Hichi kipengele mbona watanzania wnegi hatukijui, kwa kweli sheria ni pana sana, shauri la right to custody ina maana watoto watamtegrmea mke halali wa ndoa au sijakuelewaUkienda mahakamani ukafungua shauri la right to custody,wataangalia maslahi ya mtoto na kama anajitambua nayeye ataulizwa akae upande upi,best interest of the child ikilalia kwako unapewa.
Upande wangu mahakama ipo sahihi, navyujua ukishazaa mtoto anakua na nafasi kubwa kushindaMAHAKAMA TANZANIA YASEMA HAKUNA MWANAHARAMU, ILA KUNA WAZAZI HARAMU TU.
Kuna hukumu-rejea ilitolewa tarehe 28/5/2020 na Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam kupitia Mh. Jaji Mlyambina.
Ni hukumu ya kesi ya mirathi no. 50 ya mwaka 2016 (ina maana kesi ilichukua miaka 4 kwisha).
Ishu ya msingi katika kesi hiyo ni kuna mume wa mtu alifariki bila ya kuacha wosia. Aliacha mke ambaye alikuwa amemuoa kwa ndoa ya kikristo na watoto wa ndoa hiyo, na wengine wa michepuko (nje ya ndoa).
Watoto wa nje ya ndoa wakaweka pingamizi la mirathi maana walikuwa wameenguliwa wasipate kitu na msimamizi wa mirathi hiyo ambaye ni mtoto wa ndoa.
Wakati wa uhai wake, marehemu alikuwa anawasomesha watoto hao (ambapo wengine tayari walikuwa ni watu wazima), vyeti vyao vya kuzaliwa vilikuwa na jina la marehemu kama baba mzazi, na alishawatambulisha kwa mama yake na ndugu zake wengine.
Mahakamani mama na dada wa marehemu walitoa ushahidi kwamba wanawatambua hao watoto kama watoto wa marehemu.
Upande wa wa kwenye ndoa walikataa DNA test kufanyika kupima kama hao ni watoto wa marehemu.
Katika hukumu yake, Mahakama ikatumia sheria zifuatazo:
1. Katiba ambayo inasema watu wote ni sawa
2. Sheria ya Mtoto kifungu cha 5 ambacho kinakataza kubagua watoto
3. Sheria ya Mtoto kifungu cha 10 ambacho kinampa mtoto haki ya "ku-enjoy" mali ya mzazi wake.
4. Mikataba ya kimataifa kuhusu haki za mtoto ambayo Tanzania imeridhia.
Katika majumuisho yake, Mahakama ikasema, "Watoto hawana hatia maana hawachagui kuzaliwa au kwamba watazaliwa wapi. Msemo wa "kitanda hakizai haramu" maana yake ni hakuna watoto haramu. Ila kuna wazazi haramu."
Kwa hiyo mama za watoto wa nje ndoa ndo wakatambuliwa kwamba ni wazazi haramu na hawastahili kurithi mali ya marehemu. Ila watoto wa nje ya ndoa wakaingizwa katika orodha ya warithi, ambayo ilijumuisha na mjane wa marehemu na mama wa marehemu.
Pia ikaonekana mtoto wa ndani ya ndoa kusimamia mirathi hiyo haitakuwa vyema, ikateua Kabidhi Wasii Mkuu (yaani serikali) awe msimamizi.
------------------------------
Kwa kuwa hii ni hukumu-rejea kwa sasa hii ndo tafsiri ya sheria nchini Tanzania, mpaka pale itakapoamuliwa vinginevyo na Mahakama ya Rufaa, au mpaka Bunge litakapotunga sheria tofauti na tafsiri hii ya mahakama.
Je wewe unaonaje? Mahakama iko sahihi, au tuendelee kufuata misimamo ya kidini ambayo inawabagua watoto wa nje ya ndoa na watoto wanaozaliwa kabla ya ndoa?
Hukumu hii inapatikana hapa:[emoji116]
https://tanzlii.org/tz/judgment/hig...me-mwimbe-other-prob-admincause-no50-2016.pdf
Sent from my HUAWEI VNS-L31 using JamiiForums mobile app
This makes sense.Wazazi haramu na sio watoto haramuMAHAKAMA TANZANIA YASEMA HAKUNA MWANAHARAMU, ILA KUNA WAZAZI HARAMU TU.
