Mirathi kwa watoto nje ya Ndoa

Ukienda mahakamani ukafungua shauri la right to custody,wataangalia maslahi ya mtoto na kama anajitambua nayeye ataulizwa akae upande upi,best interest of the child ikilalia kwako unapewa.
Hichi kipengele mbona watanzania wnegi hatukijui, kwa kweli sheria ni pana sana, shauri la right to custody ina maana watoto watamtegrmea mke halali wa ndoa au sijakuelewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Upande wangu mahakama ipo sahihi, navyujua ukishazaa mtoto anakua na nafasi kubwa kushinda
 
Na dondosha swali hapa wabobezi msemi kitu kama sheria inatoa nafasi hawara/mchepuko kushtakiwa kwa kuingilia ndoa ya mke mmoja na mume mmoja iweje bado iwape nafasi watoto wa nje, au pia inawezekana watoto wa nje wakapewa chochote na mama yao akashtakiwa na je adhabu yake inakuaje kwa huyu aliengilia ndoa ya mtu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
This makes sense.Wazazi haramu na sio watoto haramu
 
Ndo maana nasema hizi dini Ni UPUMBAVU.

Siamini ata Mungu anaweza kufurahia upumbavu Kama huu.

Mtoto Hana hatia,
hakujizaa Wala kushinikiza kuzaliwa.

Yanini ateseke kwa starehe za wazazi wake.
Unamfokea nani sasa?

Ukiambiwa kuwa wewe ndie MPUMBAVU utajisikiaje?
 
Aliyeingilia ndoa ya wengine atashtakiwa na atadaiwa fidia na mwenye ndoa.Wakishapatikana watoto ,watoto wana haki kwa baba yao kwani wao hawakuchagua kuzaliwa nje ya ndoa halali.Sheria za Tanzania zinawatambua na kuwapa haki sawa.
 
The funniest part is, huyo mtoto wa nje akiprosper kwenye maisha akawa vizuri, wote (watoto wa ndani ya ndoa na mke halali wa ndoa na baba) wanamgeukia na kuhitaji misaada wakati angekua duni wanamuengua hata kwenye urithi.
 
Tuzae wisely.

Mtoto hujacheza naye, hajakufulia nguo, hujamtuma dukani, n.k anakuja kugawana sawa na wale waliokunywesha dawa ukiwa mgonjwa, kukufulia, kukupikia, kuzungumza nawe daily, kukuchekesha, kukutoa stress n.k
Kwa nyumba ndogo ulikua huendi kuona watoto ama?
 
Ameingilia ndoa ama mume katongoza mwanamke nje?

Hv kuna mwanaume anaelazimishwa kuwa na mchepuko?
 
Yes madam Inawezekana mwanamke akashida, ninavyojua Mimi sheria za TZ, Mali zinazopatikana kwenye ndoa Ni za wanandoa wote.
Kwa kipengele hicho Unaweza ukajitetea kuwa huyo mtoto asirithi hizo Mali, kwa kuwa wanandoa wengi wanafanya vitu kea kusaidiana wote kwa pamoja,
Sasa mwanamke ukiwa unaushahidi wa kutosha ulio hai kabisa Unaweza ukapeleka mahakamani kwa kuonyesha hizo mali na wewe umezichangia kea kiasi chake , ukiwa unaushahidi wa kutosha, kesi Ni rahisi kushida kabisa asilimia miamoja kabisa.
Ndoa maana wanawake wengine wakiamua kujenga maisha pamoja na mumewake anajitahidi kuweka ushahidi Mali hizo yeye kachangia sehemu kubwa, na SI mumewake , ukiwa na ushahidi wa namana hio, vitu wanachukua mwanao kirahisi,
So inategemeana na vieleezo utakavyopeleka mahakamani.
 
Ndio hivyo ilivyo, hasa kama marehemu ali watambua hao watoto.
Ila sasa sheria hiyo haiapply kama familia ni ya kiislamu
 
Tuzae wisely.

Mtoto hujacheza naye, hajakufulia nguo, hujamtuma dukani, n.k anakuja kugawana sawa na wale waliokunywesha dawa ukiwa mgonjwa, kukufulia, kukupikia, kuzungumza nawe daily, kukuchekesha, kukutoa stress n.k
Tena huyu anapaswa kupata zaidi kwani angalau wenzake walipata mengi kwa kukaa karibu na wazazi, fanya starehe zako kwa utaratibu.
 
Sheria za dini yetu hazina reform ndugu. Wenyewe tumeridhika nazo.
Kwenye nchi hii Sheria za dini zipo chini ya Sheria za nchi. Haiwezekani mtu azae hovyo hovyo ikifika kwenye mirathi akimbilie kichaka cha dini.Wakati akizini hakuwa na Sheria ya dini? na hao watoto anataka waishi vipi?
 
Hapa tumepigwa kamba. Serikali ichunguze marehemu kama aliuishi uislamu kweli?? Anauishije kweli wakati kazaa nje ya ndoa.
 
Bahati nzuri sheria zetu za dini zinasema mtoto aliezaliwa nje ya ndoa halali (mwanaharamu) huyo ni mtoto wa mama yake na harithi chochote kwa baba.
Labda kwa dini ya ushia, ila Kauli hii haina dalili kabisa kusema kwamba mtoto wa nje ya ndoa ni wa mama.
Haina dalili kabisa katika uislamu.

Mtoto wa nje ya ndoa ni wa baba ikiwa baba yake atamkubali asipomkubali atajinasibisha na babu yake mzaa mama na hii ndio Kauli yenye nguvu upande wa pili wa khilaf hauna nguvu na wala hakuna dalili.
 
Bahati nzuri sheria zetu za dini zinasema mtoto aliezaliwa nje ya ndoa halali (mwanaharamu) huyo ni mtoto wa mama yake na harithi chochote kwa baba.
Huku ni kumnyima mtoto haki yake kutoka kwa baba yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…