Mirathi kwa watoto nje ya Ndoa

Mirathi kwa watoto nje ya Ndoa

------------------------------
Kwa kuwa hii ni hukumu-rejea kwa sasa hii ndo tafsiri ya sheria nchini Tanzania,
Hii haiwezi kuwa hukumu rejea kwa sababu haijatolewa na mahakama ya rufaa.

Jaji mwingine wa Mahakama Kuu anaruhusiwa kuipuuza hii hukumu kwa sababu mahakama hii haina nguvu kuliko Mahakama Kuu nyingine yeyote.

Na kwa kweli wanapaswa kuipuuza kwa sababu haijataja sheria inayotamka kwamba hata mwana haramu ana haki ya kurithi. Inatutajia hoja za binadamu wote ni sawa, watoto wote hawastahili kubaguliwa. Kama binadamu wote ni sawa na watoto wote duniani hawapaswi kubaguliwa basi watoto wa jirani nao wana haki ya kudai kurithi.
 
Hii haiwezi kuwa hukumu rejea kwa sababu haijatolewa na mahakama ya rufaa.

Jaji mwingine wa Mahakama Kuu anaruhusiwa kuipuuza hii hukumu kwa sababu mahakama hii haina nguvu kuliko Mahakama Kuu nyingine yeyote.

Na kwa kweli wanapaswa kuipuuza kwa sababu haijataja sheria inayotamka kwamba hata mwana haramu ana haki ya kurithi. Inatutajia hoja za binadamu wote ni sawa, watoto wote hawastahili kubaguliwa. Kama binadamu wote ni sawa na watoto wote duniani hawapaswi kubaguliwa basi watoto wa jirani nao wana haki ya kudai kurithi.
Kama hao Watoto wa Jirani ni wa Marehemu Wana haki ya kurithi,lakini Kama siyo wa Marehemu basi hawana haki ya kurithi! Mbona Jambo liko wazi tu sema watu tamaa za Mali wameweka mbele kuliko utu!!
 
Back
Top Bottom