Miradi yote mikubwa imesimama kwa nchi kukosa fedha

Miradi yote mikubwa imesimama kwa nchi kukosa fedha

PhD

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2009
Posts
4,692
Reaction score
3,891
Miradi yote mikubwa ya ujenzi kama barabara, maji, SGR na umeme imesimama kwa sababu ya Serikali kukosa fedha za kulipa wakandarasi. Mfano kwa SGR lot 3 na 4 Kampuni ya Kituruki imesimamisha shughuli kutoka Makutopora , Tabora, Isaka. Vilevile lot 5 Isaka Mwanza , Kampuni ya Kichina pia imesimamisha kazi. Kwa barabara pia angalia mfano njia za mzunguko dodoma wakandarasi wamakimbia.

Sababu za haya yote ni hizo:-

1. Tulianza ujenzi wa miradi mikubwa kwa kutumia fedha za mikopo ambayo sasa imeiva inatakiwa kulipwa , hivyo pamoja na kukusanya kodi nyingi tunaishia kulipa madeni ya mikopo na riba za mikopo iliyoiva;

2. Hatukuwa na mipango madhubuti ya kujua vyanzo vya fedha kwa miradi mikubwa kwa siku za usoni hivyo cash flow imepotea;

3. Kumekuwa na riba kubwa ya mikopo duniani na akina mwigulu wanatumia fursa hizo kujipatia fedha za wizi. Mfano mwaka jana Benki ya Standard Charted ilikuwa tayari kugharamia SGR ila akina mwigulu wakaweka cha juu siri ikafichuka zaidi ya mwaka sasa mkopo umekwama;

4. Kumekuwa na matumizi yasiokuwa na tija serikalini kwa kuanza na ofisi ya rais yenyewe, safari nyingi za nie zisizokuwa na na tija na akiambatana na watu wengi bila sababu;

5. Mhe Rais amezungukwa na watu wenye uwezo mdogo sana na upeo finyu na maono mafupi ya uongozi wa chi. Angalia kuanzia Katibu wake anayeshinda mitandaoni kupiga picha na ambaye ndio godfather ukitaka uteuzi hadi wa uwaziri;

6. Taasisi nyingi za fedha duniani zimeanza kuwa na wasiwasi na Tanzania hasa hatma ya Uchaguzi wa 2025 iwapo CCM wataendelea na SSH au watamtupa hii sintofahamu imesababisha taasisi hizo kushikilia mikopo yao hadi Uchaguzi uishe wapime stability;

hayo ni kwa uchache, kutokana na changamoto ya kifedha SSH amekimbilia Seoul , Korea juzi kutafuta mkopo wa takribani trilioni 6. Mkopo huo hautapatikana kwa haraka kama wangi wanavyofikiri sababu kilichosainiwa ni financial agreement tu na sio loan agreement.

Tufanyeje. Tujadiliane, lakini kwa kuanza ni kupunguza matumizi ya anasa, kufukuza wezi serikalini kama aweso, makamba, bashe, mwigulu, mbarawa, kitila mkumbo na wengi tu. Rais azungukwe na watu wenye akili na maono sio wahuni wa instagram. CCM iwe imara kuisimamia Serikali yake.
 
Haya 🐼

Umewahi kuwaona Panya wakiushambulia mkate?

Umewahi kuwaona Nguruwe wakiushambulia Muwa?
 
Tulaumu tulipojikwaa sio tulipoangukia,nchi haikuwa na uwezo wa kuanzisha miradi ya matrilion kwa mkupuo lakini kwa sababu lengo lilikuwa ni wizi na kutafuta sifa na kutaka kuonekana yeye tu ndiye anayeweza kuliko wengine matokeo yake ndiyo haya pamoja na udhaifu wa utawala uliopo madarakani kwa sasa lakini kwa sehemu kubwa utawala uliyopita umechangia kutufikisha hapa tulipo.
 