Kuna hukumu-rejea ilitolewa tarehe 28/5/2020 na Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam kupitia Mh. Jaji Mlyambina.
Ni hukumu ya kesi ya mirathi no. 50 ya mwaka 2016 (ina maana kesi ilichukua miaka 4 kwisha).
Ishu ya msingi katika kesi hiyo ni kuna mume wa mtu alifariki bila ya kuacha wosia. Aliacha mke ambaye alikuwa amemuoa kwa ndoa ya kikristo na watoto wa ndoa hiyo, na wengine wa michepuko (nje ya ndoa).
Watoto wa nje ya ndoa wakaweka pingamizi la mirathi maana walikuwa wameenguliwa wasipate kitu na msimamizi wa mirathi hiyo ambaye ni mtoto wa ndoa.
Wakati wa uhai wake, marehemu alikuwa anawasomesha watoto hao (ambapo wengine tayari walikuwa ni watu wazima), vyeti vyao vya kuzaliwa vilikuwa na jina la marehemu kama baba mzazi, na alishawatambulisha kwa mama yake na ndugu zake wengine.
Mahakamani mama na dada wa marehemu walitoa ushahidi kwamba wanawatambua hao watoto kama watoto wa marehemu.
Upande wa wa kwenye ndoa walikataa DNA test kufanyika kupima kama hao ni watoto wa marehemu.
Katika hukumu yake, Mahakama ikatumia sheria zifuatazo:
1. Katiba ambayo inasema watu wote ni sawa
2. Sheria ya Mtoto kifungu cha 5 ambacho kinakataza kubagua watoto
3. Sheria ya Mtoto kifungu cha 10 ambacho kinampa mtoto haki ya "ku-enjoy" mali ya mzazi wake.
4. Mikataba ya kimataifa kuhusu haki za mtoto ambayo Tanzania imeridhia.
Katika majumuisho yake, Mahakama ikasema, "Watoto hawana hatia maana hawachagui kuzaliwa au kwamba watazaliwa wapi. Msemo wa "kitanda hakizai haramu" maana yake ni hakuna watoto haramu. Ila kuna wazazi haramu."
Kwa hiyo mama za watoto wa nje ndoa ndo wakatambuliwa kwamba ni wazazi haramu na hawastahili kurithi mali ya marehemu. Ila watoto wa nje ya ndoa wakaingizwa katika orodha ya warithi, ambayo ilijumuisha na mjane wa marehemu na mama wa marehemu.
Pia ikaonekana mtoto wa ndani ya ndoa kusimamia mirathi hiyo haitakuwa vyema, ikateua Kabidhi Wasii Mkuu (yaani serikali) awe msimamizi.
------------------------------
Kwa kuwa hii ni hukumu-rejea kwa sasa hii ndo tafsiri ya sheria nchini Tanzania, mpaka pale itakapoamuliwa vinginevyo na Mahakama ya Rufaa, au mpaka Bunge litakapotunga sheria tofauti na tafsiri hii ya mahakama.
Je wewe unaonaje? Mahakama iko sahihi, au tuendelee kufuata misimamo ya kidini ambayo inawabagua watoto wa nje ya ndoa na watoto wanaozaliwa kabla ya ndoa?
Hukumu hii inapatikana hapa:[emoji116]
https://tanzlii.org/tz/judgment/hig...me-mwimbe-other-prob-admincause-no50-2016.pdf
Sent from my HUAWEI VNS-L31 using JamiiForums mobile app
Unamfokea nani sasa?Ndo maana nasema hizi dini Ni UPUMBAVU.
Siamini ata Mungu anaweza kufurahia upumbavu Kama huu.
Mtoto Hana hatia,
hakujizaa Wala kushinikiza kuzaliwa.
Yanini ateseke kwa starehe za wazazi wake.
Upumbavu sio tusiUnamfokea nani sasa?
Ukiambiwa kuwa wewe ndie MPUMBAVU utajisikiaje?
