Mirathi katika ndoa ya wawili

Asante sana ndugu yangu nimeipata she.ria ya mirathi Tanzania ubarikiwe sana IDUMU JF kisima cha maarifa
 
Wana jamvi wamejibu vizuri sana hapo juu ila hili la kugawana mali nusu kwa nusu halipo kisheria mnaweza gawana lkn sio lazima iwe nusu nusu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…