Miradi yote mikubwa ya ujenzi kama barabara, maji, SGR na umeme imesimama kwa sababu ya Serikali kukosa fedha za kulipa wakandarasi. Mfano kwa SGR lot 3 na 4 Kampuni ya Kituruki imesimamisha shughuli kutoka Makutopora , Tabora, Isaka. Vilevile lot 5 Isaka Mwanza , Kampuni ya Kichina pia imesimamisha kazi. Kwa barabara pia angalia mfano njia za mzunguko dodoma wakandarasi wamakimbia.

Sababu za haya yote ni hizo:-

1. Tulianza ujenzi wa miradi mikubwa kwa kutumia fedha za mikopo ambayo sasa imeiva inatakiwa kulipwa , hivyo pamoja na kukusanya kodi nyingi tunaishia kulipa madeni ya mikopo na riba za mikopo iliyoiva;

2. Hatukuwa na mipango madhubuti ya kujua vyanzo vya fedha kwa miradi mikubwa kwa siku za usoni hivyo cash flow imepotea;

3. Kumekuwa na riba kubwa ya mikopo duniani na akina mwigulu wanatumia fursa hizo kujipatia fedha za wizi. Mfano mwaka jana Benki ya Standard Charted ilikuwa tayari kugharamia SGR ila akina mwigulu wakaweka cha juu siri ikafichuka zaidi ya mwaka sasa mkopo umekwama;

4. Kumekuwa na matumizi yasiokuwa na tija serikalini kwa kuanza na ofisi ya rais yenyewe, safari nyingi za nie zisizokuwa na na tija na akiambatana na watu wengi bila sababu;

5. Mhe Rais amezungukwa na watu wenye uwezo mdogo sana na upeo finyu na maono mafupi ya uongozi wa chi. Angalia kuanzia Katibu wake anayeshinda mitandaoni kupiga picha na ambaye ndio godfather ukitaka uteuzi hadi wa uwaziri;

6. Taasisi nyingi za fedha duniani zimeanza kuwa na wasiwasi na Tanzania hasa hatma ya Uchaguzi wa 2025 iwapo CCM wataendelea na SSH au watamtupa hii sintofahamu imesababisha taasisi hizo kushikilia mikopo yao hadi Uchaguzi uishe wapime stability;

hayo ni kwa uchache, kutokana na changamoto ya kifedha SSH amekimbilia Seoul , Korea juzi kutafuta mkopo wa takribani trilioni 6. Mkopo huo hautapatikana kwa haraka kama wangi wanavyofikiri sababu kilichosainiwa ni financial agreement tu na sio loan agreement.

Tufanyeje. Tujadiliane, lakini kwa kuanza ni kupunguza matumizi ya anasa, kufukuza wezi serikalini kama aweso, makamba, bashe, mwigulu, mbarawa, kitila mkumbo na wengi tu. Rais azungukwe na watu wenye akili na maono sio wahuni wa instagram. CCM iwe imara kuisimamia Serikali yake.
Twende mama2025,anpiga mwingi

Ndio msemo wao maarufu siku hizi
 
Miradi yote mikubwa ya ujenzi kama barabara, maji, SGR na umeme imesimama kwa sababu ya Serikali kukosa fedha za kulipa wakandarasi. Mfano kwa SGR lot 3 na 4 Kampuni ya Kituruki imesimamisha shughuli kutoka Makutopora , Tabora, Isaka. Vilevile lot 5 Isaka Mwanza , Kampuni ya Kichina pia imesimamisha kazi. Kwa barabara pia angalia mfano njia za mzunguko dodoma wakandarasi wamakimbia.

