Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa sababu ziko kinyume na Elimu na usawa na hazina manufaa kwa ummah bali uharibifu. Vijana wanaharakati hawataki kuwasikiliza wanachuoni wanaofuata njia ya wema waliotangulia. Wanafuata emotions zao tu.Kwanini unaita hamasa na jazba za kijinga?
Ama kuhusu unafiki sijui umemaanisha nini ila udhaifu ni kwa sababu ya kuacha na kulegea kwetu katika Dini yetu. Tunaiacha njia ya wema waliotangulia. Huoni wewe leo hii wengi wetu tumeiacha Tawhid na kuzing'ang'ania Shirki? Wangapi leo wanaomba wafu bado? Wangapi leo tumeshikilia imani zisizofaa na itikadi zisizo sawa? Na kadhalika? Tumeacha Sunnah na kuidharau. Bali kuna wanaoipiga vita. Vipi ushindi utakuja?Huoni kwamba kila kinachoendelea kwenye hili suala la Palestina kinadhihirisha udhaifu na unafiki kwenye ummah wa Kiislam?
Nusra haiji ila kwa kurudi katika Dini yetu kwanza. Na jambo la mwanzo ni kumpwekesha Allah kiukweli bila ya kumshirikisha na chochote. Na kuzisafisha nyoyo zetu kuondoa itikadi chafu na imani zisizofaa. Vipi utapambana na mayahudi na huwezi kupambana na nafsi yako kwanza?Nusra haitopatikana kwa kutia huruma na kuomba sana,...Bali nusra itapatikana kwa kuingia kwenye vita,...jino Kwa jino, jicho Kwa jicho, mguu Kwa mguu, Bomu Kwa Bomu,.... Hiyo ndiyo kanuni toka enzi na enzi,
Khaleed Ibn Waleed na Umar Al Farouq (Radhi za Allah ziwe juu yao) na Maswahaba wenzao (Radhi za Allah ziwe juu yao) walikuwa na itikadi za sawa. Walimpwekesha Allah wala hawakumshirikisha na chochote. Hawakuwa wakiomba wafu; hawakuwa wakiomba dua kwa mitume kutaka misaada kwenye makaburi yao, hawakuvaa hirizi, hawakuwa wakitukuza makaburi, wakinyanyua mikono kuomba wanamuomba Allah peke yake, hawakuamini mambo ya nyota wala kuamini kuna nuksi katika ndege wala katika siku au mwezi fulani, walipenda kwa ajili ya Allah na walichukia kwa ajili ya Allah, waliamini katika Qadar kiusahihi kabisa, walizithibitisha na kuziamini sifa na majina ya Allah kama alivyojisifia Yeye Mwenyewe katika Kitabu chake au kupitia kinywa cha Mtume wake (Swala na Salamu ziwe juu yake) bila ya Tahreef (kuzipotosha), Ta'teel (kuzikanusha), Takyeef (kusema zikoje/namna yake ikoje) wala Tamtheel (kuzimithilisha). Kiufupi walikuwa wamesimama sawa katika Tawhid.Zama hizi zimekosa kina Khalid bin Waleed,Umar Al Farouq, Salahuddin Ayoub
Soma Surah An Nur aya ya 55, uione ahadi ya Allah.History often reveals that honor and freedom are sometimes secured through the sacrifices made on the battlefield, where actions speak louder than words.
Mtume kakaa Makkah miaka 13 katika utume wake, hakunyanyua silaha dhidi ya washirikina wala kupigana nao. Na Waislam walikuwa wanyonge na dhaifu wananyanyaswa na kukumbwa na mateso makubwa tena katika mji wa Makkah ambao ni bora kuliko ardhi ya Al Quds na Msikiti wa Makkah ambao ni mtukufu zaidi kuliko Masjid Al aqsa. Bali alichokuwa anakifanya ni kuita na kulingania katika Tawhid, kuzisafisha imani na itikadi za Maswahaba zake na kuwausia subra.@Baljurashi The Messenger himself (Alayhi Salam) was a Warrior na hajawahi kutia huruma dhidi ya dhulma.
Tuache hamasa na jazba jazbaQala wa Qala Wa Qala zisiwe nyingi.....
