Mirathi ya Celebrities Bongo kizungumkuti

Mirathi ya Celebrities Bongo kizungumkuti

watoto nao watafute maisha yao wasisubiri urithi
Na hizi akili kama zako zinawafanya matajiri wengi ngozi nyeusi wakifa na utajiri wao unapuputika wote na wanaoufaidi ni marafiki zako sababu ndo wanajua abc za mali na sio familia yako

Kuna faida gani unakufa wewe alafu marafiki zako na watu wako wengine ndo wanaofaidi matunda ya jasho lako huku familia ukiacha kwenye mateso

Wahindi na warabu wanarithishana nali unakuta utajiri ulianzia kwa babu unaenda mpaka kwa wajukuu lakin ni kawaida sana muafrika kufariki leo na utajiri wote ukamfuata yaani unapambana kwa ajili ya kuneemesha familia za rafiki yako
 
Hizi akili za kijinga ndio zinasababisha baadhi ya jamii hapa Afrika zizidi kubaki kwenye umasikini
Ndo maana nimemtolea mfano huu hapa
Chini

Na hizi akili kama zako zinawafanya matajiri wengi ngozi nyeusi wakifa na utajiri wao unapuputika wote na wanaoufaidi ni marafiki zako sababu ndo wanajua abc za mali na sio familia yako

Kuna faida gani unakufa wewe alafu marafiki zako na watu wako wengine ndo wanaofaidi matunda ya jasho lako huku familia ukiacha kwenye mateso

Wahindi na warabu wanarithishana nali unakuta utajiri ulianzia kwa babu unaenda mpaka kwa wajukuu lakin ni kawaida sana muafrika kufariki leo na utajiri wote ukamfuata yaani unapambana kwa ajili ya kuneemesha familia za rafiki yako
 
Urithi sio lazima iwe mali,
Malezi mema na elimu utakayo wapa wanao ni urithi kamili kabisa kama hukupata mali ya kuweza kuwaachia wanao,

Kuwaza urithi wa wazazi wako ni dalili ya uvivu,kukata tamaa au kutaka vyamteremko.
Malezi ni wajibu sio urithi huo, nyie ndo mnasemaga ooh mwanangu elimu ndo urithi wako, mnakwepa majukumu kwa ubinafsi wenu
 
Malezi ni wajibu sio urithi huo, nyie ndo mnasemaga ooh mwanangu elimu ndo urithi wako, mnakwepa majukumu kwa ubinafsi wenu
Ndo maana nimemtolea mfano huu hapa
Chini

Na hizi akili kama zako zinawafanya matajiri wengi ngozi nyeusi wakifa na utajiri wao unapuputika wote na wanaoufaidi ni marafiki zako sababu ndo wanajua abc za mali na sio familia yako

Kuna faida gani unakufa wewe alafu marafiki zako na watu wako wengine ndo wanaofaidi matunda ya jasho lako huku familia ukiacha kwenye mateso

Wahindi na warabu wanarithishana nali unakuta utajiri ulianzia kwa babu unaenda mpaka kwa wajukuu lakin ni kawaida sana muafrika kufariki leo na utajiri wote ukamfuata yaani unapambana kwa ajili ya kuneemesha familia za rafiki yako
 
Ndo maana nimemtolea mfano huu hapa
Chini

Na hizi akili kama zako zinawafanya matajiri wengi ngozi nyeusi wakifa na utajiri wao unapuputika wote na wanaoufaidi ni marafiki zako sababu ndo wanajua abc za mali na sio familia yako

Kuna faida gani unakufa wewe alafu marafiki zako na watu wako wengine ndo wanaofaidi matunda ya jasho lako huku familia ukiacha kwenye mateso

Wahindi na warabu wanarithishana nali unakuta utajiri ulianzia kwa babu unaenda mpaka kwa wajukuu lakin ni kawaida sana muafrika kufariki leo na utajiri wote ukamfuata yaani unapambana kwa ajili ya kuneemesha familia za rafiki yako
Hao marafiki wa marehemu wanakua ngozi nyeupe au ngoz ya taq wenzetu?
 
Back
Top Bottom