Sababu za haya yote ni hizo:-

1. Tulianza ujenzi wa miradi mikubwa kwa kutumia fedha za mikopo ambayo sasa imeiva inatakiwa kulipwa , hivyo pamoja na kukusanya kodi nyingi tunaishia kulipa madeni ya mikopo na riba za mikopo iliyoiva;

2. Hatukuwa na mipango madhubuti ya kujua vyanzo vya fedha kwa miradi mikubwa kwa siku za usoni hivyo cash flow imepotea;

3. Kumekuwa na riba kubwa ya mikopo duniani na akina mwigulu wanatumia fursa hizo kujipatia fedha za wizi. Mfano mwaka jana Benki ya Standard Charted ilikuwa tayari kugharamia SGR ila akina mwigulu wakaweka cha juu siri ikafichuka zaidi ya mwaka sasa mkopo umekwama;

4. Kumekuwa na matumizi yasiokuwa na tija serikalini kwa kuanza na ofisi ya rais yenyewe, safari nyingi za nie zisizokuwa na na tija na akiambatana na watu wengi bila sababu;

5. Mhe Rais amezungukwa na watu wenye uwezo mdogo sana na upeo finyu na maono mafupi ya uongozi wa chi. Angalia kuanzia Katibu wake anayeshinda mitandaoni kupiga picha na ambaye ndio godfather ukitaka uteuzi hadi wa uwaziri;

6. Taasisi nyingi za fedha duniani zimeanza kuwa na wasiwasi na Tanzania hasa hatma ya Uchaguzi wa 2025 iwapo CCM wataendelea na SSH au watamtupa hii sintofahamu imesababisha taasisi hizo kushikilia mikopo yao hadi Uchaguzi uishe wapime stability;

hayo ni kwa uchache, kutokana na changamoto ya kifedha SSH amekimbilia Seoul , Korea juzi kutafuta mkopo wa takribani trilioni 6. Mkopo huo hautapatikana kwa haraka kama wangi wanavyofikiri sababu kilichosainiwa ni financial agreement tu na sio loan agreement.

Tufanyeje. Tujadiliane, lakini kwa kuanza ni kupunguza matumizi ya anasa, kufukuza wezi serikalini kama aweso, makamba, bashe, mwigulu, mbarawa, kitila mkumbo na wengi tu. Rais azungukwe na watu wenye akili na maono sio wahuni wa instagram. CCM iwe imara kuisimamia Serikali yake.
Nasikia mama kaenda na wasanii kuwa weka bondi kwenye mkopo
 
Nchi ya demokrasia,tutaufanyia kazi ushauri wenu...
 
Kodi zote izi tunazolipa wafanyabiashara zinaenda wapi mpaka nchi itegemee mikopo kujiendesha
 
Miradi yote mikubwa ya ujenzi kama barabara, maji, SGR na umeme imesimama kwa sababu ya Serikali kukosa fedha za kulipa wakandarasi. Mfano kwa SGR lot 3 na 4 Kampuni ya Kituruki imesimamisha shughuli kutoka Makutopora , Tabora, Isaka. Vilevile lot 5 Isaka Mwanza , Kampuni ya Kichina pia imesimamisha kazi. Kwa barabara pia angalia mfano njia za mzunguko dodoma wakandarasi wamakimbia.

Sababu za haya yote ni hizo:-

1. Tulianza ujenzi wa miradi mikubwa kwa kutumia fedha za mikopo ambayo sasa imeiva inatakiwa kulipwa , hivyo pamoja na kukusanya kodi nyingi tunaishia kulipa madeni ya mikopo na riba za mikopo iliyoiva;

2. Hatukuwa na mipango madhubuti ya kujua vyanzo vya fedha kwa miradi mikubwa kwa siku za usoni hivyo cash flow imepotea;

3. Kumekuwa na riba kubwa ya mikopo duniani na akina mwigulu wanatumia fursa hizo kujipatia fedha za wizi. Mfano mwaka jana Benki ya Standard Charted ilikuwa tayari kugharamia SGR ila akina mwigulu wakaweka cha juu siri ikafichuka zaidi ya mwaka sasa mkopo umekwama;

4. Kumekuwa na matumizi yasiokuwa na tija serikalini kwa kuanza na ofisi ya rais yenyewe, safari nyingi za nie zisizokuwa na na tija na akiambatana na watu wengi bila sababu;

