hali ya juu kutoka kwa utawala wa Saudi Arabia kwanza kabla ya kwengine kokote.Misaad hiyo ingeweza kuwa ya kimali,kijeshi na hata kauli za kisiasa.
Kinyume chake mara zote kumetokea maangamizi mabaya kwa waislamu bila kupata chochote kati ya hivyo kutoka kwao.Mfano wa maangamizi yaliyofanywa China kwa waislamu wa Uiyghur.Vile vile kule India tangu msikiti wa Babri ulipovunjwa.
Madhila mengine iliyokalia kimya na utwawala huo ni uchomaji moto wa nyumba za waislamu na kuuliwa kulikofanywa na mabuda kule Myamar.
Yote hayo yalionekana labda kwa vile yako mbali na wao.Hili la Gaza ndio limeleta masuali zaidi.Ambacho amekifanya kupinga sera ya Israel kwa Palestina ni kidogo sana kuliko uwezo wake.Mwanamfalme MBS amekuwa akitoa matamko mepesi anapotembelewa na viongozi wanaoiunga mkono Israel,matamko ambayo hayavunji kiu ya Israel kuendelea kuwakandamiza wapalestina.
Kuna muda baadhi ya waislamu walisema mwanamfalme huyo ni kizazi cha kiyahudi ndio maana huwa anawaunga mkono Israel kimya kimya.Hata hivyo hilo limeonekana kutokuwa na mashiko kwa kuzingatia historia ya makuzi yake na alipopatia elimu yake ya sheria.
Kwa mujibu wa baadhi ya wachambuzi ulimbukeni wake wa kutaka kuiga mila za kizungu na starehe zao ndhicho kilichomfanya awe hivyo anavyoonekana.
Tangu ajimilikishe ufalme kwa nguvu kwa kuwaondoa wenzake waliokuwa warithi wa kiti hicho amekuwa akibuni miradi ya ajabu ajabu inayokusudiwa kuibadili Saudi Arabia iwe nchi ya kisasa zaidi na eneo la starehe kuliko sehemu yoyote duniani.
Katika mpango huo magari yatakuwa yakiruka na kutua juu ya nyumba za wakazi wa miji hiyo mipya na kila kitu mtu atakuwa akikipata kwa kubonyeza kitufe tu kutoa amri.Hakutakuwa na kizuizi cha mtu kufanya alipendalo ikiwemo matamanio yake ya kimwili.
Katika miradi hiyo yenye majina ya kiulaya kama DAVOS na EXPO 2030 eneo lote la ufukwe wa bahari nyekundu umeshapata sura tofauti kutoka uasili yake.Viongozi wa kikabila waliokuwa na makazi yao maeneo hayo na waliopinga miradi hiyo kwa hoja za kiimani na kimazingjira ama wameuliwa au hawajulikani walipo.
Kutokea kwa mzozo mkubwa wa kivita katika eneo la mashariki ya kati baina ya Palestina na Israel na kabla ya hapo mzozo wa kule Ukraine baina ya Urusi na jirani yake huyo kumekuwa kama kumetibua mipango mingi ya miradi hiyo.
Watekelezaji wakubwa wa miradi hiyo ni makampuni makubwa ya kimataifa ambapo kila mwenye ubunifu wake alikaribishwa aupeleke kwenye maeneo hayo.
Tatizo lililojitokeza kwa makampuni hayo ni kuwa baadhi yao sasa wamezipuuza fursa walizopewa kutokana na ukata wa kiuchumi kiasi kwamba makampuni hayo yanatoa nyudhuru za kutokuwa na nauli na gharama za hata kupeleka wawakilishi wao kwenye mikutano muhimu ya kupanga miji hiyo ianayokusudiwa kuwa kama pepo ya dunia.
Kuingia mguu katika miradi hiyo na hamu ya kutaka kuiokoa inaweza kuwa ndiyo sababu ya ukimya na kutokuwa na ukakamavu wa kutetea wapalestina wanaouliwa kwa kukatiwa maji,kunyimwa chakula na kupigwa mabomu mfululizo kutoka angani na kuvamiwa majumbani mwao usiku na mchana.
je mpo tyr kuiona mecca na madina zinawaka moto , huyo mwanamfalme na serikali yake wanaona mbali sana kuliko akiki za waislam wengu dunian , zile ni sehem tukufu kuziingiza kwenye migogoro ni hatar kwa uislam , Pili msianzishe fujo wkt hamuez ngumi
 
Lawama upande wetu hazina mashiko sana kwani tuko mbali na hatuna nguvu zozote za kimali wala kijeshi.Lawama zitakwenda kwao hasa hasa hao Saudia,Misri na Jordan.
tani ya ngano ya kazi gani kuipeleka Gaza.Kama ni kiasi hicho tupeleke hapo Congo.
kwan ww ni kilema mpk ushindwe hata kwenda kupigana?
 
