Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwakweli.Wewe bado ujinga unakusumbua yaani mtoto wangu akaangaike alafu mimi ni tajiri huo ujinga mimi siwezi fanya na ambao ngozi nyeupe hawawezi fanya utawakuta kwa waafrika ndo maana mwafrika akifa ghafla ni migogoro na mda sio mrefu urajiri wote unapuputika sababu watoto hawakuandaliwa kwa kupewa urithi mapema
Wewe kapambane kwa sababu wazazi wako hawana kitu
Lakin wazazi wako wana utajiri unapambania utajiri wa wazazi wako ukue zaid ndo urithi wenu ndo walichofanya wakina dewji na watoto wa asas na sahivi watoto wa bakharesa
Mimi nijue mtoto wangu anasubiria urithi kutoka kwangu hilo kamwe haliwezi nisumbua akili
Yaani sisi wafrika tunataka mateso na struggle tulizopitia na watoto wetu wapitie tuna ubinafsi sana
Aliokotaga demu mambo Safi alikua kitengo, akapiga chini Esta Dalal. Sasa sijui atarud Kwa estaHivi maisha ya Hando yapoje
Ushaambiwa kaacha Harrier old modelHaiewekani Mwamba asiwe hata na nyumba bana
Mungu aepushilie mbali ila moto utawaka!Mirathi ya chibu sijui itakuaje
Juma loqole nae atadai chake. Maana kakalia Sana msumari wa nyamaMungu aepushilie mbali ila moto utawaka!
Wale waswahili!
Wanapasiana mali chini ya utaratibu maalum sio kiholela tu.Sio kutegemea mali ya marehemu
Wahindi mbona wanapasiana utajiri vizazi na vizazi waafrika tuna mindset za ajabu sana
SI Kuna kipindi alikuaga anapush discovery sijui rangeUshaambiwa kaacha Harrier old model
Halafu kumbuka wahindi wanaoana ndugu Kwa ndugu. Hawachanganyi rangi na ngozi ya goti kwa sababu ya tabia zenu za kishenzWanapasiana mali chini ya utaratibu maalum sio kiholela tu.
Ya jide IleSI Kuna kipindi alikuaga anapush discovery sijui range
Dah kweli noma Mzee.... Af SI ndo alikua most paid mtangazaji au Bata zilizidi mapatoYa jide Ile
Wewe umetengeneza ?Celebrities anaabudu pombe na Mademu. Siku likimkuta Jambo anaaibika hadharani kabla na baada ya Maziko, watoto wanabaki kugawana makochi na harrier old model.
NB: Tengeneza future ya wategemezi wako ukiwa na nguvu.
Miaka ya ya 2019 alikuwa na VW amarok, mwaka jana pale Ferry Soko la samaki nilimkuta na Toyota AlphardYa jide Ile
Mbona hununuagi madafu yangu kuna kipindi nilikuwa nauza pale ferryMiaka ya ya 2019 alikuwa na VW amarok, mwaka jana pale Ferry Soko la samaki nilimkuta na Toyota Alphard
Mimi mnunuzi mzuri wa madafu, huwa nanunua kwa yule jengo la Psspf tower,NBC Samora Branch,NBC Garden mpaka hapo Ferry hizi ID fake tuMbona hununuagi madafu yangu kuna kipindi nilikuwa nauza pale ferry