5. Mhe Rais amezungukwa na watu wenye uwezo mdogo sana na upeo finyu na maono mafupi ya uongozi wa chi. Angalia kuanzia Katibu wake anayeshinda mitandaoni kupiga picha na ambaye ndio godfather ukitaka uteuzi hadi wa uwaziri;

6. Taasisi nyingi za fedha duniani zimeanza kuwa na wasiwasi na Tanzania hasa hatma ya Uchaguzi wa 2025 iwapo CCM wataendelea na SSH au watamtupa hii sintofahamu imesababisha taasisi hizo kushikilia mikopo yao hadi Uchaguzi uishe wapime stability;

hayo ni kwa uchache, kutokana na changamoto ya kifedha SSH amekimbilia Seoul , Korea juzi kutafuta mkopo wa takribani trilioni 6. Mkopo huo hautapatikana kwa haraka kama wangi wanavyofikiri sababu kilichosainiwa ni financial agreement tu na sio loan agreement.

Tufanyeje. Tujadiliane, lakini kwa kuanza ni kupunguza matumizi ya anasa, kufukuza wezi serikalini kama aweso, makamba, bashe, mwigulu, mbarawa, kitila mkumbo na wengi tu. Rais azungukwe na watu wenye akili na maono sio wahuni wa instagram. CCM iwe imara kuisimamia Serikali yake.
Huyo katibu wake kutwa kushinda instagram. Kupost quotes huyo muda wa kuwa na maono ya Nchi atautoa wapi..
 
Miradi yote mikubwa ya ujenzi kama barabara, maji, SGR na umeme imesimama kwa sababu ya Serikali kukosa fedha za kulipa wakandarasi. Mfano kwa SGR lot 3 na 4 Kampuni ya Kituruki imesimamisha shughuli kutoka Makutopora , Tabora, Isaka. Vilevile lot 5 Isaka Mwanza , Kampuni ya Kichina pia imesimamisha kazi. Kwa barabara pia angalia mfano njia za mzunguko dodoma wakandarasi wamakimbia.

Sababu za haya yote ni hizo:-

1. Tulianza ujenzi wa miradi mikubwa kwa kutumia fedha za mikopo ambayo sasa imeiva inatakiwa kulipwa , hivyo pamoja na kukusanya kodi nyingi tunaishia kulipa madeni ya mikopo na riba za mikopo iliyoiva;

2. Hatukuwa na mipango madhubuti ya kujua vyanzo vya fedha kwa miradi mikubwa kwa siku za usoni hivyo cash flow imepotea;

3. Kumekuwa na riba kubwa ya mikopo duniani na akina mwigulu wanatumia fursa hizo kujipatia fedha za wizi. Mfano mwaka jana Benki ya Standard Charted ilikuwa tayari kugharamia SGR ila akina mwigulu wakaweka cha juu siri ikafichuka zaidi ya mwaka sasa mkopo umekwama;

4. Kumekuwa na matumizi yasiokuwa na tija serikalini kwa kuanza na ofisi ya rais yenyewe, safari nyingi za nie zisizokuwa na na tija na akiambatana na watu wengi bila sababu;

5. Mhe Rais amezungukwa na watu wenye uwezo mdogo sana na upeo finyu na maono mafupi ya uongozi wa chi. Angalia kuanzia Katibu wake anayeshinda mitandaoni kupiga picha na ambaye ndio godfather ukitaka uteuzi hadi wa uwaziri;

6. Taasisi nyingi za fedha duniani zimeanza kuwa na wasiwasi na Tanzania hasa hatma ya Uchaguzi wa 2025 iwapo CCM wataendelea na SSH au watamtupa hii sintofahamu imesababisha taasisi hizo kushikilia mikopo yao hadi Uchaguzi uishe wapime stability;

hayo ni kwa uchache, kutokana na changamoto ya kifedha SSH amekimbilia Seoul , Korea juzi kutafuta mkopo wa takribani trilioni 6. Mkopo huo hautapatikana kwa haraka kama wangi wanavyofikiri sababu kilichosainiwa ni financial agreement tu na sio loan agreement.