Sawa Mpumbavu nimeelewa Upumbavu wako, sawa ee?Upumbavu sio tusi
Aliyeingilia ndoa ya wengine atashtakiwa na atadaiwa fidia na mwenye ndoa.Wakishapatikana watoto ,watoto wana haki kwa baba yao kwani wao hawakuchagua kuzaliwa nje ya ndoa halali.Sheria za Tanzania zinawatambua na kuwapa haki sawa.Na dondosha swali hapa wabobezi msemi kitu kama sheria inatoa nafasi hawara/mchepuko kushtakiwa kwa kuingilia ndoa ya mke mmoja na mume mmoja iweje bado iwape nafasi watoto wa nje, au pia inawezekana watoto wa nje wakapewa chochote na mama yao akashtakiwa na je adhabu yake inakuaje kwa huyu aliengilia ndoa ya mtu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa nyumba ndogo ulikua huendi kuona watoto ama?Tuzae wisely.
Mtoto hujacheza naye, hajakufulia nguo, hujamtuma dukani, n.k anakuja kugawana sawa na wale waliokunywesha dawa ukiwa mgonjwa, kukufulia, kukupikia, kuzungumza nawe daily, kukuchekesha, kukutoa stress n.k
Ameingilia ndoa ama mume katongoza mwanamke nje?Na dondosha swali hapa wabobezi msemi kitu kama sheria inatoa nafasi hawara/mchepuko kushtakiwa kwa kuingilia ndoa ya mke mmoja na mume mmoja iweje bado iwape nafasi watoto wa nje, au pia inawezekana watoto wa nje wakapewa chochote na mama yao akashtakiwa na je adhabu yake inakuaje kwa huyu aliengilia ndoa ya mtu
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes madam Inawezekana mwanamke akashida, ninavyojua Mimi sheria za TZ, Mali zinazopatikana kwenye ndoa Ni za wanandoa wote.Mimi sio mtaalamu wa haya mambo ila kina rafiki yangu yeye na mme wake ni wakristo na mme kafariki mwaka juzi. Watoto wa mke wa ndoa ni wakubwa wote wana maisha yao halafu kuna kengine mme alizaa nje hat hajafika 10 years. Mme hakuacha wosia. Ila mahakama hawakumpa haki huyyu mtoto wa nje kwa kuwa mke wa ndoa ndio alikuwa main bread winner. Sana sana nyumba ya kijijini kwa baba ake ndio baba ake alijenga ikaamuliwa either iuzwe ili asomeshe au ipangishwe isaidie huyu mtoto wa nje. Lakini zile investments kubwa zote ni jasho la mke wa ndoa so watoto wake wanastahili kufaidi jasho la mama yao.
Ndio hivyo ilivyo, hasa kama marehemu ali watambua hao watoto.MAHAKAMA TANZANIA YASEMA HAKUNA MWANAHARAMU, ILA KUNA WAZAZI HARAMU TU.
Kuna hukumu-rejea ilitolewa tarehe 28/5/2020 na Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam kupitia Mh. Jaji Mlyambina.
Ni hukumu ya kesi ya mirathi no. 50 ya mwaka 2016 (ina maana kesi ilichukua miaka 4 kwisha).
Ishu ya msingi katika kesi hiyo ni kuna mume wa mtu alifariki bila ya kuacha wosia. Aliacha mke ambaye alikuwa amemuoa kwa ndoa ya kikristo na watoto wa ndoa hiyo, na wengine wa michepuko (nje ya ndoa).
Watoto wa nje ya ndoa wakaweka pingamizi la mirathi maana walikuwa wameenguliwa wasipate kitu na msimamizi wa mirathi hiyo ambaye ni mtoto wa ndoa.
Wakati wa uhai wake, marehemu alikuwa anawasomesha watoto hao (ambapo wengine tayari walikuwa ni watu wazima), vyeti vyao vya kuzaliwa vilikuwa na jina la marehemu kama baba mzazi, na alishawatambulisha kwa mama yake na ndugu zake wengine.
Mahakamani mama na dada wa marehemu walitoa ushahidi kwamba wanawatambua hao watoto kama watoto wa marehemu.
Upande wa wa kwenye ndoa walikataa DNA test kufanyika kupima kama hao ni watoto wa marehemu.
Katika hukumu yake, Mahakama ikatumia sheria zifuatazo:
1. Katiba ambayo inasema watu wote ni sawa
2. Sheria ya Mtoto kifungu cha 5 ambacho kinakataza kubagua watoto
3. Sheria ya Mtoto kifungu cha 10 ambacho kinampa mtoto haki ya "ku-enjoy" mali ya mzazi wake.
4. Mikataba ya kimataifa kuhusu haki za mtoto ambayo Tanzania imeridhia.
Katika majumuisho yake, Mahakama ikasema, "Watoto hawana hatia maana hawachagui kuzaliwa au kwamba watazaliwa wapi. Msemo wa "kitanda hakizai haramu" maana yake ni hakuna watoto haramu. Ila kuna wazazi haramu."