Kama kawaida mshaanza kuilaumu Saudi Arabia. Wanaharakati mna nini?

Tunaumia mno kwa yanayowakuta ndugu zetu kule Gaza lakini hamasa za kijinga hazifai. Na hizi hamasa na jazba za kijinga hazileti manufaa bali madhara zaidi kwa Ummah. Hivi hamuoni?

Yaani mpaka katika vipindi vigumu kama hivi bado mnaendelea kuleta fitna tu na uchochezi?

Allah awanusuru ndugu zetu huko Palestina na ndugu zetu wanaoteseka kwengine kote duniani na awape ushindi dhidi ya adui zake na adui zao.



View attachment 2796402
105. Na hakika tulikwisha andika katika Zaburi baada ya Kumbukumbu, ya kwamba nchi watairithi waja wangu walio wema.
(Qur-an 21:105)
ukianzisha ngumi ujue kupigana
 
Kama kawaida mshaanza kuilaumu Saudi Arabia. Wanaharakati mna nini?

Tunaumia mno kwa yanayowakuta ndugu zetu kule Gaza lakini hamasa za kijinga hazifai. Na hizi hamasa na jazba za kijinga hazileti manufaa bali madhara zaidi kwa Ummah. Hivi hamuoni?

Yaani mpaka katika vipindi vigumu kama hivi bado mnaendelea kuleta fitna tu na uchochezi?

Allah awanusuru ndugu zetu huko Palestina na ndugu zetu wanaoteseka kwengine kote duniani na awape ushindi dhidi ya adui zake na adui zao.



View attachment 2796402
105. Na hakika tulikwisha andika katika Zaburi baada ya Kumbukumbu, ya kwamba nchi watairithi waja wangu walio wema.
(Qur-an 21:105)
Kwanini unaita hamasa na jazba za kijinga?
Huoni kwamba kila kinachoendelea kwenye hili suala la Palestina kinadhihirisha udhaifu na unafiki kwenye ummah wa Kiislam?

Nusra haitopatikana kwa kutia huruma na kuomba sana,...Bali nusra itapatikana kwa kuingia kwenye vita,...jino Kwa jino, jicho Kwa jicho, mguu Kwa mguu, Bomu Kwa Bomu,.... Hiyo ndiyo kanuni toka enzi na enzi,

Zama hizi zimekosa kina Khalid bin Waleed,Umar Al Farouq, Salahuddin Ayoub,
Wamebaki viongozi wanaoitisha matamasha ya kina Shakira huko mjini Riyadh Saudia,..na matamasha ya Boxing.


History often reveals that honor and freedom are sometimes secured through the sacrifices made on the battlefield, where actions speak louder than words.

Baljurashi The Messenger himself (Alayhi Salam) was a Warrior na hajawahi kutia huruma dhidi ya dhulma.

Qala wa Qala Wa Qala zisiwe nyingi.....
 
Kwanza sio kweli kuwa Waislam popote duniani wanapopata shida wanamtegemea Saudia.

Hayo ni mawazo yako tu na sio uhalisia ulivyo
KSA wanasaidia sana nchi nyingi tu na sio za kiislam tu
Lakini pia Ufalme kumbuka wana mikataba na makampuni makubwa ya uchimbaji wa mafuta kama Aramco na wazungu

MbS yeye alichukua hiyo post kibabe sio kwa ndugu zake bali ni post moja tu na ilikuwa ya Baba yake mdogo na kumuweka kizuizini na kujiweka yeye karibu zaidi na Ufalme

Ni kweli ana mambo ya kimagharibi zaidi na aliwaweka jela Hoteli ndugu zake wengi na kuwaambia kutoka lazima mrudishe hela mlizojilimbikizia

MbS, Magu, Modi, na Trump waliingia wakati mmoja madarakani au walipishana miezi na wote walikuja na mbwembwe za kila aina

Nikajisemea Dunia safari hii imevamiwa haswa
Ila Saudia kama kashindwa hiyo miradi basi ni ujinga wake wa kukurupuka kama baadhi ya viongozi wengine tu

Ila kuisaidia Gaza moja kwa moja kivita hawezi lakini misaada ya kibinadamu wanatoa nchi nyingi sana