Tufanyeje. Tujadiliane, lakini kwa kuanza ni kupunguza matumizi ya anasa, kufukuza wezi serikalini kama aweso, makamba, bashe, mwigulu, mbarawa, kitila mkumbo na wengi tu. Rais azungukwe na watu wenye akili na maono sio wahuni wa instagram. CCM iwe imara kuisimamia Serikali yake.
Kama taarifa hii ni kweli,basi tunakoelekea hata mishahara kwa watumishi wa umma itafika wakati itakuwa mbinde kulipwa.
 
Miradi yote mikubwa ya ujenzi kama barabara, maji, SGR na umeme imesimama kwa sababu ya Serikali kukosa fedha za kulipa wakandarasi. Mfano kwa SGR lot 3 na 4 Kampuni ya Kituruki imesimamisha shughuli kutoka Makutopora , Tabora, Isaka. Vilevile lot 5 Isaka Mwanza , Kampuni ya Kichina pia imesimamisha kazi. Kwa barabara pia angalia mfano njia za mzunguko dodoma wakandarasi wamakimbia.

Sababu za haya yote ni hizo:-

1. Tulianza ujenzi wa miradi mikubwa kwa kutumia fedha za mikopo ambayo sasa imeiva inatakiwa kulipwa , hivyo pamoja na kukusanya kodi nyingi tunaishia kulipa madeni ya mikopo na riba za mikopo iliyoiva;

2. Hatukuwa na mipango madhubuti ya kujua vyanzo vya fedha kwa miradi mikubwa kwa siku za usoni hivyo cash flow imepotea;

3. Kumekuwa na riba kubwa ya mikopo duniani na akina mwigulu wanatumia fursa hizo kujipatia fedha za wizi. Mfano mwaka jana Benki ya Standard Charted ilikuwa tayari kugharamia SGR ila akina mwigulu wakaweka cha juu siri ikafichuka zaidi ya mwaka sasa mkopo umekwama;

4. Kumekuwa na matumizi yasiokuwa na tija serikalini kwa kuanza na ofisi ya rais yenyewe, safari nyingi za nie zisizokuwa na na tija na akiambatana na watu wengi bila sababu;

5. Mhe Rais amezungukwa na watu wenye uwezo mdogo sana na upeo finyu na maono mafupi ya uongozi wa chi. Angalia kuanzia Katibu wake anayeshinda mitandaoni kupiga picha na ambaye ndio godfather ukitaka uteuzi hadi wa uwaziri;

6. Taasisi nyingi za fedha duniani zimeanza kuwa na wasiwasi na Tanzania hasa hatma ya Uchaguzi wa 2025 iwapo CCM wataendelea na SSH au watamtupa hii sintofahamu imesababisha taasisi hizo kushikilia mikopo yao hadi Uchaguzi uishe wapime stability;

hayo ni kwa uchache, kutokana na changamoto ya kifedha SSH amekimbilia Seoul , Korea juzi kutafuta mkopo wa takribani trilioni 6. Mkopo huo hautapatikana kwa haraka kama wangi wanavyofikiri sababu kilichosainiwa ni financial agreement tu na sio loan agreement.

Tufanyeje. Tujadiliane, lakini kwa kuanza ni kupunguza matumizi ya anasa, kufukuza wezi serikalini kama aweso, makamba, bashe, mwigulu, mbarawa, kitila mkumbo na wengi tu. Rais azungukwe na watu wenye akili na maono sio wahuni wa instagram. CCM iwe imara kuisimamia Serikali yake.
"Na Mimi nataka niseme Watanzania mtanikumbuka na mtanikumbuka kwa mazuri na si kwa mabaya kwasababu nimesacrifice maisha yangu kwa wananchi masikini"
 
Safari ya Mhe. Rais hakutakiwa kwenda na usafiri wa ndege ya ATCL . Kwa nchi kama ya kwetu angepanda ndege za Mashirika mengine kama Emirates, Qatar, KLM, Kenya Airways kwenye daraja la la VIP na wenzake kupanda daraja la Economy lakini kusafiri na ndege ya ATCL ni gharama kubwa na fedha hizo zingeelekezwa kwenye maeneo mengine. Miradi ya mikakati imesimama na matokeo ni kuwa nchi haina fedha.
 