Kwa hiyo mama za watoto wa nje ndoa ndo wakatambuliwa kwamba ni wazazi haramu na hawastahili kurithi mali ya marehemu. Ila watoto wa nje ya ndoa wakaingizwa katika orodha ya warithi, ambayo ilijumuisha na mjane wa marehemu na mama wa marehemu.
Pia ikaonekana mtoto wa ndani ya ndoa kusimamia mirathi hiyo haitakuwa vyema, ikateua Kabidhi Wasii Mkuu (yaani serikali) awe msimamizi.
------------------------------
Kwa kuwa hii ni hukumu-rejea kwa sasa hii ndo tafsiri ya sheria nchini Tanzania, mpaka pale itakapoamuliwa vinginevyo na Mahakama ya Rufaa, au mpaka Bunge litakapotunga sheria tofauti na tafsiri hii ya mahakama.
Je wewe unaonaje? Mahakama iko sahihi, au tuendelee kufuata misimamo ya kidini ambayo inawabagua watoto wa nje ya ndoa na watoto wanaozaliwa kabla ya ndoa?
Hukumu hii inapatikana hapa:[emoji116]
https://tanzlii.org/tz/judgment/hig...me-mwimbe-other-prob-admincause-no50-2016.pdf
Sent from my HUAWEI VNS-L31 using JamiiForums mobile app
Tena huyu anapaswa kupata zaidi kwani angalau wenzake walipata mengi kwa kukaa karibu na wazazi, fanya starehe zako kwa utaratibu.Tuzae wisely.
Mtoto hujacheza naye, hajakufulia nguo, hujamtuma dukani, n.k anakuja kugawana sawa na wale waliokunywesha dawa ukiwa mgonjwa, kukufulia, kukupikia, kuzungumza nawe daily, kukuchekesha, kukutoa stress n.k
Kwenye nchi hii Sheria za dini zipo chini ya Sheria za nchi. Haiwezekani mtu azae hovyo hovyo ikifika kwenye mirathi akimbilie kichaka cha dini.Wakati akizini hakuwa na Sheria ya dini? na hao watoto anataka waishi vipi?Sheria za dini yetu hazina reform ndugu. Wenyewe tumeridhika nazo.
Hapa tumepigwa kamba. Serikali ichunguze marehemu kama aliuishi uislamu kweli?? Anauishije kweli wakati kazaa nje ya ndoa.Huo mfano wako hauingii hapo kwa sababu nimeshasema issue sio marehemu kuwa Mwislamu, na ndo maana nikasema kabla ya kutumika sheria ya Kiislamu, mahakama inatakiwa kujiridhisha ikiwa marehemu alikuwa Mwislamu anayeuishi Uislamu alikuwa ni Mwislamu Jina tu na kwahiyo kuna watu wanataka kutumia kete ya Uislamu ili kuwatupa wengine nje!!
Huo mfano wako haujitoshelezi kwa sababu ulitakiwa kuonesha marehemu alikuwa ni mwislamu aliyekuwa anaishi kwenye misingi ya Uislamu na sio just because he's a muslim! Lakini kwa upande mwingine, pia ulitakiwa kueleza sheria za mirathi nchini Kenya zinasemaje kwa sababu Tanzania kuna sheria za aina tatu zinatumika ambazo ni sheria ya serikali/secular law, sheria ya kimila na sheria ya kiislamu!!
Labda kwa dini ya ushia, ila Kauli hii haina dalili kabisa kusema kwamba mtoto wa nje ya ndoa ni wa mama.Bahati nzuri sheria zetu za dini zinasema mtoto aliezaliwa nje ya ndoa halali (mwanaharamu) huyo ni mtoto wa mama yake na harithi chochote kwa baba.
Huku ni kumnyima mtoto haki yake kutoka kwa baba yake.Bahati nzuri sheria zetu za dini zinasema mtoto aliezaliwa nje ya ndoa halali (mwanaharamu) huyo ni mtoto wa mama yake na harithi chochote kwa baba.
Kwani yeye Baba anasemaje!!??Huku ni kumnyima mtoto haki yake kutoka kwa baba yake.