Waislamu duniani mara zote wanapopatwa na shida walitegemea wapate utetezi wa hali ya juu kutoka kwa utawala wa Saudi Arabia kwanza kabla ya kwengine kokote.Misaad hiyo ingeweza kuwa ya kimali,kijeshi na hata kauli za kisiasa.
Kinyume chake mara zote kumetokea maangamizi mabaya kwa waislamu bila kupata chochote kati ya hivyo kutoka kwao.Mfano wa maangamizi yaliyofanywa China kwa waislamu wa Uiyghur.Vile vile kule India tangu msikiti wa Babri ulipovunjwa.
Madhila mengine iliyokalia kimya na utwawala huo ni uchomaji moto wa nyumba za waislamu na kuuliwa kulikofanywa na mabuda kule Myamar.
Yote hayo yalionekana labda kwa vile yako mbali na wao.Hili la Gaza ndio limeleta masuali zaidi.Ambacho amekifanya kupinga sera ya Israel kwa Palestina ni kidogo sana kuliko uwezo wake.Mwanamfalme MBS amekuwa akitoa matamko mepesi anapotembelewa na viongozi wanaoiunga mkono Israel,matamko ambayo hayavunji kiu ya Israel kuendelea kuwakandamiza wapalestina.
Kuna muda baadhi ya waislamu walisema mwanamfalme huyo ni kizazi cha kiyahudi ndio maana huwa anawaunga mkono Israel kimya kimya.Hata hivyo hilo limeonekana kutokuwa na mashiko kwa kuzingatia historia ya makuzi yake na alipopatia elimu yake ya sheria.
Kwa mujibu wa baadhi ya wachambuzi ulimbukeni wake wa kutaka kuiga mila za kizungu na starehe zao ndhicho kilichomfanya awe hivyo anavyoonekana.
Tangu ajimilikishe ufalme kwa nguvu kwa kuwaondoa wenzake waliokuwa warithi wa kiti hicho amekuwa akibuni miradi ya ajabu ajabu inayokusudiwa kuibadili Saudi Arabia iwe nchi ya kisasa zaidi na eneo la starehe kuliko sehemu yoyote duniani.
Katika mpango huo magari yatakuwa yakiruka na kutua juu ya nyumba za wakazi wa miji hiyo mipya na kila kitu mtu atakuwa akikipata kwa kubonyeza kitufe tu kutoa amri.Hakutakuwa na kizuizi cha mtu kufanya alipendalo ikiwemo matamanio yake ya kimwili.
Katika miradi hiyo yenye majina ya kiulaya kama DAVOS na EXPO 2030 eneo lote la ufukwe wa bahari nyekundu umeshapata sura tofauti kutoka uasili yake.Viongozi wa kikabila waliokuwa na makazi yao maeneo hayo na waliopinga miradi hiyo kwa hoja za kiimani na kimazingjira ama wameuliwa au hawajulikani walipo.
Kutokea kwa mzozo mkubwa wa kivita katika eneo la mashariki ya kati baina ya Palestina na Israel na kabla ya hapo mzozo wa kule Ukraine baina ya Urusi na jirani yake huyo kumekuwa kama kumetibua mipango mingi ya miradi hiyo.
Watekelezaji wakubwa wa miradi hiyo ni makampuni makubwa ya kimataifa ambapo kila mwenye ubunifu wake alikaribishwa aupeleke kwenye maeneo hayo.
Tatizo lililojitokeza kwa makampuni hayo ni kuwa baadhi yao sasa wamezipuuza fursa walizopewa kutokana na ukata wa kiuchumi kiasi kwamba makampuni hayo yanatoa nyudhuru za kutokuwa na nauli na gharama za hata kupeleka wawakilishi wao kwenye mikutano muhimu ya kupanga miji hiyo ianayokusudiwa kuwa kama pepo ya dunia.
Kuingia mguu katika miradi hiyo na hamu ya kutaka kuiokoa inaweza kuwa ndiyo sababu ya ukimya na kutokuwa na ukakamavu wa kutetea wapalestina wanaouliwa kwa kukatiwa maji,kunyimwa chakula na kupigwa mabomu mfululizo kutoka angani na kuvamiwa majumbani mwao usiku na mchana.