Nothing will change, tujiandae kwa mabaya zaidi, nchi hii haiwezi ongozwa na mtu asiye na maono.
 
Miradi yote mikubwa ya ujenzi kama barabara, maji, SGR na umeme imesimama kwa sababu ya Serikali kukosa fedha za kulipa wakandarasi. Mfano kwa SGR lot 3 na 4 Kampuni ya Kituruki imesimamisha shughuli kutoka Makutopora , Tabora, Isaka. Vilevile lot 5 Isaka Mwanza , Kampuni ya Kichina pia imesimamisha kazi. Kwa barabara pia angalia mfano njia za mzunguko dodoma wakandarasi wamakimbia.

Sababu za haya yote ni hizo:-

1. Tulianza ujenzi wa miradi mikubwa kwa kutumia fedha za mikopo ambayo sasa imeiva inatakiwa kulipwa , hivyo pamoja na kukusanya kodi nyingi tunaishia kulipa madeni ya mikopo na riba za mikopo iliyoiva;

2. Hatukuwa na mipango madhubuti ya kujua vyanzo vya fedha kwa miradi mikubwa kwa siku za usoni hivyo cash flow imepotea;

3. Kumekuwa na riba kubwa ya mikopo duniani na akina mwigulu wanatumia fursa hizo kujipatia fedha za wizi. Mfano mwaka jana Benki ya Standard Charted ilikuwa tayari kugharamia SGR ila akina mwigulu wakaweka cha juu siri ikafichuka zaidi ya mwaka sasa mkopo umekwama;

4. Kumekuwa na matumizi yasiokuwa na tija serikalini kwa kuanza na ofisi ya rais yenyewe, safari nyingi za nie zisizokuwa na na tija na akiambatana na watu wengi bila sababu;

5. Mhe Rais amezungukwa na watu wenye uwezo mdogo sana na upeo finyu na maono mafupi ya uongozi wa chi. Angalia kuanzia Katibu wake anayeshinda mitandaoni kupiga picha na ambaye ndio godfather ukitaka uteuzi hadi wa uwaziri;

6. Taasisi nyingi za fedha duniani zimeanza kuwa na wasiwasi na Tanzania hasa hatma ya Uchaguzi wa 2025 iwapo CCM wataendelea na SSH au watamtupa hii sintofahamu imesababisha taasisi hizo kushikilia mikopo yao hadi Uchaguzi uishe wapime stability;

hayo ni kwa uchache, kutokana na changamoto ya kifedha SSH amekimbilia Seoul , Korea juzi kutafuta mkopo wa takribani trilioni 6. Mkopo huo hautapatikana kwa haraka kama wangi wanavyofikiri sababu kilichosainiwa ni financial agreement tu na sio loan agreement.

Tufanyeje. Tujadiliane, lakini kwa kuanza ni kupunguza matumizi ya anasa, kufukuza wezi serikalini kama aweso, makamba, bashe, mwigulu, mbarawa, kitila mkumbo na wengi tu. Rais azungukwe na watu wenye akili na maono sio wahuni wa instagram. CCM iwe imara kuisimamia Serikali yake.
Acha upumbavu, sababu ulizotoa ni za kijinga sana.

Hii nchi wizi ni jadi ya asili kwa tuliowapa dhamana, mpaka cop de tate wafanye yao ndio ukombozi kiuchumi tunaweza kuuona
 
Back
Top Bottom