Ila sisi ndio wanafiki kwani uwezo wa tani kadhaa za ngano na sukari hatushindwi lakini hatuna tabia ya kutoa na kujali wanaohitaji maana hili linaanzia nyumbani na viongozi walipitia malezi pia


Viongozi wetu ni walafi na wanafiki huwezi kusikia wakiliongelea bungeni
Masikini na fisadi hupokea tu hajui kutoa
 
Waislamu duniani mara zote wanapopatwa na shida walitegemea wapate utetezi wa hali ya juu kutoka kwa utawala wa Saudi Arabia kwanza kabla ya kwengine kokote.Misaad hiyo ingeweza kuwa ya kimali,kijeshi na hata kauli za kisiasa.
Kinyume chake mara zote kumetokea maangamizi mabaya kwa waislamu bila kupata chochote kati ya hivyo kutoka kwao.Mfano wa maangamizi yaliyofanywa China kwa waislamu wa Uiyghur.Vile vile kule India tangu msikiti wa Babri ulipovunjwa.
Madhila mengine iliyokalia kimya na utwawala huo ni uchomaji moto wa nyumba za waislamu na kuuliwa kulikofanywa na mabuda kule Myamar.
Yote hayo yalionekana labda kwa vile yako mbali na wao.Hili la Gaza ndio limeleta masuali zaidi.Ambacho amekifanya kupinga sera ya Israel kwa Palestina ni kidogo sana kuliko uwezo wake.Mwanamfalme MBS amekuwa akitoa matamko mepesi anapotembelewa na viongozi wanaoiunga mkono Israel,matamko ambayo hayavunji kiu ya Israel kuendelea kuwakandamiza wapalestina.
Kuna muda baadhi ya waislamu walisema mwanamfalme huyo ni kizazi cha kiyahudi ndio maana huwa anawaunga mkono Israel kimya kimya.Hata hivyo hilo limeonekana kutokuwa na mashiko kwa kuzingatia historia ya makuzi yake na alipopatia elimu yake ya sheria.
Kwa mujibu wa baadhi ya wachambuzi ulimbukeni wake wa kutaka kuiga mila za kizungu na starehe zao ndhicho kilichomfanya awe hivyo anavyoonekana.
Tangu ajimilikishe ufalme kwa nguvu kwa kuwaondoa wenzake waliokuwa warithi wa kiti hicho amekuwa akibuni miradi ya ajabu ajabu inayokusudiwa kuibadili Saudi Arabia iwe nchi ya kisasa zaidi na eneo la starehe kuliko sehemu yoyote duniani.
Katika mpango huo magari yatakuwa yakiruka na kutua juu ya nyumba za wakazi wa miji hiyo mipya na kila kitu mtu atakuwa akikipata kwa kubonyeza kitufe tu kutoa amri.Hakutakuwa na kizuizi cha mtu kufanya alipendalo ikiwemo matamanio yake ya kimwili.
Katika miradi hiyo yenye majina ya kiulaya kama DAVOS na EXPO 2030 eneo lote la ufukwe wa bahari nyekundu umeshapata sura tofauti kutoka uasili yake.Viongozi wa kikabila waliokuwa na makazi yao maeneo hayo na waliopinga miradi hiyo kwa hoja za kiimani na kimazingjira ama wameuliwa au hawajulikani walipo.
Kutokea kwa mzozo mkubwa wa kivita katika eneo la mashariki ya kati baina ya Palestina na Israel na kabla ya hapo mzozo wa kule Ukraine baina ya Urusi na jirani yake huyo kumekuwa kama kumetibua mipango mingi ya miradi hiyo.
Watekelezaji wakubwa wa miradi hiyo ni makampuni makubwa ya kimataifa ambapo kila mwenye ubunifu wake alikaribishwa aupeleke kwenye maeneo hayo.
Tatizo lililojitokeza kwa makampuni hayo ni kuwa baadhi yao sasa wamezipuuza fursa walizopewa kutokana na ukata wa kiuchumi kiasi kwamba makampuni hayo yanatoa nyudhuru za kutokuwa na nauli na gharama za hata kupeleka wawakilishi wao kwenye mikutano muhimu ya kupanga miji hiyo ianayokusudiwa kuwa kama pepo ya dunia.
Kuingia mguu katika miradi hiyo na hamu ya kutaka kuiokoa inaweza kuwa ndiyo sababu ya ukimya na kutokuwa na ukakamavu wa kutetea wapalestina wanaouliwa kwa kukatiwa maji,kunyimwa chakula na kupigwa mabomu mfululizo kutoka angani na kuvamiwa majumbani mwao usiku na mchana.
We utakuwa shia au khaarijiy
 
Back
Top Bottom