Kama kawaida mshaanza kuilaumu Saudi Arabia. Wanaharakati mna nini?
Tunaumia mno kwa yanayowakuta ndugu zetu kule Gaza lakini hamasa za kijinga hazifai. Na hizi hamasa na jazba za kijinga hazileti manufaa bali madhara zaidi kwa Ummah. Hivi hamuoni?
Yaani mpaka katika vipindi vigumu kama hivi bado mnaendelea kuleta fitna tu na uchochezi?
Allah awanusuru ndugu zetu huko Palestina na ndugu zetu wanaoteseka kwengine kote duniani na awape ushindi dhidi ya adui zake na adui zao.
View attachment 2796402
105. Na hakika tulikwisha andika katika Zaburi baada ya Kumbukumbu, ya kwamba nchi watairithi waja wangu walio wema.
(Qur-an 21:105)
Kwanini unaita hamasa na jazba za kijinga?
Huoni kwamba kila kinachoendelea kwenye hili suala la Palestina kinadhihirisha udhaifu na unafiki kwenye ummah wa Kiislam?
Nusra haitopatikana kwa kutia huruma na kuomba sana,...Bali nusra itapatikana kwa kuingia kwenye vita,...jino Kwa jino, jicho Kwa jicho, mguu Kwa mguu, Bomu Kwa Bomu,.... Hiyo ndiyo kanuni toka enzi na enzi,
Zama hizi zimekosa kina Khalid bin Waleed,Umar Al Farouq, Salahuddin Ayoub,
Wamebaki viongozi wanaoitisha matamasha ya kina Shakira huko mjini Riyadh Saudia,..na matamasha ya Boxing.
History often reveals that honor and freedom are sometimes secured through the sacrifices made on the battlefield, where actions speak louder than words.
Baljurashi The Messenger himself (Alayhi Salam) was a Warrior na hajawahi kutia huruma dhidi ya dhulma.
Qala wa Qala Wa Qala zisiwe nyingi.....
Wapeleke Kongo wakiti WA tz Hali ngumuLawama upande wetu hazina mashiko sana kwani tuko mbali na hatuna nguvu zozote za kimali wala kijeshi.Lawama zitakwenda kwao hasa hasa hao Saudia,Misri na Jordan.
tani ya ngano ya kazi gani kuipeleka Gaza.Kama ni kiasi hicho tupeleke hapo Congo.
Okay,..wamalizeni wote mnaowachukia ili muishi Kwa raha kwenye Dunia.Sasa mbona kipigo kikienda kwa wapalestina mnarudi kulialia ingieni ulingoni tuone kazi achaneni na hashtags na kutaka kuonewa huruma wakati kanuni mnaijua.
Tukitaka kuonewa huruma hatuombi kwa binadamu.Tunachofanya kwa binadamu wenzetu wenye madaraka ni kuwazindua kwa kuwaonea huruma.Sasa mbona kipigo kikienda kwa wapalestina mnarudi kulialia ingieni ulingoni tuone kazi achaneni na hashtags na kutaka kuonewa huruma wakati kanuni mnaijua.
Yaani kusema..........wapigane wenyewe sisi tutoe ngano na sukari uko sawa wewe? Kira mtu ashinde mechi zake...........wakiona inauma wataacha ugomviKwanza sio kweli kuwa Waislam popote duniani wanapopata shida wanamtegemea Saudia.
Hayo ni mawazo yako tu na sio uhalisia ulivyo
KSA wanasaidia sana nchi nyingi tu na sio za kiislam tu
Lakini pia Ufalme kumbuka wana mikataba na makampuni makubwa ya uchimbaji wa mafuta kama Aramco na wazungu
MbS yeye alichukua hiyo post kibabe sio kwa ndugu zake bali ni post moja tu na ilikuwa ya Baba yake mdogo na kumuweka kizuizini na kujiweka yeye karibu zaidi na Ufalme
Ni kweli ana mambo ya kimagharibi zaidi na aliwaweka jela Hoteli ndugu zake wengi na kuwaambia kutoka lazima mrudishe hela mlizojilimbikizia
MbS, Magu, Modi, na Trump waliingia wakati mmoja madarakani au walipishana miezi na wote walikuja na mbwembwe za kila aina
Nikajisemea Dunia safari hii imevamiwa haswa
Ila Saudia kama kashindwa hiyo miradi basi ni ujinga wake wa kukurupuka kama baadhi ya viongozi wengine tu
Ila kuisaidia Gaza moja kwa moja kivita hawezi lakini misaada ya kibinadamu wanatoa nchi nyingi sana
Ila sisi ndio wanafiki kwani uwezo wa tani kadhaa za ngano na sukari hatushindwi lakini hatuna tabia ya kutoa na kujali wanaohitaji maana hili linaanzia nyumbani na viongozi walipitia malezi pia
Viongozi wetu ni walafi na wanafiki huwezi kusikia wakiliongelea bungeni
Sio lazima kutoa kwani sisi ni tabia zetu za majibu ya hivyo hata Rais aliepita alikuwa anasema kwa wananchi wakeYaani kusema..........wapigane wenyewe sisi tutoe ngano na sukari uko sawa wewe? Kira mtu ashinde mechi zake...........wakiona inauma wataacha ugomvi
Mwenye roho katili ni yule aliewadharau wana Kagera na kuwatukanaUna roho katili sana wewe
Kauli zako hazina takwimu kuthibitisha nani mwenye roho mbaya kati yangu na weweMwenye roho katili ni yule aliewadharau wana Kagera na kuwatukana
Wewe niambie umechangia hata senti kwa wapalestina?
Unajua hata wanaokusanya hela kila leo kuwasaidia
Roho mbaya mnayo nyie mnaopeleka michango na sadaka kwa mtu mmoja huku ukimpita masikini anaeomba barabarani
Nimesema waswahili hamna tabia ya kusaidia sasa unanishambulia mimi wakati niko tofauti na nyie ?
Unajua maana ya roho katili lakiniKauli zako hazina takwimu kuthibitisha nani mwenye roho mbaya kati yangu na wewe
Kwani wewe umeingia wapi hapo? Ulikuwa RaisKauli zako hazina takwimu kuthibitisha nani mwenye roho mbaya kati yangu na wewe
Saudi Arabia ni nchi yenye utajiri mkubwa wa mafuta, pia ni nchi ilyoendelea zaidi kuliko nchi nyingine yoyote ile ktk Arab world. Lakini kutokana utawala wa Saudi Arabia kuwa na sera za misimami mikali zaidi ya 'kibedui', utawala wa sheria kali zsidi za kislamu (Sharia), kukosekana kwa utawala bora wa Kidemokrasia na kuwepo kwa utawala wa kifalme na wa kidikteta, wananchi wa nchi hiyo wamejikuta kuwa ni 'mateka wa watawala, ' hawafaidiki chochote kutokana na utajiri mkubwa wa mafuta uliopo ktk nchi yao na wekuwa hawako huru na kukosa furaha na amani ktk nyanja zote za maisha yao ya kila siku na mwisho kuoneka kuwa ni miongoni mwa watu wanaoishi kwenye umaskini wa kutupwa hapa duniani.Waislamu duniani mara zote wanapopatwa na shida walitegemea wapate utetezi wa hali ya juu kutoka kwa utawala wa Saudi Arabia kwanza kabla ya kwengine kokote.Misaad hiyo ingeweza kuwa ya kimali,kijeshi na hata kauli za kisiasa.
Kinyume chake mara zote kumetokea maangamizi mabaya kwa waislamu bila kupata chochote kati ya hivyo kutoka kwao.Mfano wa maangamizi yaliyofanywa China kwa waislamu wa Uiyghur.Vile vile kule India tangu msikiti wa Babri ulipovunjwa.
Madhila mengine iliyokalia kimya na utwawala huo ni uchomaji moto wa nyumba za waislamu na kuuliwa kulikofanywa na mabuda kule Myamar.
Yote hayo yalionekana labda kwa vile yako mbali na wao.Hili la Gaza ndio limeleta masuali zaidi.Ambacho amekifanya kupinga sera ya Israel kwa Palestina ni kidogo sana kuliko uwezo wake.Mwanamfalme MBS amekuwa akitoa matamko mepesi anapotembelewa na viongozi wanaoiunga mkono Israel,matamko ambayo hayavunji kiu ya Israel kuendelea kuwakandamiza wapalestina.
Kuna muda baadhi ya waislamu walisema mwanamfalme huyo ni kizazi cha kiyahudi ndio maana huwa anawaunga mkono Israel kimya kimya.Hata hivyo hilo limeonekana kutokuwa na mashiko kwa kuzingatia historia ya makuzi yake na alipopatia elimu yake ya sheria.
Kwa mujibu wa baadhi ya wachambuzi ulimbukeni wake wa kutaka kuiga mila za kizungu na starehe zao ndhicho kilichomfanya awe hivyo anavyoonekana.
Tangu ajimilikishe ufalme kwa nguvu kwa kuwaondoa wenzake waliokuwa warithi wa kiti hicho amekuwa akibuni miradi ya ajabu ajabu inayokusudiwa kuibadili Saudi Arabia iwe nchi ya kisasa zaidi na eneo la starehe kuliko sehemu yoyote duniani.
Katika mpango huo magari yatakuwa yakiruka na kutua juu ya nyumba za wakazi wa miji hiyo mipya na kila kitu mtu atakuwa akikipata kwa kubonyeza kitufe tu kutoa amri.Hakutakuwa na kizuizi cha mtu kufanya alipendalo ikiwemo matamanio yake ya kimwili.
Katika miradi hiyo yenye majina ya kiulaya kama DAVOS na EXPO 2030 eneo lote la ufukwe wa bahari nyekundu umeshapata sura tofauti kutoka uasili yake.Viongozi wa kikabila waliokuwa na makazi yao maeneo hayo na waliopinga miradi hiyo kwa hoja za kiimani na kimazingjira ama wameuliwa au hawajulikani walipo.
Kutokea kwa mzozo mkubwa wa kivita katika eneo la mashariki ya kati baina ya Palestina na Israel na kabla ya hapo mzozo wa kule Ukraine baina ya Urusi na jirani yake huyo kumekuwa kama kumetibua mipango mingi ya miradi hiyo.
Watekelezaji wakubwa wa miradi hiyo ni makampuni makubwa ya kimataifa ambapo kila mwenye ubunifu wake alikaribishwa aupeleke kwenye maeneo hayo.
Tatizo lililojitokeza kwa makampuni hayo ni kuwa baadhi yao sasa wamezipuuza fursa walizopewa kutokana na ukata wa kiuchumi kiasi kwamba makampuni hayo yanatoa nyudhuru za kutokuwa na nauli na gharama za hata kupeleka wawakilishi wao kwenye mikutano muhimu ya kupanga miji hiyo ianayokusudiwa kuwa kama pepo ya dunia.
Kuingia mguu katika miradi hiyo na hamu ya kutaka kuiokoa inaweza kuwa ndiyo sababu ya ukimya na kutokuwa na ukakamavu wa kutetea wapalestina wanaouliwa kwa kukatiwa maji,kunyimwa chakula na kupigwa mabomu mfululizo kutoka angani na kuvamiwa majumbani mwao usiku na mchana.
Nchi yoyote inayotawaliwa na wafalme haina maana hata chembe.Wanawakandamiza raia kwa faida zao za kidunia na hawakumbuki akhera kabisa.Wako tayari kufanywa vibaraka ilimradi wabaki madarakani.Saudi Arabia ni nchi yenye utajiri mkubwa wa mafuta, pia ni nchi ilyoendelea zaidi kuliko nchi nyingine yoyote ile ktk Arab world. Lakini kutokana utawala wa Saudi Arabia kuwa na sera za misimami mikali zaidi ya 'kibedui', utawala wa sheria kali zsidi za kislamu (Sharia), kukosekana kwa utawala bora wa Kidemokrasia na kuwepo kwa utawala wa kifalme na wa kidikteta, wananchi wa nchi hiyo wamejikuta kuwa ni 'mateka wa watawala, ' hawafaidiki chochote kutokana na utajiri mkubwa wa mafuta uliopo ktk nchi yao na wekuwa hawako huru na kukosa furaha na amani ktk nyanja zote za maisha yao ya kila siku na mwisho kuoneka kuwa ni miongoni mwa watu wanaoishi kwenye umaskini wa kutupwa hapa duniani.